Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Ninavyoelewa ni 4% ya misaada na mikopo kutoka nje in atakuwa kwenda SMZ.
Kabla ya kuungana hiyo mipaka ilikuwaje!bila Zanzibar kuwa kwenye muungano sijui mipaka ya bahari ingekuwaje?
Usichokifahamu ni kwamba TRA wanakusanya kodi hadi Zanzibar. Ndio maana sheria inataka 4% ya mapato yote Tanzania iende Zanzibar. Tena hio 4% kwa maoni yangu ni ndongo ingepaswa walau 15%.Kuna hoja nimekuta watu wanaongea, ni kuhusu kile ambacho mama amesema waziri wa fedha akakae na mwenzake wajadili na kusuluhisha katika kero za muungano. Ninaupenda sana Muungano,ninauunga mkono. lakini, nilijiuliza kitu kimoja, mimi kama mtu wa bara sitaki tupigwe pia kama wazenji wasivyopenda kupigwa.
1. hivi Zanzibar inachangia kitu gani kwenye kwa Tz bara kinachowastahilisha tuwagawie hiyo asilimia? Bara inafaidika nini toka Zanzibar?
2. Mgao unaoongelewa ni wa misaada toka nje, au ni mapato ya nchi (pato la madini bara, TRA, navitu vyote vya bara)?
3. kama ni mapato ya nchi, kwani TRA haipo Zanzibar ya kikwaokwao?
4. proportion ya wingi wa watu + ukubwa wa eneo vinazingatiwaje wakati wa kugawa pato ya muungano?
5. kwanini marais waliopita walikuwa hawashughulikii hilo jambo, kulikuwa na kitu gani walichokiona? including one of them who was Zanzibari.
6. kwa anayeelewa, naomba anieleweshe hili jambo kwasababu kama vile tu zanji wasivyopenda kupigwa, mimi kama mtu wa bara pia sipendi na sikubali.
naongea hivi kwasababu watu wanavyoongea mtaani wanaongea kama vile kwasababu mama ni mzanzibar basi wanaona wazanzibar wanaweza kupitisha vitu vingi sana ambavo vilikuwa havipiti kwa awamu za nyuma ambazo nyingi hazikushikwa na rais wa zanzibar.
MWISHO: siongei kwa ubaya, wala kwa unafiki, ila ninaongea kinachoongelewa mitaani. Ninamwamini mama atafanya makubwa. Ila naamini tunatakiwa kuwa na busara ya hali ya juu kwasababu kuna mambo tunaweza kufanya tukifikiri tunajenga muungano kumbe ndio tunauweka kwenye mazingira ya kubomoka kabisa.
Hii bado haipo sawa 4% mikopo na misaada, mfano tunakopa kujenga SGR,...ama tunapata msaada mahususi SGR ?Ninavyoelewa ni 4% ya misaada na mikopo kutoka nje in atakuwa kwenda SMZ.
Kwasababu kulikua na viongozi rohombaya ambao walikua wanaenda kinyume na makubaliano ya Muunganokama ni hii, sasa kwanini tulikuwa hatuwapatii? mbona kitu rahisi sana kinatufanya tunagombana?
Kwasababu kulikua na viongozi rohombaya ambao walikua wanaenda kinyume na makubaliano ya Muungano
TRA ni yabara so kama inakusanya kodi mpaka Zanzibar basi wanahaki ya kupewewa zaidi ya 4%, pia kama Tanganyika inakusudia kuenzi Muungano basi misaada inapoletwa Tanzania inamaana zanzibar watakua na % yao kwa sababu misaada inapokuja haiji kwa jina la Tanganyika but inakuja kwa jina la Tanzania ambayo ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Kuna hoja nimekuta watu wanaongea, ni kuhusu kile ambacho mama amesema waziri wa fedha akakae na mwenzake wajadili na kusuluhisha katika kero za muungano. Ninaupenda sana Muungano,ninauunga mkono. lakini, nilijiuliza kitu kimoja, mimi kama mtu wa bara sitaki tupigwe pia kama wazenji wasivyopenda kupigwa.
1. hivi Zanzibar inachangia kitu gani kwenye kwa Tz bara kinachowastahilisha tuwagawie hiyo asilimia? Bara inafaidika nini toka Zanzibar?
2. Mgao unaoongelewa ni wa misaada toka nje, au ni mapato ya nchi (pato la madini bara, TRA, navitu vyote vya bara)?
3. kama ni mapato ya nchi, kwani TRA haipo Zanzibar ya kikwaokwao?
4. proportion ya wingi wa watu + ukubwa wa eneo vinazingatiwaje wakati wa kugawa pato ya muungano?
5. kwanini marais waliopita walikuwa hawashughulikii hilo jambo, kulikuwa na kitu gani walichokiona? including one of them who was Zanzibari.
6. kwa anayeelewa, naomba anieleweshe hili jambo kwasababu kama vile tu zanji wasivyopenda kupigwa, mimi kama mtu wa bara pia sipendi na sikubali.
naongea hivi kwasababu watu wanavyoongea mtaani wanaongea kama vile kwasababu mama ni mzanzibar basi wanaona wazanzibar wanaweza kupitisha vitu vingi sana ambavo vilikuwa havipiti kwa awamu za nyuma ambazo nyingi hazikushikwa na rais wa zanzibar.
MWISHO: siongei kwa ubaya, wala kwa unafiki, ila ninaongea kinachoongelewa mitaani. Ninamwamini mama atafanya makubwa. Ila naamini tunatakiwa kuwa na busara ya hali ya juu kwasababu kuna mambo tunaweza kufanya tukifikiri tunajenga muungano kumbe ndio tunauweka kwenye mazingira ya kubomoka kabisa.
Eti ka zanzibar kenye km za mraba 2,467 kaizidi Pwani yenye km za mraba 32,407?Kwani Pwani inapata mgao kiasi gani? bila kusahau Chato
Asilimia 4 ni kubwa sana kwa ZanzibarNinavyoelewa ni 4% ya misaada na mikopo kutoka nje in atakuwa kwenda SMZ.
Zanzibar wanapenda kutumbua tu, kwenye kugharamika hupiga chengaBinafsi sina shida kama hiyo 4% itahusisha mapato na madeni. Kama ni mapato tu, hapo kuna tatizo.
Basi hapo kuwapa 4% ya mapato tu itakuwa ni uonevu wa hali ya juu kwa upande wa pili wa Muungano.Zanzibar wanapenda kutumbua tu, kwenye kugharamika hupiga chenga
Hawajawahi changia chochote kwenye kulipa deni la taifa
Kodi yote inayokusanywa na TRA Zanzibar hubaki Zanzibar, hakuna senti inayovuka majiUsichokifahamu ni kwamba TRA wanakusanya kodi hadi Zanzibar. Ndio maana sheria inataka 4% ya mapato yote Tanzania iende Zanzibar. Tena hio 4% kwa maoni yangu ni ndongo ingepaswa walau 15%.
Iwe msaada ama mkopo Zanzibar haipaswi kupata asilimia 4Msaada ambao ni general kwa Tanzania ni sawa. Kwa mfano msaada wa vyandarau kwa Tanzania wa chukue 4% yao. Lakini msaada kwa Serikali ya JM Tanzania kwa ajili ya Hospital ya Mnazi mmoja ZNZ utapiga 96% ya huo msaada ije Tanganyika?
Iwe msaada ama mkopo Zanzibar haipaswi kupata asilimia 4
Asilimia 4 kwa Zanzibar ni nyingi kwa hoja kuu mbili:
Moja: asilimia ya pato la Zanzibar katika pato jumla la nchi nzima ni chini ya hiyo 4
Mbili: asilimia ya wakazi wa Zanzibar katika total population ya milioni 59 ni chini ya hiyo 4
Ukitathimi kwa kina utagundua iyo 4% inatoka Tanganyika kwenda Zanzibar.
Ni kama vile Tanganyika inalipia gharama za muungano.
Halafu huyu mama sometimes naona amekuja kutuchanganya tu, hii huruma anayoiweka mbele badala ya kutumia akili atatuumiza, hao wazanzibar wenzake wana bunge, mahakama, serikali, jeshi, kuonesha kwamba wana mamlaka wanajitegemea, sasa hii kuwabeba beba mara umeme, bado tuwagawie 4% maana yake nini?