$500 kuhudhuria party ya kuzaliwa kwa Diamond Platnumz

Dogo hela yake siyo ndefu kama anavyotaka watu wamjue. Kwa kifupi anawaomba watu wamchangie pesa ili aweze kufanya hiyo kwenye boti. Watu wenye pesa ndefu hatuwachangishi watu ktk sherehe. Kwa gharama zako unafanya kitu na kuwapa mwaliko wale unaowataka. Dogo anaishi maisha yasiyo asilia na mfuko wake. Mnyamwezi 15 elfu unawachangisha watu?!
 
Mbona anavyo enda kukalabati shule,kuwapatia mikopo zaidi ya wa mama 100 TRA hamjawatagi?
Pia kumbuka kua mgeni rasmi wa party iyo ni BASHITE. Yarch life
Aisee
kwahiyo Mheshimiwa Hataki Kodi?!
 
Naona walizaliwa kwa kufuatana, ya kwake si ilikuwa juzi tu!! Bongo raha sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha uuuwi
nae alikuwa na kiingilio chake elfu 50 sijui laki 1
 
Me namshangaa sana
AENDE ATLANTA MAREKANI akaona Rich Celebrities wanavyofanya pati
Unajua kama Class hukuzaliwa nayo sikuzote utakuwa unatokea kituko kwa jamii akapande ndege akajifunze upya Marekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…