4G ya Halotel ni utapeli

4G ya Halotel ni utapeli

Ebu uwe unajarbu kuzima bluetooth afu utoe na hyo wallpaper ya nyumbaa...inawexkana ndo kikwazo
 
Halotel hawana 4G

Narudia hawana 4G

Ninaishi katikati ya mji kabisa mita kadhaa tu kutoka minara yao ilipo lakini cha ajabu speed yake ni ya kobe yaani hata kb haifiki inatembea 5 bps yaan byte yaani hata kb hawafiki.

Ukiona imesoma hata 2.2k/s hapo ndo imejitahidi.

Nilidhani ni nyumbani nimezunguka maeneo mengi ya Dar kwenye hekaheka zangu speed ni hiyo hiyo tu ya kobe yaani wakijitahidi sana ni 20kb per second.

Hawa nao wana 4g? 4g ya nchi gani hii?halotel ni matapeli wa karne hawakuzindua 4g waliudanganya umma kwa maksudi

Ukweli halotel hawana 4g wala nini ni uwongo na utapeli.

Pia niwaambie namalizia research yangu fulani hivi kuhusu networks hapa tz nisiongee sana kuna mazito aisee kuhusu hii mitandao na ukweli nitaumwaga hapa.

Halotel acheni utapeli hamna cha 4g wala nini oneni mtandao wa hovyo duuuh[emoji1313][emoji1313]


View attachment 1862771
We jamaa acha ujinga wako,Unajiaibisha line itasomaje 4G wakati umeiweka Line 2?
Unayo itumia ki internet siku zote inaweka line 1 na sio 2
NB .Kumbuka kufanya settings
 
Halotel hawana 4G

Narudia hawana 4G

Ninaishi katikati ya mji kabisa mita kadhaa tu kutoka minara yao ilipo lakini cha ajabu speed yake ni ya kobe yaani hata kb haifiki inatembea 5 bps yaan byte yaani hata kb hawafiki.

Ukiona imesoma hata 2.2k/s hapo ndo imejitahidi.

Nilidhani ni nyumbani nimezunguka maeneo mengi ya Dar kwenye hekaheka zangu speed ni hiyo hiyo tu ya kobe yaani wakijitahidi sana ni 20kb per second.

Hawa nao wana 4g? 4g ya nchi gani hii?halotel ni matapeli wa karne hawakuzindua 4g waliudanganya umma kwa maksudi

Ukweli halotel hawana 4g wala nini ni uwongo na utapeli.

Pia niwaambie namalizia research yangu fulani hivi kuhusu networks hapa tz nisiongee sana kuna mazito aisee kuhusu hii mitandao na ukweli nitaumwaga hapa.

Halotel acheni utapeli hamna cha 4g wala nini oneni mtandao wa hovyo duuuh[emoji1313][emoji1313]


View attachment 1862771
Nimeona nikuwekee ushaidi
Screenshot_20211023-043245.jpg
Screenshot_20211023-043219.jpg
 
We jamaa acha ujinga wako,Unajiaibisha line itasomaje 4G wakati umeiweka Line 2?
Unayo itumia ki internet siku zote inaweka line 1 na sio 2
NB .Kumbuka kufanya settings
Eti? [emoji15] We jamaa unatumia simu gani? Tupa kanunue simubya kueleweka
 
Hawa hawa halotel wanaoaeza kukufungia mawasiliano kutwa nzima bila hata kukutaarifu!
 
Back
Top Bottom