kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Ni ajabu sana nina simu ya 5G na laini zote Tigo na Voda nazotumia mtandao unaishia LTE tu na simu ina hadi 5G!!
Na laini zote ni za current, kimara,mbezi nyumbani kwangu Goba inaniambia eneo ulipo hamna 5G[emoji28]
Hata nikiwa kwa Kimara na mbezi inakua hivyo hivyo??
Hivi ni mimi peke yangu au?
Na laini zote ni za current, kimara,mbezi nyumbani kwangu Goba inaniambia eneo ulipo hamna 5G[emoji28]
Hata nikiwa kwa Kimara na mbezi inakua hivyo hivyo??
Hivi ni mimi peke yangu au?