59% Girls in Kenya are not in school

59% Girls in Kenya are not in school

Wewe ndio mtoa mada, lete stats uumbuliwe vilivyo. Ni juzi tuu tukiambiwa mwanafunzi yeyote wa kike anayepatikana na mimba huko bongo hana nafasi shuleni. Hapo vipi!?.
Wewe umeona Tetesi kama imetoka kwangu? mimi na leta tetesi ya mwana dada huyo mubashara ili mjue ukweli muache ujinga wa kumfurahisha kenyatta na uongo..
Kama unapinga takwimu zake, leta za kwako nifute huu uzi kabisa
 
Wewe unayebishana kama mwendawazimu ndiyo ulete fact. Pathetic.
It's the owner of the thread to who is supposed to justify his thread by bracing it up with verified facts, got it!?
 
Such a headless chicken on a fast forward trajectory. Why can't you ask the owner of the thread to why he compared the same to Tanzania in the fast place!?.
He wasn’t comparing, he was just congratulating his president, JPM. Kama imekuuma kunywa sumu.
 
He wasn’t comparing, he was just congratulating his president, JPM. Kama imekuuma kunywa sumu.
Congratulating his president on matters Kenya?. Are you high on some kind of opioids?😜🤣🤣
 
Wi
Without blinking or fear of contradiction. I can confidently tell you that there is no country in the whole of East Africa that can rival Kenya on strides made in ensuring that every kid is in school irrespective of gender.
Mambo yamebalika sana jombaa. Zamani ilikuwa ni nukuu za mchumi David Ndii, siku hizi ni za mtingisha wowowo Selena Gomez. [emoji38]
uhuru-laughing.jpg
 
Congratulating his president on matters Kenya?. Are you high on some kind of opioids?😜🤣🤣
Who the hell are you wa kumpangia mtu akampongeze Rais wake wapi? Pathetic!
 
Wewe umeona Tetesi kama imetoka kwangu? mimi na leta tetesi ya mwana dada huyo mubashara ili mjue ukweli muache ujinga wa kumfurahisha kenyatta na uongo..
Kama unapinga takwimu zake, leta za kwako nifute huu uzi kabisa
By supporting another person's claim, is as good as owning them up. Bring the facts to validate the claims!.
 
Mambo yamebalika sana jombaa. Zamani ilikuwa ni nukuu za mchumi David Ndii, siku hizi ni za mtingisha wowowo Selena Gomez. [emoji38]
uhuru-laughing.jpg
Watu wanafukuza wasichana shuleni kwa kigezo cha mimba za mapena na ndio wanajaribu kutapika upumba hapa!
 
View attachment 1379611
Sasa futa huu uzi kabisa
Sasa wewe sijui hauelewi english ama ni akili hauna..😂😂
Takwimu hizo ni kumaanisha(2018) 52% Girls wako nyumbani..Yaani nusu ya watoto wa kike hawana masomo😢😢😢
Sasa huyo dada akisema 2020 ni 59% hayuko mbali sana na ukweli
Leta takwimu za 2020 uwache kubishana
 
Kiingereza kwako ndiyo ujanja. Slavery mentality from Kunyan with mediocrity convoluted!
Usibadilishe mada, dhibitisheni madai yenyu hapa. Ukitaka ya kingereza tutaongea baadae, nawasubiri!..
 
Usibadilishe mada, dhibitisheni madai yenyu hapa. Ukitaka ya kingereza tutaongea baadae, nawasubiri!..
Sikujua, kumbe naongea na mgonjwa wa akili. Kwani aliyeleta habari za Kiingereza hapa ni nani kama siyo wewe?

👇 👇 👇
T
The only English jargons in your dictionary seemingly!🤣 Hata sijaskia vibaya!..

Stupid Kunyan!
 
Sasa wewe sijui hauelewi english ama ni akili hauna..😂😂
Takwimu hizo ni kumaanisha(2018) 52% Girls wako nyumbani..Yaani nusu ya watoto wa kike hawana masomo😢😢😢
Sasa huyo dada akisema 2020 ni 59% hayuko mbali sana na ukweli
Leta takwimu za 2020 uwache kubishana
Hawa jamaa wamechanganyikiwa, kila wakijaribu kupindisha mada hesabu zinakataa. Wanabaki kurukaruka kama maharage kwenye sufuria.
 
View attachment 1379611
Sasa futa huu uzi kabisa
Hiyo nadhani ni ratio ya enrollment kwa boys na girls mashuleni. Yaani 48% ni girls na 52% ni boys. Ila hii ya pili uliyoileta ina data zote kuhusu elimu hadi na ratio ya walimu kwa wanafunzi pia. Kama mleta mada angekuwa na akili timamu angeweza kuchambua hizi data aone % ya wasichana ambao wapo shuleni ukilininganisha na Gross Total ya wasichana wote. Ningependa kuona data kama hizi kutoka kwa majirani pia. Kenya - School Enrollment, Secondary, Male (% Net) - 2000-2012 Data | 2020 Forecast
 
Back
Top Bottom