Lakini sio kwamba hao watu wanafanyia remix na inajulikana kabisa ni remix??
Hata Ray Jay alirudia wimbo wa YOU & ME IN PARADISE na kila mtu anajua, na hata yeye Ray Jay ukimuuliza atakubali kua ni wimbo wa mwengine ameurudia,
JE DIAMOND ANAWEZA KUKUBALI KUA KACHUKUA WIMBO WA MWENGINE??
Mkuu
Shark naona unachanganya mambo! Kwenye utunzi kuna two concepts ambazo zinafahamika kama CONTEXT & CONTENTS! Chukulia glass yenye maji... glass kama glass ni context wakati maji ni content iliyopo kwenye glass husika!
Idea ya Utanipenda ni context... same context itaendelea kutumika duniani again and again hadi mwisho wa dunia. Ndani ya Utanipenda kuna mashairi ambayo ni content. Content inakuwa copyrighted na ikiwa utatumia content ya mtu mwingine lazima unatakiwa kukubaliana na muhusika! Hata hivyo, matumizi ya 2 to 3 lines yanakubalika kutumia bila kupata permission!!
Tukirudi kwenye suala la Ray Jay, hiyo ni different story kabisa! Ray Jay na dada ake hawakutumia idea ya Phil Collins bali walitumia content ya Phil Collins... yaani ni sawa na Lady Jay Dee na Siwema au Christian Bella na Ukimuona ya Diamond.
Verse ya 1 & 2 ya Another Day In Paradise ya Ray Jay na Brandy inasema:
(Brandy
🙂
She calls out to
The man on the street
"Sir, can you help me
It's cold and I've
Nowhere to sleep, Is there somewhere
You can tell me "
Yeah
He walks on
Doesn't look back
He pretends he can't hear her
Starts to whistle as
He crosses the street
Seems embarrassed
To be there
Likewise, verse ya 1 & 2 ya Another Day In Paradise ya Phil Collins zinasema:
She calls out to the man on the street
'Sir, can you help me?
It's cold and I've nowhere to sleep,
Is there somewhere you can tell me?'
He walks on, doesn't look back
He pretends he can't hear her
Starts to whistle as he crosses the street
Seems embarrassed to be there
Sasa hapo ukiangalia, wimbo wa Phil Collins na akina Ray Jay ni ule ule... same context; same content.