50 Cent: Chagueni Donald Trump, wanaosema Trump hapendi watu weusi ni watu waliochanganyikiwa

Tafsiri: Usenge huu (Kura kwa Tump)
Nimemaliza... kwa New York ni usenge
hata hivyo kamwe hushindi. Sijali Trump hawapendi Waafrika. Asilimia 62% ni uchizi wa kisenge huu
 
Nyani Ngabu njoo utafsirie vijana wa bongo,kimarekani kinawapasua kichwa
 
Tafsiri: Usenge huu (Kura kwa Tump)
Nimemaliza... kwa New York ni usenge
hata hivyo kamwe hushindi. Sijali Trump hawapendi Waafrika. Asilimia 62% ni uchizi wa kisenge huu
Hiyo tafsiri ya kuweka nukta ama full stop umeitoa wapi?
 
Tafsiri: Usenge huu (Kura kwa Tump)
Nimemaliza... kwa New York ni usenge
hata hivyo kamwe hushindi. Sijali Trump hawapendi Waafrika. Asilimia 62% ni uchizi wa kisenge huu
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kuna mtu anayemsikiliza 50 Cent among black people there in America? Yeye na loser Lil Wayne wanasaidiaje their own communities there, tuambieni. Kuna jamaa black (contributor wa CNN, jina nimesahau) alikuwa anahojiwa CNN juu ya hili, bila kusita akasema kina 50 na rappers wengine si wawakilishi wa Blacks, hawana impact yeyote katika uchaguzi wa Marekani because Blacks already know kuwa Trump is a loser na racist na hata hivyo hawawezi kusikiliza blacks wanaomsupport Trump.
 
Bora umeeka na kipande cha english maana ni tafsiri ya tofauti na ulichoandika, but anyway inglish yenyewe ya kidumu na fagio na jembe mimi nani nikulaumu kwa lugha iliyokuja na meli? Bahari imekauka na kinge kimeisha. Mic dropped
Sema hapo kaongea tofauti but nikweli 50cent aliongea anavyosema mjomba hapo juu anamsapoti trump
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…