52 week saving challenge imeanza tayari

Mkuu idea yako ni nzuri nimeipenda ila naomba nikusahihishe kidogo baada ya kusema kutoa hela m pawa ni bure kwa hili hauko sahihi kumbuka kuwa ukitaka kuweka au kutoa pesa via m pawa ni lazima pesa hiyo ipitie m pesa kwa hiyo ukitaka kuitoa pesa hiyo ni lazima ipitie m pesa ambapo hapo lazima makato yahusike. Kwa hiyo hiyo milioni na point itakayokusanywa kwa mwaka mzima ni lazima makato yahusike utakapotaka kuitoa but all in all idea yako ni nzuri na nimeipenda.
 
Shukrani kwa mafunzo mazuri nami ngoja nichonge kibubu niwe na save viji sent vya mboga
 
Huwezi amino nimepipenda wazo lako na tayri nimeanza nimeshaweka akiba sh.15000 ktk m pawa yangu naimani ntaweza...
 
Karibu sana Mkuu ujiunge nasisi tuweze kuwa wengi ndio tuhamasishane vizuri.
Hizo sh 1,027,000,000ml umezipate wakati nikihesabu mm wiki 52 ukiweka 1000 kwa wiki unapata sh 52,000 wewe umefanyaje kupata formula hiyo sijaelewa kabisa nicalculetie nijue mmnafanyaje kupata hela hizo hapo juu kwa jedwali bado sijaelewa
 
Karibu sana Mkuu ujiunge nasisi tuweze kuwa wengi ndio tuhamasishane vizuri.
nataka kujiunga na nyie lakini sijaelewa mnafanyaje kwa wiki unasema mnaweka 1000 na kwamwezi inakuwa 4000 sasa kwa wiki 52 si utapata 52,000 na pale kwenye jedwali umeweka kwa wiki 52 ni sh 1,027,000,000 sijaelewa nieleweshe mmefanyaje
 
nataka kujiunga na nyie lakini sijaelewa mnafanyaje kwa wiki unasema mnaweka 1000 na kwamwezi inakuwa 4000 sasa kwa wiki 52 si utapata 52,000 na pale kwenye jedwali umeweka kwa wiki 52 ni sh 1,027,000,000 sijaelewa nieleweshe mmefanyaje
Me nimeelewa nusu sijaelewa nusu.

Nilichoelewa ni kwamba;
kwa mfano, jumapili ya jana ndio tumeanza kuweka 1000, jumapili inayofuata tunaweka 1000 inakuwa 2000 inayofuata tunaweka 2000 inakuwa 4000, inayofuata tena tunaweka 4000 inakuwa 8000, inayofuata 8000 inakuwa 16000, inayofuata 16000, kila jumapili tunaweka kiasi sawa na kichokuwepo kwenye account

ladyfurahia
 
hizo

hizo sh 1,027,000,000ml umezipate wakati nikihesabu mm wiki 52 ukiweka 1000 kwa wiki unapata sh 52,000 wewe umefanyaje kupata formula hiyo sijaelewa kabisa nicalculetie nijue mmnafanyaje kupata hela hizo hapo juu kwa jedwali bado sijaelewa

Kila wiki tunaongeza 1000,ka wiki ya kwanza tuliweka 1000 basi wiki ya pili 2000 na kuendelea mpaka mwsho wa mwaka.
Mfano
1week:1000
2week:1000+1000
3week:2000+1000
Etc
 
hizo

hizo sh 1,027,000,000ml umezipate wakati nikihesabu mm wiki 52 ukiweka 1000 kwa wiki unapata sh 52,000 wewe umefanyaje kupata formula hiyo sijaelewa kabisa nicalculetie nijue mmnafanyaje kupata hela hizo hapo juu kwa jedwali bado sijaelewa
Kila week kasema unaweka sh 1000, so wiki ya kwanza unaanza na 1000 then kila inayokuja inaongezeka elfu 1000 had wiki ya mwisho 52
 
Dah big up mkuu . Wazo zur sana hili, ubarikiwe.
 
nataka kujiunga na nyie lakini sijaelewa mnafanyaje kwa wiki unasema mnaweka 1000 na kwamwezi inakuwa 4000 sasa kwa wiki 52 si utapata 52,000 na pale kwenye jedwali umeweka kwa wiki 52 ni sh 1,027,000,000 sijaelewa nieleweshe mmefanyaje
Sorry for late replay.

Iko hivi ukianza na 1000 utakua unaongeza 1000 kweye hela ulosave wiki iliyopita mfano.

Wiki ya kwanza 1000

Wiki ya pili unaweka 2000 ( utakua na 3000 jumla)

Wiki ya tatu unaweka 3000 (utakua na 6000 jumla)

Wiki ya nne unaweka 4000 ( utakua na 10,000 jumla)

Ndio mtiririko huu kwa wale ambao bado itakua inawasumbua mnaweza kunicheki pm niwape namba tuongee kwa simu. Ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…