The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Kwani dada tafsiri ya hicho kingereza ni nini?Bora umeeka na kipande cha english maana ni tafsiri ya tofauti na ulichoandika, but anyway inglish yenyewe ya kidumu na fagio na jembe mimi nani nikulaumu kwa lugha iliyokuja na meli? Bahari imekauka na kinge kimeisha. Mic dropped
Inavyonekana ameongea kwa "emotions" sio kwamba kawambia wampigie kura Trump kwanza, pili ameuliza swali ni sawa na hii sentence hapa, mfano; wewe hujielewi na wewe unajielewa kweli? Soma vizuri utaelewa.Kwani dada tafsiri ya hicho kingereza ni nini?
Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump.Bora umeeka na kipande cha english maana ni tafsiri ya tofauti na ulichoandika, but anyway inglish yenyewe ya kidumu na fagio na jembe mimi nani nikulaumu kwa lugha iliyokuja na meli? Bahari imekauka na kinge kimeisha. Mic dropped
Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump..
Kwani ile ameweka kwenye mabano ya vote for Trump ina maana gani kama hajasema watu wampigie kura Trump?Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump..
Hawa ndio division five, huna sababu ya kubishana nao. Ni vijana na elimu ya shule za kata unategemea nini?Rudia kusoma in the brackets
Kwa hiyo tuliosoma shule za kata hatutakiwi hapa mkuuHawa ndio division five, huna sababu ya kubishana nao. Ni vijana na elimu ya shule za kata unategemea nini?
Na concern ya 50 sio tu kwa sababu hicho kiwango kikubwa cha kodi bali kiwango hicho kinawalenga watu kama yeye!!Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump..
Sleepy JoTrump hii election anashinda very easily na Dear Old man Mr Sleepy anafahamu.
Vote for Trump maana yake ni nini?Yeah jamaa ka interpret kwa chumvi kidogo..,50 nafkiri ameonyesha concern kwenye issue ya kodi iliyopo kwenye Sera ya Joe Biden..Kwamba sawa Trump is bad guy ila 62% tax is not acceptable kwa NY..Hajasema watu wampigie Trump..