Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Sio hawajui tu Bali hata uwezo wa kujua hawana.Kama ni mzigo, mbona hamuutuwi basi? Wazanzibari wenyewe hatutaki Muungano, na ukivunjika itatangazwa kuwa ni siku ya uhuru ile 1964 itasahauliwa.
Tanganyika na mali zote mlizokuwa nazo lakini mnashindwa kusonga mbele. Ishu sio kuwa na mali, ishu ni je mnajua kutumia izo mali? jibu ni kuwa hamujui.
Ni kweli ulichokiandika.
Kwa muundo huu wa muungano, Zanzibar ni koloni la Tanganyika, hivyo Tanganyika inawajibika kulipia gharama ya kulitunza koloni lake.
Upande wa pili utajiuliza ni kwa vipi Tanganyika inapata faida kwa kuikalia kimabavu Zanzibar? Jibu nitakupa hapa.
1. Sababu za kiusalama. Tanganyika haiwezi kuwa salama ikiwa Zanzibar itakuwa nchi huru. Watu wenye akili wameshanielewa........
2. Uchumi wa Tanganyika kibiashara unategemea sana bandari ya Dar na makusanyo ya kodi kwa bidhaa kutoka nje. Zanzibar ikiwa nchi huru, itakuwa na mamlaka ya kuwa na bandari huru kubwa, ushirika na Oman, China au nchi za mabeberu katika uwekezaji wa kibiashara kama kisiwa huru (mfano wa Dubai) na hapo itaua bandari ya Dar na makusanyo ya kodi kwa bidhaa za nje kwa Tanganyika.
Hizi blah blah za kutaka kujenga bandari Bagamoyo zitahamia ghafla Zanzibar siku chache tu baada ya Zanzibar kuja kuwa nchi huru.
Wanaibiana wenyewe kwa wenyewe mkuu.Kama ni mzigo, mbona hamuutuwi basi? Wazanzibari wenyewe hatutaki Muungano, na ukivunjika itatangazwa kuwa ni siku ya uhuru ile 1964 itasahauliwa.
Tanganyika na mali zote mlizokuwa nazo lakini mnashindwa kusonga mbele. Ishu sio kuwa na mali, ishu ni je mnajua kutumia izo mali? jibu ni kuwa hamujui.
Kakujibu mkuu???Orodhesha hayo maeneo machache ni kama yapi tuyajue
Hawezi kuwa na elimu hiyo huyoMkuu mapato ya nchi hayatokani na kodi za TRA tu, kuna na source nyengine za mapato katika nchi
Huu muungano sisi watanganyika ndo tunaonekana kutawaliwaHuu Muungano ni mzigo Kwa Tanganyika Kwa 100% . Kifo cha JPM kimeturudisha nyuma miaka kimaendeleo. JPM Bora angemchaguaga Hussein Mwinyi kuwa vice president wa Tanzania. Kwenye katiba ibadilishwe na iseme akifa rais basi prime minister ndio awe rais. Hapa Tanganyika tunavuja Jasho kwaajili ya kuwanufaisha wazanzibar. Huu ni Muungano mbovu kuwahi kutokea duniani
Wala hawajisahau. Wanajifanya wehu tuWewe unaambiwa Zanzibar wamechangia zaidi ya 60% mchango wa kuanzishwa BOT halafu unasema 4% zanzibar kwa nini wakati Zanzibar ata 50% bado Tanganyika itakuwa wanaionea Zanzibar.,
Halafu Tanganyika wanajisahau sana kwenye hili wanaangalia idadi ya watu wakati Tanganyika walipoungana na zanzibar waliungana kama nchi na nchi.
Kwani Tanganyika wanayo bendera??Hizo mambo ni za kipimbi sana kila mtu apambane na Bendera yake!!
Ulikuwa hujui mkuu???Kuna mtu kasema kuwa TRA wanakusanya mpaka Zenji??? [emoji15]
Kwahiyo na hili deni letu la taifa la 71tr wao pia wanachangia asilimia ngapi?..au tunagawana nusu kwa nusu.[emoji28][emoji28]Kwahiyo na hili deni letu la taifa la 71tr wao pia wanachangia asilimia ngapi?..au tunagawana nusu kwa nusu.[emoji28][emoji28]
Kimsingi huu muungano ni pasua kichwa..vizenji tegemezi zaidi ya chawa..bado vinataka pasu huu ni upuuzi.
Leo hii vi zenji vikija huku ni free kwa kila jambo..ila mbara aakienda huko ubaguzi kuanzia akishuka bandarini..mara kitambulisho cha ukaazi..ni ushezi tu...harafu tunajiita watanzania etu tuna muungano.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie simtajii siku, lakini siku hiyo ikifika ndani ya kila mwezi, mzigo wa hela unakuwa na Escort unasafirishwa kutoka Zanzibar kupelekwa Airport na kupelekwa Benki Kuu.Acha uongo, tra ukusanye mapato znz alaf yote yaachwe znz basi itakua tra yenu ya kikundi cha majambazi
Au sio?Tugawane vitamu na vichungu.
Naona wengi hawaelewi huu Muungano ulivyo. Muungano si kila kitu cha Serikali kiko kwenye Muungano bali ni makubaliano ya baadhi ya mambo. Kwa uelewa tuyataje hayo mambo hapa
Yes ila kuna baadhi wanaelewa. Kuna mambo ya muungano na ambayo si ya muungano na kuna kitu kinaitwa akaunti ya pamoja ya fedha ambapo ndio kunatakiwa kuwekwa mapato ya muungano na baada ya matumizi bakaa ndio inapaswa kugawanywa kwa 4.5% kwa visiwani na 95.5% baraTAtizo linakuja wengi hawaelewi kabisa uhalisia wa mambo. wanakwenda kimihemko tu
Hii akaunti bado haijaanzishwa na ndio vice alipewa agizo la kwenda kuanzisha. Inabidi tuyaelewe haya mambo kabla ya kuwa na jazba na kukashifiana. Haya mambo yalipaswa kufundishwa kwenye somo au topiki ya uraiaYes ila kuna baadhi wanaelewa. Kuna mambo ya muungano na ambayo si ya muungano na kuna kitu kinaitwa akaunti ya pamoja ya fedha ambapo ndio kunatakiwa kuwekwa mapato ya muungano na baada ya matumizi bakaa ndio inapaswa kugawanywa kwa 4.5% kwa visiwani na 95.5% bara
Hizi ni hisia zenu tu.naona umeamua uondoke na bila ya Muungano kuna uunguja na upemba,
Mkuu wewe ni mtu umejijengea heshima humu jukwaani, si vizuri kuiharibu mwenyewe. Usiendeshwe na ushabiki.Kuna tatizo kwa Rais Samia
Inaonekana kwa kauli zake ni kama alikuwa na ''chuki' fulani na sasa anataka kutekeleza hoja za Wazanzibar na si kero za pande zote za muungano. Hili litamkwamisha sana kwasababu Watanganyika watakapochachamaa itakuwa tabu
1. Kama anataka pesa za 4% na nyingine , Rais Samia pia aeleze Mchango wa Zanzibar ni upi katika muungano?
2. Rais pia aimbie SMZ igharamie wazanzibar pale Bungeni na Wizara na taasisi za muungano kwasababu wanapata mgao wao.
3. Rais aweke wazi kipi cha muungano kipi sicho ili Watananyika nao wawe na fursa zao bila kuingiliwa
Rais Samia atambue ni Rais wa JMT si Mwakilishi wa Wazanzibar na kwamba Zanzibar wana Rais, nani atawaongelea Watanganyika?
Nimefuatilia kauli za Rais Samia ni kama vile amekuja kutekeleza hoja za Wazanzibar, hili litamsumbua sana hasa Watanganyika watakaposema 'enough is enough'. Yeye si Rais wa Zanzibar ni Rais kutoka Zanzibar
Rais Samia ana fursa ya kurudi katika Rasimu ya Warioba ili mambo ya muungano yawe wazi na Zanzibar ipate inachotaka. Tutaendelea kuidai Tanganyika ili nasi tuwe na nafasi ya kuamua masuala yetu
Kuna tatizo na Rais ashauriwe kwa kauli zinazoelekea kule kule tulipotoka '' Ni zamu yetu''
JokaKuu Mag3
Wabunge kutoka Zanzibar wapo pale kujadili mambo yote ya kibunge yanayohusu Muungano.Umedadavua vizuri mkuu, je wabunge kutoka Zanzibar wanafanya nini Dodoma nisaidie tujue faida zao kwa bara.
Hapana si kweli! kama tutakubaliana nawe basi useme kuwa ni wajibu wake kusimamia uwajibikaji wa pande zote mbili katika muungano. Haiwezekani kusimamia haki ya mapato bila kusimamia haki ya mchango na madeni.1. Rais Mama Samia sio jukumu lake kueleza mchango wa Zanzibar kwenye Muungano ila ni jukumu lake kuhakikisha kila jamii inapata haki yake inayostahili.
Hao wabunge wanakuja Dodoma kwa gharama za SMZ au za JMT ambayo ni Tanganyika? Hapa uelewe muungano ni kuwajibika si jina. Huwezi kuongelea haki bila kuongelea haki ya kuchangia na haki ya kulipa madeni.2. Rais Mama Samia anajua kwamba wabunge wote wa Zanzibar waliopo bungeni ni Wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo Zanzibar ni Mshirika. Ikisha kuwa tu jambo linalohusu jina Tanzania basi watanganyika wajue kwamba humo kuna haki za Wazanzibari na wala Wazanzibari hawafanyiwi ihsani. Hili ni muhimu lijulikane wala msijitie hamnazo.
Mkataba upi ambao umesema haujawekwa wazi?3. Si kazi ya Rais Mama Samia Suluhu Hassan kuweka wazi kipi cha muungano na kipi si cha muungano, mkataba upo na Serikali ya Muungano haijataka kuuweka wazi, anachokisimamia mama Samia ni kuhakikisha mkataba unatekelezwa.
Hapana! suala la muungano ni la kitaasisi na lishughulikiwe kitaasisi. Suala la muungano si kero za Wazanzibar ni matatizo yanayohusu Tanganyika pia ndani ya muungano hasa kubeba gharama peke yake4. Rais Mama Samia Suluhu Hassan anajua kwamba yeye ni Rais na Amir jeshi mkuu wa JMT na anapotenda anatenda kwa kuzingatia hilo. Nongwa imekuja tu baada ya yeye kuagiza hili suala lishughulikiwe????
Tunamuombea kwa mwenyezi mung amfanyie wepesi na kumuonyesha njiaRais Mama Samia Suluhu Hassan amekuja kutekeleza hoja na kutenda haki kwa Watanzania.
Sijui una maana gani maana kwangu mimi kiingereza kinanisumbua kidogoHatosumbuliwa na chochote na hao Watanganyika hawatosema enough is enough kamwe kwa sababu wamekuwa wakiinyonya Zanzibar for years. Besides there is nothing bad for Tanganyikans to say so when it comes about the union.
Hasa na kila mshirika abebe majukumu yake na ya muungano. Ushirika uwe wa kubebana si kubebwaNi imani yetu Rais wetu kipenzi Mama yetu Samia Suluhu Hassan atarudisha mchakato wa katiba mpya kwa maslahi ya Tanzania kwa ujumla ili kila upande washirika wa Muungano wapate wanachostahili.
OK! unakumbuka G55Angalizo: Watanganyika kamwe hajawahi kuidai Tanganyika yao kwahiyo hakuna suala la "tutaendelea kuidai"