3G baadhi ya maeneo haikamati, 4G tiamaji tiamaji, 5G je, itasimama? Gharama za bando je?

3G baadhi ya maeneo haikamati, 4G tiamaji tiamaji, 5G je, itasimama? Gharama za bando je?

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Mtandao wa Vodacom umezindua huduma ya intanenti ya kasi kubwa ya 5G mapema leo 1/9/2022. Sasa kama kuna baadhi ya maeneo 3G tu haikamati hii, 4G kusumbua kwenye maeno mengi, hii 5G italeta tofauti yoyote?

Au ndio kisingizio cha kutuongezea gharama za bando kiujanja, tukija kuwauliza watuambie kasi ya intaneti imeongezeka hivyo na gharama lazima zipande?!🤪🤪
 
Wapunguze bei za bando sio kupandisha tu kisingizio kikiwa ubora wa mtandao ni mkubwa.
 
Pengine mm mshamba ila 3g inanitosha kabisa kwa shuguli zangu
 
Voda 4g inasumbua Sasa hapo kwenye 5g ni shida
 
Back
Top Bottom