5,000 wanasubiri visu na nyembe!!!!...hii mbaya kabisaa...!!!!!!!!!


kacheze litungu afu urudi uje utuambie unamfikishaje huyo mkeo aliyekeketwa...!
maana nahisi unataka kuukimbia mjadala,kwa kuuuweka uwe ki-personal zaidi...sijui mie kuwa stress za mama yangu kuachwa zimeingiaje...
mtu akisoma hii posti yako,nadhani atakubaliana na mie umeanza kupoteza muelekeo!
 
ndio maana mama yako aliachwa maana nyoka hazai chura

was this supposed to hurt me???sorry sijaumia....she had her life!...am living mine!...pole bibi wee!
 
@ fab .usirudie tena kuandika post fupi kama hii
This message has been deleted by Fab.

bek to ze topik: kilio chenu kimeskika, nitaitisha kikao cha zarura leo na wanabodi wa mikoa husika, consider that solved. msisite kuweka malalamiko yenu hazarani ili mapedeshee tuyashuhulikie. ahsanteni sana.
 
bek to ze topik: kilio chenu kimeskika, nitaitisha kikao cha zarura leo na wanabodi wa mikoa husika, consider that solved. msisite kuweka malalamiko yenu hazarani ili mapedeshee tuyashuhulikie. ahsanteni sana.

Ahsante mkuu

Tunashukuru kwa mchango wako 🙂

Tukikumbana na mila nyengine inayotutatiza hatutaacha kukutafuta 😀
 
Hata sijaelewa nini mnabishana. Hivi hamjui kuwa hao wanao keketwa wanafurahia kupata nafasi ya kukeketwa na asipo keketwa anajiona si mmoja wa wanawake wazuri katika jamii yake. Mungu atusamehe.
 
Hata sijaelewa nini mnabishana. Hivi hamjui kuwa hao wanao keketwa wanafurahia kupata nafasi ya kukeketwa na asipo keketwa anajiona si mmoja wa wanawake wazuri katika jamii yake. Mungu atusamehe.

Taabu tupu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…