4 The Ladies,if your BF/Husband Slaps U Whats your Best Reaction?

4 The Ladies,if your BF/Husband Slaps U Whats your Best Reaction?

sikumbuki tena hii thread ya sisy FL1 inaongelea nini.
i wish angekuwepo aiendeleze.
 
sikumbuki tena hii thread ya sisy FL1 inaongelea nini.
i wish angekuwepo aiendeleze.

queenkami hebu angalia heading vizuri au bado valuer hazijakutoka kichwani inabidi ukimbie ukapate supu kwanza
 
Angalizo kidogo: NJe ya mada....

Nimegundua suala la infi limeathiri vijana sana kiasi kwamba popote pale pakiwa na kundi la watu, hisia zao zinahama, hili itabidi tulishughulikie na nina mpango wa kumtafuta kansela awasaidie vijana, naona teamo amefikia stage four sasa na tusipomwahi tutampoteza kabisa

Lakini sometimes miwani zinasaidia:blah:
 
queenkami hebu angalia heading vizuri au bado valuer hazijakutoka kichwani inabidi ukimbie ukapate supu kwanza

sijapata valuer labda njaa inanitia kizunguzungu,acha nikamuone bro asprin anaweza kunipiga ofa ya supu.
 
hangover imeisha ndo nagundua jinsi hii thread ilivyochakachuliwa

balaaah wallahi!!!
 
Angalizo kidogo: NJe ya mada....

Nimegundua suala la infi limeathiri vijana sana kiasi kwamba popote pale pakiwa na kundi la watu, hisia zao zinahama, hili itabidi tulishughulikie na nina mpango wa kumtafuta kansela awasaidie vijana, naona teamo amefikia stage four sasa na tusipomwahi tutampoteza kabisa

Teamo aachwe kama alivyo....HAWEZEKANI...
 
sijapata valuer labda njaa inanitia kizunguzungu,acha nikamuone bro asprin anaweza kunipiga ofa ya supu.

Queen unaniruhusu niisome hii posti yako kwa mawani yangu, au niiangalie hivyo hivyo na macho yangu yakiwa uchi?:llama::llama:
 
hangover imeisha ndo nagundua jinsi hii thread ilivyochakachuliwa

balaaah wallahi!!!

Kaka mambo ya uchakachuaji yana thread yake...hebu ka do the needful...

Hapa tuache tuendelee na logistics za infii!
 
Queen unaniruhusu niisome hii posti yako kwa mawani yangu, au niiangalie hivyo hivyo na macho yangu yakiwa uchi?:llama::llama:
hahahaaaa... huu uchokozi itabidi niufanyie kazi!!! terms and conditions apply....
 
Kaka mambo ya uchakachuaji yana thread yake...hebu ka do the needful...

Hapa tuache tuendelee na logistics za infii!
haya mkuu nakuachia logistics, i though haya mambo ya infii yanakua zaidi nje ya kamba, kumbe ni humuhumu ndani ya kamba

balaa
 
hangover imeisha ndo nagundua jinsi hii thread ilivyochakachuliwa

balaaah wallahi!!!

Mi mbona bado naiona ni ile ya FL1 orijino???
Au kuna kitu sioni hapa....:doh:
 
haya mkuu nakuachia logistics, i though haya mambo ya infii yanakua zaidi nje ya kamba, kumbe ni humuhumu ndani ya kamba

balaa
Ewaaa, yanaanza taratibu, hebu angalia hapa chini!! Halafu usimwambie n'tu!

sijapata valuer labda njaa inanitia kizunguzungu,acha nikamuone bro asprin anaweza kunipiga ofa ya supu.
 
Mi mbona bado naiona ni ile ya FL1 orijino???
Au kuna kitu sioni hapa....:doh:

We jana ilikuwaje ukaikimbia signature?

Unywaji (hasa wa bia) hauhitaji meno, hata kibogoyo anakunywa!
!😛ray2:
 
Back
Top Bottom