....

....

Mkuu.@hudson junior hujatueleza una umri wa miaka mingapi?Matatizo yako ya Premature ejaculation

yamekutokea tangu lini? Unapiga Punyeto? na kama unapiga Punyeto tangu muda gani?Umesha kwenda Hospitali kueleza

matatizo yako? Wewe unataka tu kupewa Tiba ya hayo matatizo yako ya
(Kuwahi kumwaga Mapema)Premature ejaculation pasipo

na kutoa maelezo yako kwa kirefu tutakutibu kivipi mkuu?
 
kuna mambo ya muhimu yanakosekana na muhimu kufahamu kabla ya kujibu swali lako

1. umri wako

2. tatizo lilianza lini? au ndo toka ulivyo barehe?
3. ilikuja gafla au taratibu?
4. unachukua kama dakika ngapi kufikia mshindo?

tuanzie hayo
 
Back
Top Bottom