Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Bob Marley+Tracy Chapman+UB40=Marijuana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sura yake inaonyesha alivyo mpenzi wa Tusker...cigarette gani anatumia pia?...!!
Mbona hujasema anavuta sigara kubwa na anamilik mahekari ya ardhi Makubwa Kenya?
Oops!!Huyu mtu ni tight-fisted when he is not doing campaigns. Nilikuwa stranded Nairobi wakati fulani,nakwenda Thailand kufanya forest meditation.,nikaenda kumwomba a few hundred dollars for the trip.I already had the ticket. I just wanted a little money. But I did not get a single cent from him.
Huyu mtu ni tight-fisted when he is not doing campaigns. Nilikuwa stranded Nairobi wakati fulani,nakwenda Thailand kufanya forest meditation.,nikaenda kumwomba a few hundred dollars for the trip.I already had the ticket. I just wanted a little money. But I did not get a single cent from him.
Kama kweli wewe kaka ni mtoto wa Nyerere Julius Kambarage,yamkini kuna wakati maishani uliwahi kudhurika kichwa chako bila wewe kujua hiyo ikaleta athari mpaka kwenye akili.Ndo vitu gani hivi unakuja navyo hapa? Huu mchango wako umeonyesha kwamba kweli wewe mstaafu haswa kwenye kila kitu kwenye maisha haya.Pole na maisha.
Crucial Man ni wazi kuwa sigara yake ni ya Bob Marley huoni hapo kataja kuwa ni mfuasi mkubwa wa Bob Marley na siku ile ya Mdahalo wa kwanza alikuwa kaipiga mbaya na Macho yalikuwa yamemtoka na kuiva utafikri alikuwa anapuliza moto wa kinyesi cha ng'ombe.His fevorite sigara mbona haujaweka?
Huyu mtu ni tight-fisted when he is not doing campaigns. Nilikuwa stranded Nairobi wakati fulani,nakwenda Thailand kufanya forest meditation.,nikaenda kumwomba a few hundred dollars for the trip.I already had the ticket. I just wanted a little money. But I did not get a single cent from him.
Bob Marley+Tracy Chapman+UB40=Marijuana
hata mimi nilikuwa na mashaka na yale macho mekundu!!!!!!!