Endoclinologist
Member
- Jun 9, 2022
- 16
- 39
Hii kingereza iliyotumika kwenye paragraph ya pili ndo sijaielewa kabisa TROUBLE, DOMINATION......anyway ni Engineer. Wadada jaribu bahati zenu chapI'm a man with 38yrs ,an Engineer by professional with Bachelor degree.A Christian ,174cm tall,67kg ,black and white.
Looking for a lady with 30-39yrs from any trouble in Tanzania,from any domination ,with any education level.
"From any trouble "?[emoji41]I'm a man with 38yrs ,an Engineer by professional with Bachelor degree.A Christian ,174cm tall,67kg ,black and white.
Looking for a lady with 30-39yrs from any trouble in Tanzania,from any domination ,with any education level.
Hao ndo wasomi wetu ambao badae serikali inawapa uongozi, mfano hii jamaa unapewa uwaziri wa ujenzi, baada ya miaka kadhaa anapewa urais wa kusukumizwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii kingereza iliyotumika kwenye paragraph ya pili ndo sijaielewa kabisa TROUBLE, DOMINATION......anyway ni Engineer. Wadada jaribu bahati zenu chap
Sorry it is typing error ,correctedHii kingereza iliyotumika kwenye paragraph ya pili ndo sijaielewa kabisa TROUBLE, DOMINATION......anyway ni Engineer. Wadada jaribu bahati zenu chap
Trouble=Trible"From any trouble "?[emoji41]
Sawa Mr. Engineer
Hamna trible bhana........sema tribe au andika kiswahili tu wadada watakuelewaTrouble=Trible
Sorry sir,consider
Mkuu unahakika wewe ni mwanaume ?Hii kingereza iliyotumika kwenye paragraph ya pili ndo sijaielewa kabisa TROUBLE, DOMINATION......anyway ni Engineer. Wadada jaribu bahati zenu chap
Trible[emoji735]Trouble=Trible
Sorry sir,consider
I'm a man with 38yrs ,an Engineer by professional with Bachelor degree.A Christian ,174cm tall,67kg ,black and white.
Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania,from any domination ,with any education level.
Mapambano ya kumuharibia mwanaume mwenzako. Hapa ni kutazama makosa tu na kuhakikisha anachapwa nayo apoteze mvuto. 😃Hao ndo wasomi wetu ambao badae serikali inawapa uongozi, mfano hii jamaa unapewa uwaziri wa ujenzi, baada ya miaka kadhaa anapewa urais wa kusukumizwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu ni Tribe na sio Trible!Trouble=Trible
Sorry sir,consider
Anatafuta mwenza. Kajaribu kuweka kwa lugha aliyofikiri itampa credit, huenda haijui vizuri ila katumia uongo kuhadaa ili apate mwenza hakuna shida yoyote. Mnamuharibia tu.Nadhani kuna shida pahala……
What does trible mean?! I hope you meant it to be TRIBETrouble=Trible
Sorry sir,consider
Kabisa mkuu,wanaume tunaharibiqna.Si Amini katika mitandao lakini wadada ninavyo wajua wakishaona Jinsi mshikaji alivuo kosolewa anapoteza mvuta sqna.Mapambano ya kumuharibia mwanaume mwenzako. Hapa ni kutazama makosa tu na kuhakikisha anachapwa nayo apoteze mvuto. 😃
kawaida mkuu lakini wanaume huwa hatufanyi hayo ya kuharibiana ,mshikaji umri wenyewe umekimbia .Nadhani kuna shida pahala……
Wacheki hawa warembo financial services na KelseaI'm a man with 38yrs ,an Engineer by professional with Bachelor degree.A Christian ,174cm tall,67kg ,black and white.
Looking for a lady with 30-39yrs from any trible in Tanzania,from any domination ,with any education level.
I'm certain you know what he meant.What does trible mean?! I hope you meant it to be TRIBE