5 Poorest African presidents of all time

5 Poorest African presidents of all time

You may call them poor (materially) and you could be right, but the legacy some of these leaders left to their respective countries is richer than anything accumulated materially by some of their richer counterparts. Their legacies will continue to grow years after years. If you know the true definition of wealth, then you'd understand that it is measured in time. How long the impact of your investment would last goes hand in hand with how wealthy you are.
 

MY TAKE: Tanzania



Wewe leo umekula??!! au njaa imehamia kichwani kutoka tumboni??!!.

My take: Kenya.

Screenshot_20201016-005140.png
 
Nilipoona tu na Magufuli yupo, nikajua hii ni siasa. Mtu kafisadi 1.5 trillions anakuwaje poorest. Mbaya zaidi vidio yenyewe imewekwa YouTube jana.
 
Niliisikiliza mpaka walipifika kwa Magufuli ninaona tunapotezeana muda.
 
Sanaa tu, Uhuru ni miongoni mwa marais masikini sana hapa Africa, ndio sababu anaongoza kwa kutembeza bakuli.
Kuna siku niliwahi kusema, "Uhuru awe mwangalifu kupenda kukopa mashariki na magharibi", akisahau kuwa huwezi kutumikia mabwana wawili.
 
Umaskini ni sifa mbaya JPM yuko kwenye system since 1995 kama MP huwez Muita masikini
 
Back
Top Bottom