Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahaha will catch up with you tomorrow basiHahaha no way you know i just dont need this anymore am going to sleep now[emoji38]
Hahaha mbona sikuiona hii jamani, sijui angenikubali sasasiku ya anniversary alikuwa aliomba mbebez wa kujitolea kulala naeView attachment 326773
yah tayariTeh Teh hivi hii live straight talk ameisajili COSOTA?
Haha no way bro plan B inabidi ihusikeCongcong Wang hana simu bro..Labda nikupe adress ya kwao
aliiweka,pitia post zake kabla ya anniversaryHahaha mbona sikuiona hii jamani, sijui angenikubali sasa
Aisee mkuu kwanini uliikataa hiyo fursa adhimu hivyo? Hukutaka kukutana LE AKILI KUBWAAZ? Na mabilionea!Hahahaha...mkuu Reimundo umenibamba
nilikua tight na mihangaiko nikaomba complimentary yangu apewe Kaboom au mwanaye Heaven Sent na hawajanipa mrejesho mpaka sasa
Huyu ni Akili ndogo sio akili kubwasiku ya anniversary alikuwa aliomba mbebez wa kujitolea kulala naeView attachment 326773
Teh Teh hapo kwenye dola 500 ndipo palinipasua mbavu..aisee jf...Jf kuna raha sana dola 500 kwa miaka 30_ kwa hiyo kila mwaka aliwekeza dola 16.6
Teh Teh huyu mwekezaji hatari sana daaa...."Mwekezaji huyo aliyeshindwa kuingia dubai..." mimi mbavu huku sina kuna watu wanavipaji aiseee
Hivi kweli kabisa girlfriend wake anakubali le mutuz kuvaa hivi-maana hizi fito sio utaniNa hapa akihaidiwa na mtu mzima mwenzaje umri mmoja kama wataanza kumshonea suti na kaunda kutoka kwa sheria ngowi manake anadhalilisha wazee wenzake kwa kuvaa nguo kama mcheza visingeli wa tandale au sijui bado anajikna na yeye ni diamond hahaView attachment 326675