50 Cent: Chagueni Donald Trump, wanaosema Trump hapendi watu weusi ni watu waliochanganyikiwa

50 Cent: Chagueni Donald Trump, wanaosema Trump hapendi watu weusi ni watu waliochanganyikiwa

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Msanii maarufu wa rap music Curtis Jackson ama 50 Cent mzee wa just little bit, 21 questions, amusement park amesema watu wachague Donald Trump.

50 Cent ameendelea kudai kua watu wanaosema Trump hapendi watu weusi ni watu waliochanganyikiwa, watu wasio na akili.

Fact Checking: Trump ndie rais aliewatendea mema watu weusi kuliko rais yoyote katika historia ya Marekani kwa miaka 100 iliyopita.

Democrats wamekua wakisambaza huu uvumi na kuchochea maandamano ya magengeya wahuni kusema Trump hapendi watu weusi.

Ni muda muafaka sasa watu wanaanza kuona ukweli kua Trump ndie anaewapeda watu weusi.

Screenshot_20201020-074134_Instagram.jpg
 
Bora umeeka na kipande cha english maana ni tafsiri ya tofauti na ulichoandika, but anyway inglish yenyewe ya kidumu na fagio na jembe mimi nani nikulaumu kwa lugha iliyokuja na meli? Bahari imekauka na kinge kimeisha. Mic dropped
Kwani dada tafsiri ya hicho kingereza ni nini?
 
Trump amewatendea nini watu weusi ambacho hakuna Rais wa Marekani aliyewahi kufanya?
nataka kujua.
 
Bora umeeka na kipande cha english maana ni tafsiri ya tofauti na ulichoandika, but anyway inglish yenyewe ya kidumu na fagio na jembe mimi nani nikulaumu kwa lugha iliyokuja na meli? Bahari imekauka na kinge kimeisha. Mic dropped
Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump.
 
Rudia kusoma in the brackets
Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump..
 
Marekani wanapenda sana kutuiga siku hizi

Kwny kutumia Wasanii wametuiga CCM
 
Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump..
Kwani ile ameweka kwenye mabano ya vote for Trump ina maana gani kama hajasema watu wampigie kura Trump?

Rudini shule muongeze maarifa, msije kubisha kila kitu hata msivyovielewa.
 
Trump: Mkimchagua Biden anaenda kuzigeuza states za Marekani kuwa Kambi za wakimbizi" Anasema ataruhusu idadi kubwa ya wakimbizi kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo nchi za Afrika kuja kuishi Marekani .

Trump anawapanda Watu weusi. Tumpigie makofi tafadhali
 
Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump..
Na concern ya 50 sio tu kwa sababu hicho kiwango kikubwa cha kodi bali kiwango hicho kinawalenga watu kama yeye!!

In short, tax policy ya Biden inaonekana kuwa-favor "maskini" na kuwahumiza matajiri wakati ile ya Trump ni kinyume chake!! Sasa kwavile 50 makes a lot of money annually, hapo lazima amwage povu
 
Sisi hayo tuwaachie wamarekani wenyewe, tutafute namna ya kuondoa udikteta ktk nchi yetu kusudi na sisi tuwe kama hao wamarekani kwa kuweka utawala wa kidemokrasia utakaochochea maendeleo kwa watu wetu. That's all.
 
Hawa akina 50 cent hatuwashangai maana wako kwenye kundi la matajiri ambao Trump amewabeba ndani ya miaka minne na walikuwa hawalipi Kodi Kama inavyostahili, Sasa wamesikia Biden atayabana matajiri yalipe Kodi kuliko wale wenye kipato Cha chini, yanaanza kurukaruka Kama maharage jikoni.
 
Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump..
Vote for Trump maana yake ni nini?
 
Back
Top Bottom