I knew this sheet since 2014...
that 2020 gona be execution of the plan...
KabisaGwajima aliipata hapa nadhani!
Waafrika mtaacha lini kupeana taarifa za uongo uongo ?Kuna tetesi ya kwamba 5g network imeleta madhara makubwa, na Hilo suala la 5g zaidi ya mwaka wataalamu waliomba lichunguzwe kwanza kwa madhara kwa mwanadamu na viumbe.
Vipi madhara yake
5g network inasemekana ina high radiation, kuna miji hapa Uk ambayo ipo karibu na na minara hii ya 5g, wanyama kama ndege, bata na kuku wakianguka na kufa, kama vile Wuhan walivyo kuwa wakianguka wachina, inawezekana Wuhan ni mji wa mwanzo kutumia 5g.
5g ina miyonzi mikali inaumiza upuwaji na kuthiri oxygen, cell katika mwili wa mwanadamu, kuona kizungu zungu, n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣 🤣 🤣Kama corona ni 5G basi ukimwi ulikuwa ni 4G!! Sema tu mitume na manabii wetu wa haya makanisa ya maturubali walionywa na mungu wasiseme,ila walikuwa wanajua hilo kitambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waafrika mtaacha lini kupeana taarifa za uongo uongo ?
Kuna tetesi ya kwamba 5g network imeleta madhara makubwa, na Hilo suala la 5g zaidi ya mwaka wataalamu waliomba lichunguzwe kwanza kwa madhara kwa mwanadamu na viumbe.
Vipi madhara yake
5g network inasemekana ina high radiation, kuna miji hapa Uk ambayo ipo karibu na na minara hii ya 5g, wanyama kama ndege, bata na kuku wakianguka na kufa, kama vile Wuhan walivyo kuwa wakianguka wachina, inawezekana Wuhan ni mji wa mwanzo kutumia 5g.
5g ina miyonzi mikali inaumiza upuwaji na kuthiri oxygen, cell katika mwili wa mwanadamu, kuona kizungu zungu, n.k
Sent using Jamii Forums mobile app