52% kupiga kura ya NDIYO katiba pendekezwa na 48% HAPANA.

52% kupiga kura ya NDIYO katiba pendekezwa na 48% HAPANA.

Acha kujitetea kwa hoja zisizona maan, kura ya maoni iko palepale, kama huna katiba hii hapa chini download uisome na uilewe...
View attachment 239840

Imekuwa novel ya kusoma enhee..
babu yako kule kijijini umem-downlodia na yeye asome kama hadithi za bulicheka na kung'amua mitego ya makengeza bila elimu kwa umma!
 
Kama ikifanyika april 30 ila zaidi ya hapo haipiti kabisa
 
Yani we mtu kila kona wala huna hoja ya maana kazi yako matuc tuuuu, we sio Mtanzania unavyoonekana kama mtu alotumwa hivi.

Bibi wa kijijini anakuhusu nini unaota asubuhi wewe usijifiche kwenye kichuguu, katiba ya mwaka 1977 hujaisoma na huielewi na hii pia huielewi ila humu Jf una michango kibao afu yote vumbi ua not serious!

Katumwa huyo sio bure kaka. Huwa hanaga points zaidi ya matuc

teh teh teh...It's pretty hilarious reading your comments, do you get a headache when you try to think? Obviously you don't produce very complex thoughts and result to attacking me when confronted with the truth (a common theme amongst money mongers and foolish people).
 
Nina matumaini kuwa kwa sasa watanzania wamesoma katiba inayopendekezwa na wanaendelea kuisoma kwa kasi kubwa,jambo hili linatia moyo sana,tuendelee na mpango huu,tuachane kabisa na utaratibu wa kusubiri kutafsiriwa katiba pendekezwa na watu wachache wenye ajenda zao binafsi ikiwemo ya upotoshaji kwa makusudi,wakati ukifika tutapiga kura... Bila kufuata waraka wala maneno ya watu wachache,katiba ni yetu
 
Utafiti huo uliofanywa ulikuwa ni kama upigaji kura ungefanyika april au?. Je vipi wale ambao watakaopata usugu wa vidole vyao kipindi cha upigaji kura hivyo wasitambuliwe na bvr watakuwa %?. Na vipi kile kikundi kilichosema hawatopiga kura ni %?. Nafikiri hiyo data sio sahihi
 
Nina matumaini kuwa kwa sasa watanzania wamesoma katiba inayopendekezwa na wanaendelea kuisoma kwa kasi kubwa,jambo hili linatia moyo sana,tuendelee na mpango huu,tuachane kabisa na utaratibu wa kusubiri kutafsiriwa katiba pendekezwa na watu wachache wenye ajenda zao binafsi ikiwemo ya upotoshaji kwa makusudi,wakati ukifika tutapiga kura... Bila kufuata waraka wala maneno ya watu wachache,katiba ni yetu
 
Imekuwa novel ya kusoma enhee..
babu yako kule kijijini umem-downlodia na yeye asome kama hadithi za bulicheka na kung'amua mitego ya makengeza bila elimu kwa umma!

MCHARO umekuwa mtamuuuuuu haha ha ha ha hata hujielewi unajaribu kuwasha moto kwenye mchanga, usishoboke utapasuka hujui mada kaa kimya!!!
 
MCHARO umekuwa mtamuuuuuu haha ha ha ha hata hujielewi unajaribu kuwasha moto kwenye mchanga, usishoboke utapasuka hujui mada kaa kimya!!!

message sent.
SIJUI enhee........
Mbona mmehairisha kula ya maoni sasa. Hapo nani hajui? Mnaendeshwa na matukio!
 
message sent.
SIJUI enhee........
Mbona mmehairisha kula ya maoni sasa. Hapo nani hajui? Mnaendeshwa na matukio!

Sasa kwani kuhairishwa c mmekuwa mkilalamika kuwa muda hautoshi ndo huo sasa umeongezwa na ikifika muda kura inapigwa, ingekuwa zoezi zima limehairishwa kwamba hakuna tena hapo ungeongea sana.
 
thread ya kipuuz, headn ndio upuuz mtupu.

Kamanda unaposema wenzako wameleta heading za kipuuzi wewe chako cha maana kiko wapi. Wakikuita wewe mpuuzi utafurahi. Nadhani ustaarabu na uungwana katika mijadala hii unachochea kujenga hoja nzuri zaidi. Kama una jambo lilete ndugu tulijadili. Nadhani umenielewa.
 
message sent.
SIJUI enhee........
Mbona mmehairisha kula ya maoni sasa. Hapo nani hajui? Mnaendeshwa na matukio!

We mtoto wa Mcharo unashangaa kusogezwa mbele kura ya maoni, wakati wewe ndo juzi ulikuwa kijiweni ukipiga kelele kuwa muda wa kusoma katiba ni mchache hadi mishipa inakutoka na macho yanakutoka pima. Sasa ulichokuwa unapigania umepewa nacho unakikataa!! Tukueleweje kama wewe sio kigeugeu. Kweli umejionyesha ulivyo na uongozi wewe haukufai. Au bado una cerebral malaria!!
 
Back
Top Bottom