PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,829
Shikamoo mkuuMe huwa naweka constantly 50,000/= per week
80/month ×12 months = 4,160,000???????? how mkuu tueleweshemkuu kuliko kufanya hivyo bora ufanye kama mimi,every week nasave 20k ambayo kwa mwezi ni 80k so at the end of the year unakuja kupata 4.160000m ambayo inaizidi hii ya kwako...hii ya kwako inaanza kuwa ngumu kuanzia july otherwise uwe na kipato kikubwa sana,ukibalance elf 80 every 4 weeks wallah unatoka