Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
soma na hii hapa
View attachment 239902
alafu tuammbie tunapiga KURA YA hapana kwa kitabu cha CHENGE lini? nimeisahau ile tarehe ya MKUU WA KAYA aliyoingizwa mjini na watoto wa MUJINI aitangaze
Acha kujitetea kwa hoja zisizona maan, kura ya maoni iko palepale, kama huna katiba hii hapa chini download uisome na uilewe...
View attachment 239840
Katumwa huyo sio bure kaka. Huwa hanaga points zaidi ya matuc
kwanza ni mburula gani anaeitaka hiyo kitabu ya fisadi chenge?
Yani we mtu kila kona wala huna hoja ya maana kazi yako matuc tuuuu, we sio Mtanzania unavyoonekana kama mtu alotumwa hivi.
Bibi wa kijijini anakuhusu nini unaota asubuhi wewe usijifiche kwenye kichuguu, katiba ya mwaka 1977 hujaisoma na huielewi na hii pia huielewi ila humu Jf una michango kibao afu yote vumbi ua not serious!
Katumwa huyo sio bure kaka. Huwa hanaga points zaidi ya matuc
Imekuwa novel ya kusoma enhee..
babu yako kule kijijini umem-downlodia na yeye asome kama hadithi za bulicheka na kung'amua mitego ya makengeza bila elimu kwa umma!
MCHARO umekuwa mtamuuuuuu haha ha ha ha hata hujielewi unajaribu kuwasha moto kwenye mchanga, usishoboke utapasuka hujui mada kaa kimya!!!
message sent.
SIJUI enhee........
Mbona mmehairisha kula ya maoni sasa. Hapo nani hajui? Mnaendeshwa na matukio!
thread ya kipuuz, headn ndio upuuz mtupu.
message sent.
SIJUI enhee........
Mbona mmehairisha kula ya maoni sasa. Hapo nani hajui? Mnaendeshwa na matukio!
kama wewe ulivyompuuzi kwa kutotaka kuisoma hiyo katiba?thread ya kipuuz, headn ndio upuuz mtupu.