Mbona inaonekama kama bado hujavunja ungo?, akili zako ni za kitoto sana, mimi nimekuletea vitu vinavyotumika kuonyesha Tanzania imeizidi Kenya, kama vile Hospitali kubwa zenye vifaa vya kisasa na aina ya operation na idadi ya operations zinazofanyika, wewe badala ya kujibu kwanza hizo nilizokuletea, wewe unaleta vitu vingine ambavyo havionyeshi ubora na kiwango cha service inayotolewa.
Kama una idadi kubwa ya specialists lakini huna Hospital bora au vifaa vya kisasa inasaidia nini?. Onyesha ni procedure zipi hao specialists walizofanya kuzidi Tanzania, we need output sio idadi ya specialists ambao hawafanyi kazi yoyote.
Nimekutajia 1)cancer Hospital inayohudumia wagonjwa wote wa east and central Africa(tangible output), Cardiac Institute inayohudumia the whole region(tangible output), nimekuambia tunafanya cochlear inplant surgery(Kenya hamfanyi na wala hamna uwezo wa kufanya), sasa hiyo idadi ya specialist inasaidia nini kama wananchi wenu wanakuja kutibiwa Tanzania?. Kwa taarifa yako, hizo data unazotumia ni more than 7 years old, tafuta za hivi karibu uone Magufuli alivyoibadilisha Tanzania. Tanzania is far ahead of Kenya in medical field. SHOW US WHICH MEDICAL PROCEDURE THAT ARE DONE IN KENYA BUT TANZANIA CAN NOT.