INAUZWA 4in 1 Printer for sale

INAUZWA 4in 1 Printer for sale

Afadhali nmekutana na hii comment, mkuu naomba nielimishe kidogo utofaut wa LaserJet na ink jet mana huwa nayaona tu haya maneno kwenye mambo ya printer
Lazerjet inatumia wino wa unga na inkjet inatumia maji maji (wino)
 
Machine kali sana hii sema watu tunadoubt hiyo depreciation ya bei
Sasa brother unaweza kuwa doubt na kitu bila kupata detailed info....yes bei ipo pungufu sana kuliko bei halisi iliyonunuliwa. Na kuna sabb: 1) nina uhitaji wa haraka wa hy cash kiasi nikisema niuze bei inayostahili itachukua years mpk kupata a right person 2) ina kitu kidogo sana cha kufix( haihusiani na bei kuwa chini) 3. Purchasing power imeshuka so ni ngumu sana kwa sasa ukapata mtu akanunua kitu cha mkononi kwa millions of Tz....lkn haswa bei hii imesukumwa zaidi na sabb ya Kwanzaa, nafikiri nimeliweka sawa.
 
Back
Top Bottom