Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana madameWafuasi wake mimi nachekaga.
Sifa zao sasa.
1: mili midogo vichwa vikubwa na nywele ndefu
2: hawana shida na mtu
3: lege ndo miziki yao, ukikuta wana sherehe zao zile wanarukaga bila mkwaza mtu.
4: fegi kwa sana
5: rangi wanazovaa mnazijua.
6: sehemu wanapofanyia kazi zao ni wasafi sana, wanapanda sana maua.
Lugha zao sasa🤣
Jah ma, jah people, never die, never eat meat😂 peace and love😂😂😂😂😂😂
Hawa jamaa wanakulaga michicha huwezi kukuta mwili wake una tunyama.
Kweli boss wao aliacha wafuasi waaminifu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Umenichekesha!Wafuasi wake mimi nachekaga.
Sifa zao sasa.
1: mili midogo vichwa vikubwa na nywele ndefu
2: hawana shida na mtu
3: lege ndo miziki yao, ukikuta wana sherehe zao zile wanarukaga bila mkwaza mtu.
4: fegi kwa sana
5: rangi wanazovaa mnazijua.
6: sehemu wanapofanyia kazi zao ni wasafi sana, wanapanda sana maua.
Lugha zao sasa[emoji1787]
Jah ma, jah people, never die, never eat meat[emoji23] peace and love[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa jamaa wanakulaga michicha huwezi kukuta mwili wake una tunyama.
Kweli boss wao aliacha wafuasi waaminifu.
Sijawahi ona ngazi ya ma shekh wakuu wa hii dini unayoiita ya haki sio wachawi,ninyi watu ni wachawi wa waziwazi mkiongozwa na viongozi wenu wa dini,anzieni kurekebisha hapo kwanza.Uisilamu