hilo jina uliloniita umenifanya nijisikie raha ungekuwa karibu ungepata hata chupa ndogo ya Amarula ukanywe w/end kweli mwanamke anaweza akakupa maneno matamu ukajikuta unahonga bila kutarajia, heh hivi topiki ni ipi tena?:tonguez:sweetheart changia tu unakaribishwa
mmmh unasemaje? haaa na wewe maswali yako Nyamayao........ sijui nikimbiee haaa kweli umenishika pabaya lol ...jamani tutaonana baadae naenda kula lunch aaah no kunywa supuon my behalf changia....wewe ulishawahi kumlabua mama?
Nikipata hasira nakuwaga SIONI KABISA -JUST GIZA NENE kwa hio siwezi kupiga kofi. Na kikubwa waswahili hasa wa mwananyamala na kinondoni husema mwanamke anapigwa na vitu vikuu 2 upande wa khanga na 2.......?malizieni wenyewe
hilo jina uliloniita umenifanya nijisikie raha ungekuwa karibu ungepata hata chupa ndogo ya Amarula ukanywe w/end kweli mwanamke anaweza akakupa maneno matamu ukajikuta unahonga bila kutarajia, heh hivi topiki ni ipi tena?:tonguez:
kuslap kimahaba :A S-confused1::A S-confused1:
mmmh unasemaje? haaa na wewe maswali yako Nyamayao........ sijui nikimbiee haaa kweli umenishika pabaya lol ...jamani tutaonana baadae naenda kula lunch aaah no kunywa supu
Reaction kwa slap inategemea sana na kosa lako.....
Hivi kwa mfano ukifumaniwa uki-infidelize, will you mind if are rewarded with just some few slaps?? Hope utashukuru....
kweli nyamayao nimeshamlabua mara moja ingawa najuta mpk kesho ila ilisahidia sanainaonekana kabisa umeshamlabua...kwanini?
mhhh, anilabue halafu anitimulie kwetu au anilabue halafu tunaendelea na maisha, kama tunaendelea na maisha sawa...lol
mhhh, anilabue halafu anitimulie kwetu au anilabue halafu tunaendelea na maisha, kama tunaendelea na maisha sawa...lol
unadhani kuitwa sweet heart ni kitu kidogo. Jaribu kumuita Mr. wako hivyo uone kama hutaliona jino lake la kusagia mifupahaaa yaani kuitwa hivyo tu umeshachanganyikiwa kiac hicho....lol
Nyamayao bwana umenichekesha ati
unadhani kuitwa sweet heart ni kitu kidogo. Jaribu kumuita Mr. wako hivyo uone kama hutaliona jino lake la kusagia mifupa
kweli nyamayao nimeshamlabua mara moja ingawa najuta mpk kesho ila ilisahidia sana
Akulabue halafu akulabue na nanhii (hapa si kuna watoto??).....halafu akuambie sikufukuzi!
hiyo ki2 ni ngumu sana kwa mwanaume, yani akufumanie akulabue akusamehe? cjui! wengi wanalabua na kukutimua kama hakufahamu vile, kazi kweli.
Ilitokea kwa jamaa tulikua nae chuo (ilikua ni g/f, b/f status)....jamaa alimchapa msichana vibao vya kutosha, kisha kwamwambia sikuachi...:couch2:
Kijana umekulia wapi hadi hilo neno hulijui? LOL