5G coverage ipo Tanzania au ni mchongo? Ulipo inakamata?

5G coverage ipo Tanzania au ni mchongo? Ulipo inakamata?

Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Ni ajabu sana nina simu ya 5G na laini zote Tigo na Voda nazotumia mtandao unaishia LTE tu na simu ina hadi 5G!!

Na laini zote ni za current, kimara,mbezi nyumbani kwangu Goba inaniambia eneo ulipo hamna 5G[emoji28]

Hata nikiwa kwa Kimara na mbezi inakua hivyo hivyo??

Hivi ni mimi peke yangu au?
4g yenyewe haishiki wewe unawaza 5g daah
 
20240713_160415.jpg
 
Back
Top Bottom