3rd Anniversary ya Blogu ya Wananchi, Nchi ilisimama kwa masaa kadhaa

3rd Anniversary ya Blogu ya Wananchi, Nchi ilisimama kwa masaa kadhaa

Babu nipashe lemutuz madongo ya ukweli yamekuuma hadi umeamua kuandika barua kwa vitoto vyako vya instagram sababu unajua hamna wa kuku challenge pale,madongo ya ukweli yanakuuma hadi umekimbia kujibu hapa jamii forums,nina wewe hadi useme poo au ukanisemehe kwa baba manake we bado mtoto haha,umekuwa deported na hutakanyaga tena USA haha utaishia kuwaponda tu wanaume wenzako ambao bado maisha yao yanaenda vizuri tu USA wewe baki hapohapo kwenye kijumba chako cha kulipia kodi asante msajili na kuendesha mnoah wako kama ambulance huku umri ushakupita mkono na uendelee kuftuka kama chura huku chini kwako kunaendelea kushrink haha hadi mke akaenda kutafuta dogodog wa TBC sababu wewe kazi imekushinda babu nipashe haha poleee na mawazo.

- hahahahahahhahahha WAFWA hahahahahaha weka picha hapa watu wapime hahahahahahhaa

le Mutuz
 
Hah

Hahahaha babu chakubimbi hivi umeona huo msura wako ulivyokunjana kwa uzee na hapo ni majasho na mdomo harufu kama umekula vichwa vya kuku,sasa wewe mwenyewe unasema xwife wako ana miaka 51 na wewe umempita miaka 9 sasa ina maana una miaka 60 haha,ukiona mwenzako yuko kimya haposti upuuzi kama wewe na hata fb account yake iko verry private ujue amemove on completely na wewe bado una mauchungu so ndio maana kila mtu akikupa ukweli unafikiria ni xwife wako na ndio maana unatoa madongo na kuweka vipicha vya vichangu doa vyako haha,unafikiri neema na jamaa wa TBC wanavyojiheshimu atapost utoto kama wewe haha , jamaa wa TBC si anaokuona mara nyingi umeona hata kama ana habari na wewe zaidi ya kukuona fala tu manake watoto wako wanamuita yeye baba halafu analala kile kitanda ulichonunua wewe na mke wako uliyemgharamia na uliyekunywa sumu kwa ajili yake ndio mshkaj anapiga kwa heshima zote wewe umebaki kupiga kelele na vitoto vya visingeli instagram, pole babu nipashe wa newyork,wanawake wa newyork wanatamani urudi ili wakusute na majivu kama zamani hahaha pole babu nipashe.

- hahahahahahahhaa weka picha yako hapa kama una ubavu kweli watu waone jinsi ulivyo kibibi kizee hahahaha hakuna mwanaume anaoa kimama cha miaka 51 hahahahahaha hamna hahahahahahha WAFWA!1

LE Mutuz
 
Haha babu jinga wivu umekushika au unataka kujicompare na handsome boy wa TBC haha hujui kama yule responsible young guy anafanya kazi for fun tu na yeye mwenyewe yuko verry loaded more than u,nyumba na na magari kwake vitu vya kawaida halafu nasikia na kitandani ni balaa wewe ulikuwa unafura tumbo tu na mambo ya kike umbeya na usengenyaji Newyork nzima wanakujua walikuwa wanakuita babu nipashe haha yani wewe newyork ulikimbia kwa aibu nyingi,lemutuz usimuingize xwife wako hapa mimi sio xwife wako ila nakujua vizuri tu yani hapa kama unajizalilisha mwenyewe na watoto wako japo huwajali babu nipashe, nasikia neema anazidi kuwaka tu na kunawiri haha wewe unanunua tu machangu na kuwauza ili tu uonekane relevant mjini hahaha pole jingalao,kwanini wanawake wa newyork walikuwa wanakusuta sana haha,babu mbeya hadi mke akakupuga kibuti hahaha na USA huingii tena pole endelea tu kujizalilisha mitandaoni na selfie zako za kizee haha.
Case, naomba nieleweshe hapo kwa jamaa wa tbc, maana sielewi ati.


Ahsante.
 
Case, naomba nieleweshe hapo kwa jamaa wa tbc, maana sielewi ati.


Ahsante.
Jamaa wa TBC ndio huyo bwana ambaye mke wake lemutuz yuko naye kwa sasa,lemutuz na makelele yake yote hawezi kukanyaga TBC jinsi roho inavyomuuma manake mshkaj amempita jamaa kila kit pesa u handsome halafu bado watoto wa lemutuz wanamuita jamaa daddy halafu lemutuz mwenyewe wamempotezea haha wanamuona kama kibaka flani hivi,sio umeona madongo anayoyapata hapa anaogopa hata kujibu anabaki kuchekacheka kiuchungu cause anaogopa siri zake kutoka nje zaidi
 
Jamaa wa TBC ndio huyo bwana ambaye mke wake lemutuz yuko naye kwa sasa,lemutuz na makelele yake yote hawezi kukanyaga TBC jinsi roho inavyomuuma manake mshkaj amempita jamaa kila kit pesa u handsome halafu bado watoto wa lemutuz wanamuita jamaa daddy halafu lemutuz mwenyewe wamempotezea haha wanamuona kama kibaka flani hivi,sio umeona madongo anayoyapata hapa anaogopa hata kujibu anabaki kuchekacheka kiuchungu cause anaogopa siri zake kutoka nje zaidi
-Hahahahh... Ni hatari, Sasa Case Le Mutuz anasema ex wake yupo USA na huyo bwana yupo Bongo (TBC). Nipe taarifa hapo iko vp apo.



Ahsante.
 
IMG_191554785784376.jpeg
huyu ndio xwife wa lemutuz mama anaye mchanganya lemutuz tangu ujana wake,mama mrembo aliyewahi kumfanya lemutuz anywe sumu pale ukonga,huyu ndio mrembo aliyemfanya lemutuz aione USA na watanzania wote wanaokaa marekani pachungu,huyu ndio amesababisha lemutuz ajiself deport kutoka USA , lemutuz alibembeleza kwa mwaka mmoja na nusu ili mama alegeze kamba lakini mama aliendelea na msimamo wake wa kumkataa babu nipashe mwanaume kitambi chini shughuli nyepesi,mama mrembo sasa hivi anachuma kipya handsome boy wa TBC aliyempita babu nipashe kwa kila kitu pesa uzuri na shughuli yake balaa kijana ndio maana watoto wa babu lemutuz nipashe wanamuita jamaa wa TBC daddy na baba yao wanamuona kama mcheza kisingeli wa tandale hahaha pole lemutuz.
 
-Hahahahh... Ni hatari, Sasa Case Le Mutuz anasema ex wake yupo USA na huyo bwana yupo Bongo (TBC). Nipe taarifa hapo iko vp apo.

Jamaa yuko hapa bongo lakini anakwenda USA mara kwa mara kumpa dozi tamu mama lemutuz haha


Ahsante.
 
Screenshot_2015-01-14-01-21-10-1.png
Screenshot_2015-01-14-01-21-10-1.png
hapa babu nipashe na mama yake aliyemtelekeza nje ya kibanda chao hapo tunduma hahaha na bado anajiita tajiri
 
View attachment 329976huyu ndio xwife wa lemutuz mama anaye mchanganya lemutuz tangu ujana wake,mama mrembo aliyewahi kumfanya lemutuz anywe sumu pale ukonga,huyu ndio mrembo aliyemfanya lemutuz aione USA na watanzania wote wanaokaa marekani pachungu,huyu ndio amesababisha lemutuz ajiself deport kutoka USA , lemutuz alibembeleza kwa mwaka mmoja na nusu ili mama alegeze kamba lakini mama aliendelea na msimamo wake wa kumkataa babu nipashe mwanaume kitambi chini shughuli nyepesi,mama mrembo sasa hivi anachuma kipya handsome boy wa TBC aliyempita babu nipashe kwa kila kitu pesa uzuri na shughuli yake balaa kijana ndio maana watoto wa babu lemutuz nipashe wanamuita jamaa wa TBC daddy na baba yao wanamuona kama mcheza kisingeli wa tandale hahaha pole lemutuz.


- Ninachanganywa na Super Wabebezz kama huyu hapa kwenye picha dogo dogo sio mama mtumzima miaka 51, jipime hapa na picha yako ya miaka 10 iliyopita hii ni last night at Rodizio Club Masaki pole sana unashindana na ukuta, wewe utaishia kuwa mke wa pili tu kuwa mke mmoja kama ulipokuwa na mimi huwezi cause hakuna Mwanaume wa kweli Duniani anaweza oa mama mwenye watoto 2 na miaka 51, hahahahaha hata ulie vipi hapa JF hamna utaishia wanaume za watu tu wanaotaka vipesa vya watoto wako unavyopewa na Serikali ya huko, by the way sisi bongo maisha yanasonga kama kawa ona picha hiyo batazz batannn

le Mutuz
 

- Ninachanganywa na Super Wabebezz kama huyu hapa kwenye picha dogo dogo sio mama mtumzima miaka 51, jipime hapa na picha yako ya miaka 10 iliyopita hii ni last night at Rodizio Club Masaki pole sana unashindana na ukuta, wewe utaishia kuwa mke wa pili tu kuwa mke mmoja kama ulipokuwa na mimi huwezi cause hakuna Mwanaume wa kweli Duniani anaweza oa mama mwenye watoto 2 na miaka 51, hahahahaha hata ulie vipi hapa JF hamna utaishia wanaume za watu tu wanaotaka vipesa vya watoto wako unavyopewa na Serikali ya huko, by the way sisi bongo maisha yanasonga kama kawa ona picha hiyo batazz batannn

le Mutuz
Babu mtu mzimaa ovyoooo unapewa madongo na wanaume wenzako badala ya kujibu hoja na madongo unaishia kutekenyeka tekenyeka kama unavyotekenywa na Davis Mosha haha,uzee umekuingia vibaya wewe shauri unawezaa kuwa kichaa kama yule bimkubwa wako pale tunduma ila huku Dar watakupeleka rutindi , by the way jamaa wa millionaire wa ukweli wa TBC anaondoka keshokutwa kwenda New York vipi hauna zawadi hata ya vipedi vya noela haha.
 
Haya yote msaga sumu kayasababisha this is shame smtime mtu kukaa kimya ni busara
 
Jamani hii issue sio ya Lemutuz na mkewe ila yeye ndio anataka ionekane hivyo au anafurahi kupata chance ya kutoa dukuduku la moyoni mwake dhidi ya mkewe sababu uchungu wa kuachwa na mwanamke uliyempenda kwa muda mrefu ambaye alikunywa sumu kwa ajili yake ni mbaya sana,uchungu wa kukimbizwa kwenye nchi ulioishi kwa zaidi ya miaka 25 na kujua huwezi kukanyava tena ni maumivu sana,uchungu wa kumuona mkeo na mwanaume mpya ambaye ana pesa chafu na handsome kushinda yeye mwenyewe na hapohapo watoto wake ndio wanamuita baba halafu baba mzazi wanamuona kama mcheza kisingeli pale uwanja wa fisi na pensi nyanya lake ni maumivu sana moyoni mwa lemutuz, huyu babu lemutuz aliwahi kulia kwenhe gari pale ukonga baada ya watoto wake kumpotezea na yule wa kike kumfokea kabisa mzee lemutuz na kumwambia ur not our father and u died the time u run away from us lemutuz uchungu ulimzidi kidogo aanguke na pressure, mimi sio xwife wake lakini ni mtu wake wa karibu sana na lemutuz tunaongea sana tangu USA hadi hapo bongo na ni mzee mwenzake lakini yeye anataka kuamisha jamii mimi ni mkewe sababu ndio mtu pekee anayemjua vizuri , Lemutuz acha hizo Neema ahusiki hapa ni wewe mwenyewe unajidhalilisha mbele ya jamii na unawadhalilisha watoto wako japo huna mawasiliano nao lakini bado ni damu yako.
 
Jamani hii issue sio ya Lemutuz na mkewe ila yeye ndio anataka ionekane hivyo au anafurahi kupata chance ya kutoa dukuduku la moyoni mwake dhidi ya mkewe sababu uchungu wa kuachwa na mwanamke uliyempenda kwa muda mrefu ambaye alikunywa sumu kwa ajili yake ni mbaya sana,uchungu wa kukimbizwa kwenye nchi ulioishi kwa zaidi ya miaka 25 na kujua huwezi kukanyava tena ni maumivu sana,uchungu wa kumuona mkeo na mwanaume mpya ambaye ana pesa chafu na handsome kushinda yeye mwenyewe na hapohapo watoto wake ndio wanamuita baba halafu baba mzazi wanamuona kama mcheza kisingeli pale uwanja wa fisi na pensi nyanya lake ni maumivu sana moyoni mwa lemutuz, huyu babu lemutuz aliwahi kulia kwenhe gari pale ukonga baada ya watoto wake kumpotezea na yule wa kike kumfokea kabisa mzee lemutuz na kumwambia ur not our father and u died the time u run away from us lemutuz uchungu ulimzidi kidogo aanguke na pressure, mimi sio xwife wake lakini ni mtu wake wa karibu sana na lemutuz tunaongea sana tangu USA hadi hapo bongo na ni mzee mwenzake lakini yeye anataka kuamisha jamii mimi ni mkewe sababu ndio mtu pekee anayemjua vizuri , Lemutuz acha hizo Neema ahusiki hapa ni wewe mwenyewe unajidhalilisha mbele ya jamii na unawadhalilisha watoto wako japo huna mawasiliano nao lakini bado ni damu yako.

- NEEMA NGWILULUPI NAOMBA NIKUJIBU KWA MARA YA MWISHO NA BAADA YA LEO SITAKIUJIBU TENA:-

Wewe ni Neema Ngwilulupi my ex wife na mama wa watoto wangu 2, ni miaka 5 sasa toka tuachane nashangaa mpaka leo unashindwa kukubali ukweli kwamba ndoa ilishaisha na aliyeikataa ndoa ni wewe mwenyewe, sasa kama kweli uliamua ukiwa ana akili sawa sawa haya makelele yanatokea wapi? Nakushangaa na kukuonea huruma sana nimekuonbea sana kwa Mungu akupatie MWanaume wa maana kama mimi kusudi usimame na kuwa stable cause itakusaidia kunisahau, lakini wapi mimi ninaishi Tanzania wewe unaishi USA lakini hata nikikohoa bongo unajua hahahahaha

- Naomba nikuambie hivi mimi nilisahakusahau wala sina shida na wewe ulipomuomba Davis aniombe nikurudie ningekuwa na shida na wewe ningekurudia, kama unayoyasema ni ya kweli kwamba nilitaka kujiua kwa sababu yako then mbona sasa sijafa? hahahaha Unajidhalilisha sana na kukimbilia huku kwenye Social MEdia kuna watu wengi sana mwanzoni walikuamini kwamba una sababu ya kukataa ndoa mpaka ulipoanza kujivua nguo huku ndio sasa watu wananipigia na kuniomba radhi kwamba walikosea sana kunihukumu bila kukufahamu tabia zako, haya unayoyaandika humu mpaka isntagram yanakuvua nguo kuwa ni mwanamke wa aina gani?

- As for me maisha yangu yanaendelea kama nilivyokuleta US nilikuwa maisha nilikuwa ninapigana na mpaka leo ninaendelea kupigana, hata ianguke mvua ya mawe siwezi kumrudia Mama mtumzima wa miaka 51 kama wewe NEVER na haitakuja kutokea, nimeshitushwa sana kusikia kwamba umeolewa mke wa pili na kubadili dini kwa mtoto wa kutoka Familia ya Mchungaji wa kwanza Mbeya hilo limenishitua sana nilidhani nilikuwa nimeoa Mwanamke mwenye Staha na heshima zake kumbe haikuwa kweli maana MWanamke mwenye heshima zake hawezi kutoka kwenye ndoa ya Kikristo na kuishia kuwa mke wa pili na kubadili dini kama ulivyofanya. Najua sasa una presha sana ya maisha kwa sababu zile biashara zako huwezi kutuma tena maana itabidi ulipie kodi na siku hizi bongo wananchi hawana hela za mchezo tena kama zamani, najua ndio sababu kubwa inayokusumbua mpaka kuja kulia lia huku JF, una matatizo ya pesa sasa si umeolewa na Bwana anatakiwa kukujali na watoto au hana kitu? Maana kwa mshahara huu wa bongo najua hawezi kukusaidia pole sana ila ni maamuzi uliamua mwenyewe.

- Mimi huku Bongo nimefungua kampuni yangu, nina ofisi yangu Posta mpya, ninatoa ajira kwa vijana ndio kwanza nimerudi kutoka Lagos na Dubai kikazi next week nitakuwa MWanza kikazi na nikirudi nitaenda South Africa kikazi na nikirudi nitaenda UK kikazi pia, yanayokukuta kweli nakuonea huruma maana mtumzima mwenye maisha yake mazuri hawezi kuja kulia lia huku maana yake ni moja tu crying for help, najua hata hapo kazini kwako Ubalozini wanakuonea huruma tu kukufukuza kazi maana kwa kuandika andika huku mfanyakazi wa Ubalozi unaharibu jina la Ofisi na ni against the Government Policies naomba Mungu waendelee kukuonea huruma maana ukirudi huku bongo sijui utafanya nini maana hata huyo mume aliyekuoa hana pa kukaa anaishi kwenye nyumba ya mke mkubwa sio yake na huko TBC aliko soon watapunguzwa so muombe sana Mungu ubaki hapo kazini maana ukirudi huku yatakuwa majanga.

- Eti una mwanaume mwenye pesa chafu? hahahahah mfanyakazi wa TBC aanayetunzwa na mkewe all his life na sasa unamtunza wewe ndio unasema ana hela chafu? Mwanaume mwenye hela chafu anaweza kukubali kuja huko na kubebeshwa sabuni na mafuta ya wanawake kuja kuuza huku ndio mle? hahahahaha hii imenivunja sana mbavu hahahahahahah

- AGAIN NAKUTAKIA MAISHA MEMA SANA ILA ACHANA NA MIMI NA KUANZIA LEO SITAKUJIBU TENA ANDIKA UNAVYOTAKA MAANA NINA MAMBO MENGI MUHIMU NA MAKUBWA YA KUFANYA FOR MY LIFE!!

le Mutuz
 
lakini bwana mkubwa mambo kama haya why yasiwe private weww na yeye? ilikuaje yakafika kwenye media.? vizuri zaidi mkawa kimya wote coz kuachana sio uadui
 
- NEEMA NGWILULUPI NAOMBA NIKUJIBU KWA MARA YA MWISHO NA BAADA YA LEO SITAKIUJIBU TENA:-

Wewe ni Neema Ngwilulupi my ex wife na mama wa watoto wangu 2, ni miaka 5 sasa toka tuachane nashangaa mpaka leo unashindwa kukubali ukweli kwamba ndoa ilishaisha na aliyeikataa ndoa ni wewe mwenyewe, sasa kama kweli uliamua ukiwa ana akili sawa sawa haya makelele yanatokea wapi? Nakushangaa na kukuonea huruma sana nimekuonbea sana kwa Mungu akupatie MWanaume wa maana kama mimi kusudi usimame na kuwa stable cause itakusaidia kunisahau, lakini wapi mimi ninaishi Tanzania wewe unaishi USA lakini hata nikikohoa bongo unajua hahahahaha

- Naomba nikuambie hivi mimi nilisahakusahau wala sina shida na wewe ulipomuomba Davis aniombe nikurudie ningekuwa na shida na wewe ningekurudia, kama unayoyasema ni ya kweli kwamba nilitaka kujiua kwa sababu yako then mbona sasa sijafa? hahahaha Unajidhalilisha sana na kukimbilia huku kwenye Social MEdia kuna watu wengi sana mwanzoni walikuamini kwamba una sababu ya kukataa ndoa mpaka ulipoanza kujivua nguo huku ndio sasa watu wananipigia na kuniomba radhi kwamba walikosea sana kunihukumu bila kukufahamu tabia zako, haya unayoyaandika humu mpaka isntagram yanakuvua nguo kuwa ni mwanamke wa aina gani?

- As for me maisha yangu yanaendelea kama nilivyokuleta US nilikuwa maisha nilikuwa ninapigana na mpaka leo ninaendelea kupigana, hata ianguke mvua ya mawe siwezi kumrudia Mama mtumzima wa miaka 51 kama wewe NEVER na haitakuja kutokea, nimeshitushwa sana kusikia kwamba umeolewa mke wa pili na kubadili dini kwa mtoto wa kutoka Familia ya Mchungaji wa kwanza Mbeya hilo limenishitua sana nilidhani nilikuwa nimeoa Mwanamke mwenye Staha na heshima zake kumbe haikuwa kweli maana MWanamke mwenye heshima zake hawezi kutoka kwenye ndoa ya Kikristo na kuishia kuwa mke wa pili na kubadili dini kama ulivyofanya. Najua sasa una presha sana ya maisha kwa sababu zile biashara zako huwezi kutuma tena maana itabidi ulipie kodi na siku hizi bongo wananchi hawana hela za mchezo tena kama zamani, najua ndio sababu kubwa inayokusumbua mpaka kuja kulia lia huku JF, una matatizo ya pesa sasa si umeolewa na Bwana anatakiwa kukujali na watoto au hana kitu? Maana kwa mshahara huu wa bongo najua hawezi kukusaidia pole sana ila ni maamuzi uliamua mwenyewe.

- Mimi huku Bongo nimefungua kampuni yangu, nina ofisi yangu Posta mpya, ninatoa ajira kwa vijana ndio kwanza nimerudi kutoka Lagos na Dubai kikazi next week nitakuwa MWanza kikazi na nikirudi nitaenda South Africa kikazi na nikirudi nitaenda UK kikazi pia, yanayokukuta kweli nakuonea huruma maana mtumzima mwenye maisha yake mazuri hawezi kuja kulia lia huku maana yake ni moja tu crying for help, najua hata hapo kazini kwako Ubalozini wanakuonea huruma tu kukufukuza kazi maana kwa kuandika andika huku mfanyakazi wa Ubalozi unaharibu jina la Ofisi na ni against the Government Policies naomba Mungu waendelee kukuonea huruma maana ukirudi huku bongo sijui utafanya nini maana hata huyo mume aliyekuoa hana pa kukaa anaishi kwenye nyumba ya mke mkubwa sio yake na huko TBC aliko soon watapunguzwa so muombe sana Mungu ubaki hapo kazini maana ukirudi huku yatakuwa majanga.

- Eti una mwanaume mwenye pesa chafu? hahahahah mfanyakazi wa TBC aanayetunzwa na mkewe all his life na sasa unamtunza wewe ndio unasema ana hela chafu? Mwanaume mwenye hela chafu anaweza kukubali kuja huko na kubebeshwa sabuni na mafuta ya wanawake kuja kuuza huku ndio mle? hahahahaha hii imenivunja sana mbavu hahahahahahah

- AGAIN NAKUTAKIA MAISHA MEMA SANA ILA ACHANA NA MIMI NA KUANZIA LEO SITAKUJIBU TENA ANDIKA UNAVYOTAKA MAANA NINA MAMBO MENGI MUHIMU NA MAKUBWA YA KUFANYA FOR MY LIFE!!

le Mutuz
Salute lemtuz
 
Back
Top Bottom