3rd Anniversary ya Blogu ya Wananchi, Nchi ilisimama kwa masaa kadhaa

Huyu jamaa bogazz sana anajiita akili kichwani pumba tupu kwa umri alikuwa nao na wadhifa wa baba yake alitakiwa kufanya kitu vya maana sio mambo ya blogs kutwa kupiga picha na zero brain girls
hahha haah
 


Nasikia huyo jamaa ni mtu wa majungu sana na kuwadi wa kuuza wasichana mtandaoni kupitia blogu yake. Ila kidogo ana akili, aliweza kurudi Bongo na dola 500 alizosevu Zaidi ya miaka 30 aliyoishi nje ya nchi.
 
Nasikia huyo jamaa ni mtu wa majungu sana na kuwadi wa kuuza wasichana mtandaoni kupitia blogu yake. Ila kidogo ana akili, aliweza kurudi Bongo na dola 500 alizosevu Zaidi ya miaka 30 aliyoishi nje ya nchi.
Hii kitu nilishawahi kuihisi picha anazopiga na wanaume ni wanaojulikana tu ila utamkuta anajibebisha kwa visichana vidogovidogo sawa na watoto wake halafu anajiita akili kubwaz
 
Hahaha my super mfilipino you have to scare about nothing

Super billionaires are there waiting for you greatly supposed by the akili kubwazz they real wanna see you bright heaven sent
Weee usifanye utani kushikana mikono na super mogul Davis Mosha, ntadondoka kwa presha eti
 
Weee usifanye utani kushikana mikono na super mogul Davis Mosha, ntadondoka kwa presha eti
Hahaha Heaven Sent

I told you like several times stop making me smile like this way am smilling now and this will be until late night[emoji16]
 
Tupia picha mkuu
 
Hahaha Heaven Sent

I told you like several times stop making me smile like this way am smilling now and this will be until late night[emoji16]
Hahaha at your service, you just keep on smiling u know
 
Hii kitu nilishawahi kuihisi picha anazopiga na wanaume ni wanaojulikana tu ila utamkuta anajibebisha kwa visichana vidogovidogo sawa na watoto wake halafu anajiita akili kubwaz
Teh Teh uknw kujibebisha kwa watoto....uknw ina hitaji akili kubwaza na degree zaidi ya moja ...uknw..

hahahaha....
 
Hahahah...broo!!

Naona kila mtu anamkataa le akili kubwaz ila 500 USD per 30 year nimecheka sana hahah[emoji38]
Teh teh..Msaga sumu hajatulia hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…