5,000 wanasubiri visu na nyembe!!!!...hii mbaya kabisaa...!!!!!!!!!

5,000 wanasubiri visu na nyembe!!!!...hii mbaya kabisaa...!!!!!!!!!

nikiri kwanza kuwa mimi mwenyewe ni mwenyeji wa mkoa wa mara na nimewahi kuwa na uhusiano na mwanamke aliyekeketwa na asiyekeketwa kwa nyakai tofauti............ anachosema mwita maranya ni sahihi............. na ningependa kizingatiwe................ ukeketaji una faida zake hasa za kisosholojia na kisaikolojia..............

kimaumbile, kutokana na uzoefu wangu, kuna tofauti kubwa sana ya mwanamke aliyekeketwa na asiyekeketwa katika kuhiriki mapenzi.... japo naungana na watetezi wa aki za binadmu kuwa kumkekeketa mtu ni kumpunguzia kiungo muhimu mwilini mwake na kumnyima haki yake ya asili aliyopewa na Mungu........... ikizingatiwa kuwa wengi wa wanaokekektwa wako under 18, basi ni dhahiri kuwa hukeketwa bila ridhaa yao............ pamoja na kuwa jamii yangu ina utamaduni huu na mila hii........... napinga ukeketaji kwa msingi wa kibinadamu...............


mtu aliyekeketwa...hawezi kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa,and eventually humpunguzia hamu ya kufanya tendo hilo...hauoni kama huu ni unyanyasaji?????nyieee :angry::angry::angry:
 
mtu aliyekeketwa...hawezi kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa,and eventually humpunguzia hamu ya kufanya tendo hilo...hauoni kama huu ni unyanyasaji?????nyieee :angry::angry::angry:

kama wewe pia ulikeketwa, utakuwa sahihi, lakini kama unafuata mkumbo au ndo mambo ya kuambiwa unajidanganya. Hawezi kufika kileleni? hupungukiwa hamu ya kufanya majamboz? aah wapi ndugu yangu usidanganye watu.

si jambo la kujisifia wala nini lakini nakuhakikishia, nimewahi kuwa na uhusiani na mwanamke asiye keketwa (aliye keketwa hapa sio agenda kwakuwa ndo nyumbani), huwezi kuiona hiyo tofauti wakati wa shughuli ya sita kwa sita.
 
kama wewe pia ulikeketwa, utakuwa sahihi, lakini kama unafuata mkumbo au ndo mambo ya kuambiwa unajidanganya. Hawezi kufika kileleni? hupungukiwa hamu ya kufanya majamboz? aah wapi ndugu yangu usidanganye watu.

si jambo la kujisifia wala nini lakini nakuhakikishia, nimewahi kuwa na uhusiani na mwanamke asiye keketwa (aliye keketwa hapa sio agenda kwakuwa ndo nyumbani), huwezi kuiona hiyo tofauti wakati wa shughuli ya sita kwa sita.

Mwita you need to do your reseach well...kama vipi google FEMALE GENITAL MUTILATION...
kama ulikuwa na uhusiano na mtu aliyekeketwa na hukuona tofauti,huyo alikuwa ANAKUIBIA...
ama wewe huna experience na wanawake wengi ukaijua tofauti,
asikudanganye mtu aliyekeketwa hakojoi/hafiki kileleni hata umsugue vipi.....:redfaces:
 
Habari hii nimeisikia leo asubuhi BBC kuwa katika wilaya ya Tarime mkoani Mara kuna wasichana na watoto wa kike 5,000 wakisubiri kufanyiwa tohara a.k.a kukeketwa katika mwezi huu wa Desemba. Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyekuwa akihojiwa kuwa tukio hilo ni sherehe kubwa inayofurahiwa na wenyeji wa eneo hilo kiasi kwamba ilifikia hatua kulikuwa na msafara wa magari yakielekea huko kunako "site" na watumiaji wengine wa barabara likiwemo gari la polisi kusimama pembeni kupisha msafara huo???

Hivi hata kama ndio kudumisha mila kwa maoni yangu hiki kitendo si cha kiungwana hata kidogo ukizingatia madhara mbali mbali anayopata msichana wakati na baada ya kutahiriwa achilia mbali kukosa radha halisi anapofanya mapenzi....
Duh... bonge ya dili kwa ma-ngariba!!
 
Mwita you need to do your reseach well...kama vipi google FEMALE GENITAL MUTILATION...
kama ulikuwa na uhusiano na mtu aliyekeketwa na hukuona tofauti,huyo alikuwa ANAKUIBIA...
ama wewe huna experience na wanawake wengi ukaijua tofauti,
asikudanganye mtu aliyekeketwa hakojoi/hafiki kileleni hata umsugue vipi.....:redfaces:

Fab, sihitaji ku-google kitu ambacho ninakifahamu na kinatokea nyumbani kwangu kila baada ya miaka miwili. Yani unanishauri nikafanye research yangu well?! you must be kidding! sihitaji kumuamini mwanaharakati anayekuja kufanya research ananiuliza mimi maswali, ninampa majibu halafu niyaamini yale aliyoyaandika kuiko yale ninayoyashuhudia kwa macho kila siku.

Suala la kudanganywa dada yangu sio issue, kwani hata mjini mnatudanganya sana, mnakamulia ndimu na mazagazaga mengine kibao ili ile kitu ionekane kwamba haijachezewa lakini bado tunagundua tu. Wala huhitaji kujua nilikuwa na wanawake wangapi ili uamini kwamba sikuwa nikidanganywa. Yani unataka kuamini kwamba mimi sijui tofauti ya hawa mashostito, dah basi we utakuwa sheikh yahya.

Any way, mi niko kwenye battle ground, najua ukweli wa mambo, kama unataka kujua hii maneno kwa ukamilifu, usione shida nitafute tu privately nitakupa habari iliyotimia.
 
Fab, sihitaji ku-google kitu ambacho ninakifahamu na kinatokea nyumbani kwangu kila baada ya miaka miwili. Yani unanishauri nikafanye research yangu well?! you must be kidding! sihitaji kumuamini mwanaharakati anayekuja kufanya research ananiuliza mimi maswali, ninampa majibu halafu niyaamini yale aliyoyaandika kuiko yale ninayoyashuhudia kwa macho kila siku.

Suala la kudanganywa dada yangu sio issue, kwani hata mjini mnatudanganya sana, mnakamulia ndimu na mazagazaga mengine kibao ili ile kitu ionekane kwamba haijachezewa lakini bado tunagundua tu. Wala huhitaji kujua nilikuwa na wanawake wangapi ili uamini kwamba sikuwa nikidanganywa. Yani unataka kuamini kwamba mimi sijui tofauti ya hawa mashostito, dah basi we utakuwa sheikh yahya.

Any way, mi niko kwenye battle ground, najua ukweli wa mambo, kama unataka kujua hii maneno kwa ukamilifu, usione shida nitafute tu privately nitakupa habari iliyotimia.

naona unatetea mila potofu za kabila lako...,
nakuombea kwa mungu uwe wa kwanza kuwaelimisha wenzio juu ya hizi mila mbaya..,
haijalishi mnafanya mara ngapi huko kwenu..ila ukweli unabaki pale pale,mwanamke aliyefanyiwa tohara ni ngumu kufika kileleni wakati wa kufanya tendo la ndoa!
unless tohara yenu,inainvolve kukata mashavu tu ya uke na sio clitoris..,kama ni the latter...tafadhali tusidanganyane.!..
nenda kafanye tena utafiti,is never too late.....!:redfaces:
 
tangu bbc swahili ilipojitandaza kuweza kusikika kila kona ya africa mashariki, habari zake zimeanza kuwa si za kuvutia sana-sometimes it is like you are listening Clouds FM
 
Mwita

Labda wengine tunapinga kwa sababu tuko brainwashed na tunajua yale mabaya tu wanayotuambiwa wanaharakati.

Hebu wewe njoo utupe faida na umuhimu wa hiyo mila, ili tuweze kujadili tukiwa katika platform moja.

Natanguliza shukurani
 
naona unatetea mila potofu za kabila lako...,
nakuombea kwa mungu uwe wa kwanza kuwaelimisha wenzio juu ya hizi mila mbaya..,
haijalishi mnafanya mara ngapi huko kwenu..ila ukweli unabaki pale pale,mwanamke aliyefanyiwa tohara ni ngumu kufika kileleni wakati wa kufanya tendo la ndoa!
unless tohara yenu,inainvolve kukata mashavu tu ya uke na sio clitoris..,kama ni the latter...tafadhali tusidanganyane.!..
nenda kafanye tena utafiti,is never too late.....!:redfaces:

Hapo ndipo panapoonyesha kwamba wewe ndiye unahitaji kufanya research, kwakuwa unatetea kitu ambacho hukijui ama huna uhakika nacho.
Halafu kitu kingine ni kwamba, ni kawaida kwa wamatumbi kujiona wao ni bora kuiko wengine, ama mila za kabila lao ndio bora kuliko wengine. Wazungu wakifanya ushoga mnakurupuka kuwatetea na blah blah kibao lakini mkurya akidumisha mila yake mnapiga makelele. Hivi unadhani huko mkoani kwetu hakuna serikali? hizo athari kama zipo hawazijui? je wamechukua hatua gani?

Anyway kwa kuwa we mtaalam wa research, naomba ripoti ya hali ya ukeketaji tanzania unionyeshe mikoa/makabila yanayoendesha zoezi la ukeketaji na athari wanazopata hao wanawake compared na mikoa/makabila yasiyo na ukeketaji. Ukiweza pia nenda misri na kwingineko ukajue wanafanyaje.

Jambo la mwisho na la msingi ni kuwa mimi ni mkurya typical na najivunia kuwa mkurya na wala sijawahi na haitatokea nikaionea aibu mila au utamaduni wangu, eti kwa kuwa tu fab anasema ni mila potofu, huo utakuwa ni upumbavu!
 
Mwita

Labda wengine tunapinga kwa sababu tuko brainwashed na tunajua yale mabaya tu wanayotuambiwa wanaharakati.

Hebu wewe njoo utupe faida na umuhimu wa hiyo mila, ili tuweze kujadili tukiwa katika platform moja.

Natanguliza shukurani

Gaijin,
Nimewauliza wanaharakati waje na takwimu, watuonyeshe athari kwa wanawake katika mikoa na makabila yanayoendesha zoezi la ukeketaji. Wanionyeshe idadi ya wanawake wanaofariki kwa kutokwa damu nyingi wakati wa kujifungua au wanionyeshe wanawake walioshindwa kujifungua kwa njia za kawaida kwa sababu ya ukeketaji na hivyo wakafanyiwa operesheni.

Jambo la muhimu sana, nimemtaka fab anithibitishie kwamba wanawake waliokeketwa hawafiki kileleni wakati wa hilo tendo la ndoa. Manake mimi nimempa my personal experince lakini hataki, sasa utamuamini fab na wanaharakati wenzake ama utaniamini mimi ambaye niko kwenye battle ground?

Kwa mfano nitakuambia, bibi zangu wote wawili - mzaa baba na mzaa mama (kama ada walikeketwa), lakini wote walifanikiwa kuzaa watoto 10+ kila mmoja. Kwenye familia yangu tumezaliwa watoto 10+ na mama mmoja ambaye naye kapitia mila hiyo hiyo. Hiyo ni mifano ya kina mama wachache ninaowafahamu miongoni mwa wengi ambao wamekuwa wakijifungua bila matatizo yoyote ambayo utasema yamesababishwa na ukeketaji. Sasa anapokuja mtu na propaganda zake bila utafiti kwa kuwa tu aonekane anawatetea watoto wa kike sisi tunamshangaa.
 
mwanaharakati ni huyu...
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndipo panapoonyesha kwamba wewe ndiye unahitaji kufanya research, kwakuwa unatetea kitu ambacho hukijui ama huna uhakika nacho.
Halafu kitu kingine ni kwamba, ni kawaida kwa wamatumbi kujiona wao ni bora kuiko wengine, ama mila za kabila lao ndio bora kuliko wengine. Wazungu wakifanya ushoga mnakurupuka kuwatetea na blah blah kibao lakini mkurya akidumisha mila yake mnapiga makelele. Hivi unadhani huko mkoani kwetu hakuna serikali? hizo athari kama zipo hawazijui? je wamechukua hatua gani?

Anyway kwa kuwa we mtaalam wa research, naomba ripoti ya hali ya ukeketaji tanzania unionyeshe mikoa/makabila yanayoendesha zoezi la ukeketaji na athari wanazopata hao wanawake compared na mikoa/makabila yasiyo na ukeketaji. Ukiweza pia nenda misri na kwingineko ukajue wanafanyaje.

Jambo la mwisho na la msingi ni kuwa mimi ni mkurya typical na najivunia kuwa mkurya na wala sijawahi na haitatokea nikaionea aibu mila au utamaduni wangu, eti kwa kuwa tu fab anasema ni mila potofu, huo utakuwa ni upumbavu!


hili limekugusa sana eeeh? mie sio mwanaharakati! mie ni mchaga na mama yangu ni mkurya,
mama yangu aliachika kwa sababu she was circusmcised...
na najua ndugu zangu wengine wenye matatizo na ndoa zao kwa sababu walikuwa circumsised..!
mila potofu ni mila potofu tu,haijalishi mmeifanya kwenye kabila lenu tangu mwanzo wa dunia!
ulipo bold niliona documentary BBC ONE,sikumbuki ni kabila gani..kama sio ethiopia ni sudani ambako wanakata mashavu ya uke na kajisehemu kadogo tu ka clitoris...ila hawaking'oi chote,halafu wanakushona na uzi!sasa kama kwenu mnfanya tofauti ni nyie!...hio haimaanishi watu wote wanaocircumsise wanafanya kama nyie....

kuhusu swala la takwim hata kama angekuwa anafanyiwa mtu mmoja,hii kitu ningeipinga,...ni mbaya,ukiukaji wa haki za binadamu..period!
 
Na wanume tusiwe tunatahiriwa, inayupunguzia hamu ya tendo la ndoa na mitekenyo
 
FGM ni barbaric na kwakweli kuna haja ya kulaani kwa nguvu zote....... Lakini labda niulize swali moja, ilianzaje? enyi watu wa sociology, medical anthropology na wanahistoria

FGM ilianzia wapi na kwanini
 
Kwa wanaume je?

Kutahiri watu wakishakuwa watu wazima naona sivyo hasa kwa kuwa kidonda kinachelewa kapoa kuliko akiwa mdogo (so they say) lakini atleast ile ni ngozi ambayo haina function yoyote kibaolojia ( hadi sasa hakuna ushahidi wa kazi yake) lakini kwa wanawake kukatwa kiungo chenye kazi mahsusi ni uonevu.


Wanawake mlotahiriwa hebu njooni mtupe ushuhuda wenu plz
 
Kutahiri watu wakishakuwa watu wazima naona sivyo hasa kwa kuwa kidonda kinachelewa kapoa kuliko akiwa mdogo (so they say) lakini atleast ile ni ngozi ambayo haina function yoyote kibaolojia ( hadi sasa hakuna ushahidi wa kazi yake) lakini kwa wanawake kukatwa kiungo chenye kazi mahsusi ni uonevu.


Wanawake mlotahiriwa hebu njooni mtupe ushuhuda wenu plz
Thansk Mwalimu... langu haswa lilikua swali la kama kutahiri wanaume pia ni ukatili au ni wanawake tu
 
Back
Top Bottom