MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
- Thread starter
-
- #41
yeah Lemutuzz mmiliki wa Live straight talkHahahahaa kumbe ni lemutuz
hahha haahHuyu jamaa bogazz sana anajiita akili kichwani pumba tupu kwa umri alikuwa nao na wadhifa wa baba yake alitakiwa kufanya kitu vya maana sio mambo ya blogs kutwa kupiga picha na zero brain girls
Me niliogopa kwenye kukutana na super billionaires akhaaaHahahaha...mkuu @Reimundo umenibamba
nilikua tight na mihangaiko nikaomba complimentary yangu apewe Kaboom au mwanaye Heaven Sent na hawajanipa mrejesho mpaka sasa
jana nchi ilisimama kwa masaa kadhaa baada ya muwekezaji mkubwa kwenye suala la mitandao ya kijamii kutimiza miaka mitatu ya uwekezaji baada ya kutoka ulaya na Marekani na utajiri wa kutisha uliofikia dola 500 baada ya kukaa huko miaka 30.
Sherehe hiyo iliambatana na kufungwa kwa barabara kadhaa huku askari wakitawanywa kila kona ili kumhakikishia usalama muwekezaji huyo ambapo askari hao walitumia helkopta,farasi na magari maalum.
Muwekezaji huyo aliyeshindwa kuingia Dubai baada ya shirika la ndege kumwambia ajitegemee nauli,ambapo alisema kwa sasa yuko vibaya financially kabla ya kupata sponsor mwingine ambaye alikubali kumlipia nauli lkn kama atakubali kwenda Sokoto Nigeria na sio Dubai tena.
Sherehe hiyo ilifana zaidi baada ya viongozi wa kiserikali waliposhauri Lemutuz apate usajiri kutoka brela ili Wakenya wasije wakasema Akili kubwa anatoka Nakuru.
Mpaka leo mchana muwekezaji huyo alikuwa Hilton by tree akipata coffee kwa ajili ya kuchangamsha Le Ubongozz kabla ya kuja na live straight talk
Hii kitu nilishawahi kuihisi picha anazopiga na wanaume ni wanaojulikana tu ila utamkuta anajibebisha kwa visichana vidogovidogo sawa na watoto wake halafu anajiita akili kubwazNasikia huyo jamaa ni mtu wa majungu sana na kuwadi wa kuuza wasichana mtandaoni kupitia blogu yake. Ila kidogo ana akili, aliweza kurudi Bongo na dola 500 alizosevu Zaidi ya miaka 30 aliyoishi nje ya nchi.
Hahaha my super mfilipino you have to scare about nothingMe niliogopa kwenye kukutana na super billionaires akhaaa
Weee usifanye utani kushikana mikono na super mogul Davis Mosha, ntadondoka kwa presha etiHahaha my super mfilipino you have to scare about nothing
Super billionaires are there waiting for you greatly supposed by the akili kubwazz they real wanna see you bright heaven sent
Hahaha Heaven SentWeee usifanye utani kushikana mikono na super mogul Davis Mosha, ntadondoka kwa presha eti
Tupia picha mkuujamani mbona sikuwaona ndugu zangu kwenye super anniversary,Le mbebezz super mtindizz wote wakali walikuwepo,u know me I luv bongo,masupa bilionea pia walikuwepo yaani ilikuwa Le kufwa kwa Nyani,Akili kubwa wote walikuwepo hata Le mburulazz-Im humble u Know-Le Mutuzz nation
Hahaha at your service, you just keep on smiling u knowHahaha Heaven Sent
I told you like several times stop making me smile like this way am smilling now and this will be until late night[emoji16]
siku ya anniversary alikuwa aliomba mbebez wa kujitolea kulala naeWeee usifanye utani kushikana mikono na super mogul Davis Mosha, ntadondoka kwa presha eti
Teh Teh uknw kujibebisha kwa watoto....uknw ina hitaji akili kubwaza na degree zaidi ya moja ...uknw..Hii kitu nilishawahi kuihisi picha anazopiga na wanaume ni wanaojulikana tu ila utamkuta anajibebisha kwa visichana vidogovidogo sawa na watoto wake halafu anajiita akili kubwaz
Teh Teh hivi hii live straight talk ameisajili COSOTA?yeah Lemutuzz mmiliki wa Live straight talk
Hahaha at your service, you just keep on smiling u know
Teh teh..Msaga sumu hajatulia hata kidogoHahahah...broo!!
Naona kila mtu anamkataa le akili kubwaz ila 500 USD per 30 year nimecheka sana hahah[emoji38]