38 years man, single and searching

38 years man, single and searching

I'm a man with 38yrs ,an Engineer by professional with Bachelor degree.A Christian ,174cm tall,67kg ,black and white.

Looking for a lady with 30-39yrs from any trouble in Tanzania,from any domination ,with any education level.
Hii kingereza iliyotumika kwenye paragraph ya pili ndo sijaielewa kabisa TROUBLE, DOMINATION......anyway ni Engineer. Wadada jaribu bahati zenu chap
 
Hii kingereza iliyotumika kwenye paragraph ya pili ndo sijaielewa kabisa TROUBLE, DOMINATION......anyway ni Engineer. Wadada jaribu bahati zenu chap
Hao ndo wasomi wetu ambao badae serikali inawapa uongozi, mfano hii jamaa unapewa uwaziri wa ujenzi, baada ya miaka kadhaa anapewa urais wa kusukumizwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
I'm a man with 38yrs ,an Engineer by professional with Bachelor degree.A Christian ,174cm tall,67kg ,black and white.

Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania,from any domination ,with any education level.

Nadhani kuna shida pahala……
 
Hao ndo wasomi wetu ambao badae serikali inawapa uongozi, mfano hii jamaa unapewa uwaziri wa ujenzi, baada ya miaka kadhaa anapewa urais wa kusukumizwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mapambano ya kumuharibia mwanaume mwenzako. Hapa ni kutazama makosa tu na kuhakikisha anachapwa nayo apoteze mvuto. 😃
 
Mapambano ya kumuharibia mwanaume mwenzako. Hapa ni kutazama makosa tu na kuhakikisha anachapwa nayo apoteze mvuto. 😃
Kabisa mkuu,wanaume tunaharibiqna.Si Amini katika mitandao lakini wadada ninavyo wajua wakishaona Jinsi mshikaji alivuo kosolewa anapoteza mvuta sqna.
 
Back
Top Bottom