Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,374
- 6,857
- Thread starter
-
- #21
We mleta mada kama unafikiri kuwa mdomo wangu unanuka basi utakuwa umekosea sana. Mimi ni mtu wa afya na huwa ninapiga mswaki mara sita kwa siku pia huwa napenda kula pipi kifua ambazo kwa kiasi kikubwa hunisaidia kuondokana na harufu mbaya mdomoni. Sina uhakika kwa hao wengine uliowataja hapo chini.
Mwita25...narudia tena, haimaanishi hao niliowataja basi ndio wahusika wa hii mada kwamba wanatoa harufu!! Ila nahitaji sana michango yao niione...na ndio maana hata huyo MziziMkavu nimesema aandike comments zao..I knw the comments of all those guys/gels niliowametaja hapo juu..
Sasa we unapiga mswaki wara 6 kwa siku ili iweje tena??
Read my comments b4 posting coz Smile nilishamjibu hili:
I'm responsible for what I say, I'm not responsible for what you understand!!