kubabaika na maoni, mtazamo na kauli ya mtu binafsi juu ya jambo Fulani nalo ni Tatizo 🐒Wananchi tuko kwenye mtanziko kilichopo hasa ni nini. Twende na kipi, Serikali imetumia pesa nyingi kutunga sheria mpya ya uchaguzi, mikutano ya Mabaraza ya vyama na kadhalika. Lakini sasa tunaambiwa kuwa ushindi utapatikana nje ya sanduku.
Sasa kipi ni kipi hasa,Kauli ya kukanusha ya Makalla nayo tunaitilia mashaka kwa vile haiendani na vitendo vinginevyo Nape angeadhibiwa sawa na akina Mpina walivyofanyiwa. Wacha tuone mwisho wake.
Tusitumie lugha jumuishi kwa mfano" wananchi tuko" nimewauliza hapa wenzangu ofisini kama wamepata dhida na kauli ya nape wakaniambia hawana tatizo maana ni mawazo yake binafsi na alikuwa anatania,kila mtu amerudi ofisini kuwatumikia wananchi.Wananchi tuko kwenye mtanziko kilichopo hasa ni nini. Twende na kipi, Serikali imetumia pesa nyingi kutunga sheria mpya ya uchaguzi, mikutano ya Mabaraza ya vyama na kadhalika. Lakini sasa tunaambiwa kuwa ushindi utapatikana nje ya sanduku.
Sasa kipi ni kipi hasa,Kauli ya kukanusha ya Makalla nayo tunaitilia mashaka kwa vile haiendani na vitendo vinginevyo Nape angeadhibiwa sawa na akina Mpina walivyofanyiwa. Wacha tuone mwisho wake.
Siasa ni sii hasaa,siasa ni undanganyifu,siasa ni utapeli,siasa ni uongo,hata kwa wanaojinadi ni wamiliki wa kinachoitwa democrasia hakuna hicho kitu ni jinsi tu ya nidhamu ya taifa na wenye taifa lao na jinsi tu walivyokubaliana kwa hiari na maridhiano,jinsi ya kujiongoza,jinsi ya kujisimamia na jinsi ya kuongoza mambo mbalimbali.Ikitokea,Tabaka moja limekiuka misingi iliyokubalika na wengi,ndio unapofika muda wa kulazimishana kufuata misingi iliyowekwa iwe kwa maandamano,iwe kwa vita,iwe kwa chaguzi,ama hata iwe kwa mabavu.Hivyo ya faa kuambiana ukweli badala ya kupotezeana muda,na nguvu,iwe kupitia uongo,na mapambio ya chawa ama wana sii hasaa wenyewe.Ama vinginevyo.Ninavyotambua duniani kamwe hamna haki,haki inatafutwa na haki haiombwi,vinginevyo utaipata ukibahatika kufika Mbinguni.Tuache kundanganyana.Wananchi tuko kwenye mtanziko kilichopo hasa ni nini. Twende na kipi, Serikali imetumia pesa nyingi kutunga sheria mpya ya uchaguzi, mikutano ya Mabaraza ya vyama na kadhalika. Lakini sasa tunaambiwa kuwa ushindi utapatikana nje ya sanduku.
Sasa kipi ni kipi hasa,Kauli ya kukanusha ya Makalla nayo tunaitilia mashaka kwa vile haiendani na vitendo vinginevyo Nape angeadhibiwa sawa na akina Mpina walivyofanyiwa. Wacha tuone mwisho wake.
4R bila Katiba Mpya ni Usanii TuWananchi tuko kwenye mtanziko kilichopo hasa ni nini. Twende na kipi, Serikali imetumia pesa nyingi kutunga sheria mpya ya uchaguzi, mikutano ya Mabaraza ya vyama na kadhalika. Lakini sasa tunaambiwa kuwa ushindi utapatikana nje ya sanduku.
Sasa kipi ni kipi hasa,Kauli ya kukanusha ya Makalla nayo tunaitilia mashaka kwa vile haiendani na vitendo vinginevyo Nape angeadhibiwa sawa na akina Mpina walivyofanyiwa. Wacha tuone mwisho wake.
Tuliamini.....nyumbu ni wale wanaozuia mambo mema kufanyika kwa ajili ya Mama TanzaniaKwa hiyo kwa akili zako ulikuwa unaamini 4R??
Nyumbu bwana
Basi nyie hapo ofsini kwenu mna akili kama za Nape nyie wote maana hata Nape haoni tatizo.Tusitumie lugha jumuishi kwa mfano" wananchi tuko" nimewauliza hapa wenzangu ofisini kama wamepata dhida na kauli ya nape wakaniambia hawana tatizo maana ni mawazo yake binafsi na alikuwa anatania,kila mtu amerudi ofisini kuwatumikia wananchi.
"KURA WAPIGIENI WALE WA UPANDE ULE LAKINI SISI CCM NDIO TUTAKAOUNDA SERIKALI", alisikika mwenyekiti akisema.Wananchi tuko kwenye mtanziko kilichopo hasa ni nini. Twende na kipi, Serikali imetumia pesa nyingi kutunga sheria mpya ya uchaguzi, mikutano ya Mabaraza ya vyama na kadhalika. Lakini sasa tunaambiwa kuwa ushindi utapatikana nje ya sanduku.
Sasa kipi ni kipi hasa,Kauli ya kukanusha ya Makalla nayo tunaitilia mashaka kwa vile haiendani na vitendo vinginevyo Nape angeadhibiwa sawa na akina Mpina walivyofanyiwa. Wacha tuone mwisho wake.