50 Things You Did Not Know about Uhuru Kenyatta

Mbona hujasema anavuta sigara kubwa na anamilik mahekari ya ardhi Makubwa Kenya?
 
Duuh mheshimiwa sasa ulitaka awe anatotoa tu hela kwa kila anayekuja kutaka msaada kwake?! Ni vizuri umetupa taarifa kuwa ulishawahi kukutana naye that means ulimuona ni mtu wa maana kuweza kukusaidia lakini bahati mbaya hakuweza kukusaidia!
 
Mbona hujasema anavuta sigara kubwa na anamilik mahekari ya ardhi Makubwa Kenya?

alisema anamiliki 3000 acres kule taveta , mengine yanakuwa inflated kama population ya kitongoji duni ya kibera.

same systems
 
Wakenya wapiga kura ndio wenye kuamua wampeleke IKULU au la.
 
Oops!!

Hii kitu gani tena mkuu? Acheni wenzenu wapige kazi ninyi mlikuwa na bahati hiyo lakini mkaichezea! Ngoja wenzenu waendeleze yale baba zao walikuwa wanayafanya. Kuna nini mtajivunia kuwa watoto wa Rais wa kwanza wa JMT? Kama kumwangusha huyo mzee kwa kweli mlimwangusha tena sana tu!! Siyo lazima mbebwe kwa mbeleko, lakini hata kwa juhudi zenu binafsi mmeshindwa? Uhuru wanadai anabebwa na jina la Kenyatta, nawashangaa sijui walitaka abebwe na jina gani?

Himizeni basi hata wajukuu wa mzee waje wabebwe na jina la babu yao jamani?!! Shame on you guys! Eti unaenda kuomba chapaa kwa Uhuru! Aibu mkuu wala usingeiweka hapa hadharani!!
 
Ulimwomba hela under the name of Nyerere au under the mere fact that you were stranded? Do you guys even know each other? Au ndo yale mambo ya barabarani ukimuona mtu unampiga mzinga?
Pole mzee. My curiosity tu wala sina nia mbaya
 
Katika hivi vitu 50 sijaona hata kimoja kinachosema anakemea ukabila Kenya kama list ya vitu asivyopenda.
 
Hapendi mirungi kweli,maana asije kuwapotezea wakulima wa kenya!
 

Nyerere ni jina tu la kawaida sana mkoa wa Mara. Kuna akina Nyerere wengi tu wasiohusiana na Julius Kambarage Nyerere kama ambavyo kuna akina Warioba wengi wasion na uhusiano wowote na Joseph Sinde Warioba. Ila Andrew anaweza kuthibitisha kama yeye ana uhusiano na J.K.N.
 
His fevorite sigara mbona haujaweka?
Crucial Man ni wazi kuwa sigara yake ni ya Bob Marley huoni hapo kataja kuwa ni mfuasi mkubwa wa Bob Marley na siku ile ya Mdahalo wa kwanza alikuwa kaipiga mbaya na Macho yalikuwa yamemtoka na kuiva utafikri alikuwa anapuliza moto wa kinyesi cha ng'ombe.
 
Last edited by a moderator:
mbona hamjatuambia kua ndie bilionea wa pili afrika, ndie kati ya watu wanaomiliki aridh kubwa kuliko wengine kenya n.k
mnatuambia game anazopenda za nini sasa!
 

Ha ha haa
Wa kenya are not helpful
 
hata mimi nilikuwa na mashaka na yale macho mekundu!!!!!!!

jamaa si kwamba anatumia marijuana tu...pia other drugs anatumia na ni dealer yeye na politician bishoo sonko...hatumii mirungi, Raila ndo anakula mirungi hadi sas nadhan anapata updates za votes akiwa handas mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…