Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujitetea kwa hoja zisizona maan, kura ya maoni iko palepale, kama huna katiba hii hapa chini download uisome na uilewe...Tafakari taswira inayojengwa hapa. Ni kama 80% ya watanzania hawajaisoma na kuielewa katiba pendekezwa mimi Mwenyewe sijaipata nilienda kwa Mtendaji wa kijiji kuomba copy akaniambia zilikuja chache zimeisha, Namuunga mkoja Jaji mstaafu BOMAN ya kuahirisha kura ya maoni ili tupate muda wa kuisoma katiba inayopendekezwa.
Tafakari taswira inayojengwa hapa. Ni kama 80% ya watanzania hawajaisoma na kuielewa katiba pendekezwa mimi Mwenyewe sijaipata nilienda kwa Mtendaji wa kijiji kuomba copy akaniambia zilikuja chache zimeisha, Namuunga mkoja Jaji mstaafu BOMAN ya kuahirisha kura ya maoni ili tupate muda wa kuisoma katiba inayopendekezwa.
Acha kujitetea kwa hoja zisizona maan, kura ya maoni iko palepale, kama huna katiba hii hapa chini download uisome na uilewe...
View attachment 239840
thread ya kipuuz, headn ndio upuuz mtupu.
thread ya kipuuz, headn ndio upuuz mtupu.
katiba nime download ila mawazo yangu kusema hvyo.
hivyo ndo mlivyoseti mitambo ya BVR???? au ndio wale waliopewa nakala wakasoma?? asilimia 95% ya wapiga kura hawajawahi iona hilo katiba pendekezwa!
Acha kujitetea kwa hoja zisizona maan, kura ya maoni iko palepale, kama huna katiba hii hapa chini download uisome na uilewe...
View attachment 239840
hivyo ndo mlivyoseti mitambo ya BVR???? au ndio wale waliopewa nakala wakasoma?? asilimia 95% ya wapiga kura hawajawahi iona hilo katiba pendekezwa!
soma na hii hapaAcha kujitetea kwa hoja zisizona maan, kura ya maoni iko palepale, kama huna katiba hii hapa chini download uisome na uilewe...
View attachment 239840
hivyo ndo mlivyoseti mitambo ya bvr???? Au ndio wale waliopewa nakala wakasoma?? Asilimia 95% ya wapiga kura hawajawahi iona hilo katiba pendekezwa!
Nchi ya Kenya waligawa katiba pendekezwa kwa wapiga kura miezi sita kabla ya kupiga kura na kila mpiga kura alikuwa nayo! Unataka kuniambia yule bibi yako wa kule kijijini ataingia hapa JF kuisoma! Hivi vikuwadi uchwara ni tatizo kwelikweli!
thread ya kipuuz, headn ndio upuuz mtupu.
wachumia tumbo hawatakuelewa hata uwaambiaje..
wachumia tumbo hawatakuelewa hata uwaambiaje..
Bibi wa kijijini anakuhusu nini unaota asubuhi wewe usijifiche kwenye kichuguu, katiba ya mwaka 1977 hujaisoma na huielewi na hii pia huielewi ila humu Jf una michango kibao afu yote vumbi ua not serious!