50Cent - 21 QUESTIONS, Mike Tee- JE UTANIPENDA& Diamond- UTANIPENDA?

50Cent - 21 QUESTIONS, Mike Tee- JE UTANIPENDA& Diamond- UTANIPENDA?

50 Cent]
New York City!
You are now rapping, with 50 Cent
You gotta love it,
I just wanna chill and twist a lot
Catch suns in my 7-45
You drive me crazy shorty I
Need to see you and feel you next to me
I provide everything you need and I
Like your smile I don't wanna see you cry
Got some questions that I got to ask and I
Hope you can come up with the answers babe

[Chorus: Nate Dogg]
Girl, It's easy to love me now
Would you love me if I was down and out?
Would you still have love for me?
Girl, It's easy to love me now
Would you love me if I was down and out?
Would you still have love for me?
Girl

[50 Cent]
If I fell off tomorrow would you still love me?
If I didn't smell so good would you still hug me?
If I got locked up and sentenced to a quarter century,
Could I count on you to be there to support me mentally?
If I went back to a hoopty from a Benz, would you poof
and disappear like
Some of my friends?
If I was hit and I was hurt would you be by my side?
If it was time to put in work would you be down to ride?
I'd get out and peel a ***** cap and chill and drive
I'm asking questions to find out how you feel inside
If I ain't rap 'cause I flipped burgers at Burger King
Would you be ashamed to tell your friends you feelin'
me?
In the bed if I used my tongue would you like that?
If I wrote you a love letter would you write back?
Now we can have a lil' drink you know a nightcap
And we could go do what you like, I know you like that

[Chorus]

[50 Cent]
Now would you leave me if you're father found out I was
thuggin'?
Do you believe me when I tell you, you the one I'm loving?
Are you mad 'cause I'm asking you 21 questions?
Are you my soul mate? 'Cause if so, girl you a blessing
Do you trust me enough, to tell me your dreams?
I'm staring at ya' trying to figure how you got in them
jeans
If I was down would you say things to make me smile?
I treat you how you want to be treated just teach me how
If I was with some other chick and someone happened to
see?
And when you asked me about it I said it wasn't me
Would you believe me? Or up and leave me?
How deep is our bond if that's all it takes for you to be
gone?
We only humans girl we make mistakes, to make it up I do
whatever it take
I love you like a fat kid love cake
You know my style I say anything to make you smile

[Chorus]

Could you love me in a Bentley?
Could you love me on a bus?
I'll ask 21 questions, and they all about us
Could you love me in a Bentley?
Could you love me on a bus?
I'll ask 21 questions, and they all about us


jajajaa!!! you made my morning...those gold days...hapa 50 alitishaa!!!!
 
Mkuu si uweke mashairi ya MIKE TEE hapa ili tuone kama alichoimba diamond ndo kipo huko. Kinyume na hapo unaonekana Mlevi mlevi tu.
Kwa mashabiki wa muziki haya mashairi ni common sana kwao, ila kwa ajili ya wageni wa muziki kama wewe basi yacheki hapa chini.

Kiitikio ? Mad Ice
Je Utanipenda mi nisipong?ara, Je Utanipenda Mi nikiwa Fukara,
Je Utanipenda? Au Ndio Utaniponda?
Je Utanipenda mi nisipikua Star, Siku nimechacha mi Nimekosa Chapaa,
Je Utanipenda? Au Ndio Utaniponda?

Mike Tee,
Yo yo, Yo yo, Bado nina mashaka,
Kila kunapokucha,
Hawa nilio nao iko siku wataniacha,
Wametulia, wameficha makucha,
Nje ni Binadamu kumbe ndani ni ndondocha,
Wananichora, kila ninachofanya,
Nikiwa nao- Hi, Pembeni wananichora,

Si wasichana, si wavulana,
Watoto kwa wazee, mazee kwa vijana,
Niko nao kila siku bega kwa bega,
Hata lafudhi yangu baadhi wameshaiga,
Kila sentensi mwishoni kuweka GA,
Mfano alikula, nasema alikulaGA,

Hata siku za kazi sisi ulabu tu,
Sisi ni raha tu, hatupendi tabu,
Rafiki zangu, kwangu ni ndugu zangu,
Ndio maana nashea nao kila kilicho changu,

Lakini je Tutakua pamoja,
Siku Mike Tee nikianguka moja kwa moja,
Mtani-hug, au mtanitusi,
Na kuniona moyoni mwenu sina nafasi,
Je mtanipa heshima kama zamani,
Kipindi hicho ninang?ara jukwaani,
Mapromota je mtakwenda hewani,
Japo kunisabahi au ndio bye bye

Kiitikio ? Mad Ice
Je Utanipenda mi nisipong?ara, Je Utanipenda Mi nikiwa Fukara,
Je Utanipenda? Au Ndio Utaniponda?
Je Utanipenda mi nisipikua Star, Siku nimechacha mi Nimekosa Chapaa,
Je Utanipenda? Au Ndio Utaniponda?
 
Kuna watu akili zenu finyu sana...... Hivi wewe hujui kuwa hamna jambo jipya chini ya jua? Je unaweza ukanitajia wimbo ambao ni idea ya kipekee dunia nzima😠
 
Kachemka vibaya diamond,kaishiwa,usishangae akaiga chemsha bongo
 
Kwaio huyu Mike T atapata kik sabb ya Platnumz coz hajulikani.
Dah, unamkosea sana Mike Tee aisee. Yaani wewe kuanza kufuatilia muziki wakati Diamond ndio anaimba kusikufanye useme walioimbaga kabla ya hapo hawajulikani. Google hizi ngoma hapa za Mike Tee zilizovuma miaka ya 2003 - 2004 wakati Diamond yuko wapi sijui.

1) Kama (Mike Tee Ningekua Star)
2) Je Utanipenda ft SUGU & Mad Ice
3) Sintobadilika ft Q Chief
4) Nampenda ft Juma Nature
5) Hodi
6) .......
 
Kuna watu akili zenu finyu sana...... Hivi wewe hujui kuwa hamna jambo jipya chini ya jua? Je unaweza ukanitajia wimbo ambao ni idea ya kipekee dunia nzima
Mvua na Jua, Maisha ya Boarding zote za Jay Mo.
Ushawahi kuzsikiaga wapi hizi japo kwa lugha ingine??
 
Mvua na Jua, Maisha ya Boarding zote za Jay Mo.
Ushawahi kuzsikiaga wapi hizi japo kwa lugha ingine??

Ni vigumu kusema nilisikia wapi lkn bila shaka hizo idea ni repeatition tu hamna jipya hapo
 
Dah, unamkosea sana Mike Tee aisee. Yaani wewe kuanza kufuatilia muziki wakati Diamond ndio anaimba kusikufanye useme walioimbaga kabla ya hapo hawajulikani. Google hizi ngoma hapa za Mike Tee zilizovuma miaka ya 2003 - 2004 wakati Diamond yuko wapi sijui.

1) Kama (Mike Tee Ningekua Star)
2) Je Utanipenda ft SUGU & Mad Ice
3) Sintobadilika ft Q Chief
4) Nampenda ft Juma Nature
5) Hodi
6) .......

Nlimxahau hyu jamaa mpaka bac!
 
Kwa mashabiki wa muziki haya mashairi ni common sana kwao, ila kwa ajili ya wageni wa muziki kama wewe basi yacheki hapa chini.

Kiitikio ? Mad Ice
Je Utanipenda mi nisipong?ara, Je Utanipenda Mi nikiwa Fukara,
Je Utanipenda? Au Ndio Utaniponda?
Je Utanipenda mi nisipikua Star, Siku nimechacha mi Nimekosa Chapaa,
Je Utanipenda? Au Ndio Utaniponda?

Mike Tee,
Yo yo, Yo yo, Bado nina mashaka,
Kila kunapokucha,
Hawa nilio nao iko siku wataniacha,
Wametulia, wameficha makucha,
Nje ni Binadamu kumbe ndani ni ndondocha,
Wananichora, kila ninachofanya,
Nikiwa nao- Hi, Pembeni wananichora,

Si wasichana, si wavulana,
Watoto kwa wazee, mazee kwa vijana,
Niko nao kila siku bega kwa bega,
Hata lafudhi yangu baadhi wameshaiga,
Kila sentensi mwishoni kuweka GA,
Mfano alikula, nasema alikulaGA,

Hata siku za kazi sisi ulabu tu,
Sisi ni raha tu, hatupendi tabu,
Rafiki zangu, kwangu ni ndugu zangu,
Ndio maana nashea nao kila kilicho changu,

Lakini je Tutakua pamoja,
Siku Mike Tee nikianguka moja kwa moja,
Mtani-hug, au mtanitusi,
Na kuniona moyoni mwenu sina nafasi,
Je mtanipa heshima kama zamani,
Kipindi hicho ninang?ara jukwaani,
Mapromota je mtakwenda hewani,
Japo kunisabahi au ndio bye bye

Kiitikio ? Mad Ice
Je Utanipenda mi nisipong?ara, Je Utanipenda Mi nikiwa Fukara,
Je Utanipenda? Au Ndio Utaniponda?
Je Utanipenda mi nisipikua Star, Siku nimechacha mi Nimekosa Chapaa,
Je Utanipenda? Au Ndio Utaniponda?

Kipi kilichofanana zaidi hapo.Tune,Beatz na Melody iz very differ.
 
Kipi kilichofanana zaidi hapo.Tune,Beatz na Melody iz very differ.
Idea Mkuu,
Kwamba kwa sasa mko na mimi sababu tu niko matawi, je siku nikija kufulia still mtakua na mimi??
Bila kusahau JINA LA WIMBO
 
Kama watu humu wamepanic hivi...jamaa katupa jiwe kichakani nini?
 
Ni either hujui muziki au hujui unaongelea nini. Maudhui ya wimbo na kukopi wimbo ni vitu viwili tofauti. Kuna nyimbo zaidi ya laki duniani zenye maudhui ya "utanipenda nikifulia" 50, Mike T na wengine sio wa kwanza au wa mwisho kuimba wimbo wenye maudhui hayo.

Hivi kuna nyimbo ngapi za msanii kuimba jinsi anavyompenda au kumsifia mpenzi wake huko nako ni kucopy au ni maudhui sawa tu!
 
Ally kiba-cinderella
Eminem-cinderella

Nan kamkopy mwenzio hapo mtoa mada, ebu tusaidie na hapo?
 
We umeambiwa ideas we unataja jina kufanana jina sio tatizo tatizo ni maudhui na idea zinafanana wewe gas na mzee wa essay
 
Basi kwa reasoning yako ... chris brown alimuiga Mr blue kwa kuimba Kiss Kiss..??
 
We umeambiwa ideas we unataja jina kufanana jina sio tatizo tatizo ni maudhui na idea zinafanana wewe gas na mzee wa essay

Tuanze na hapa.
-Nini maana ya maudhui?
-Nini maana ya idea?
Halafu zen tuchambue mashairi ya Make Tea na SIMBA.
 
Back
Top Bottom