Tetesi: 5g network ndio Corona

Tetesi: 5g network ndio Corona

Kuna tetesi ya kwamba 5g network imeleta madhara makubwa, na Hilo suala la 5g zaidi ya mwaka wataalamu waliomba lichunguzwe kwanza kwa madhara kwa mwanadamu na viumbe.

Vipi madhara yake

5g network inasemekana ina high radiation, kuna miji hapa Uk ambayo ipo karibu na na minara hii ya 5g, wanyama kama ndege, bata na kuku wakianguka na kufa, kama vile Wuhan walivyo kuwa wakianguka wachina, inawezekana Wuhan ni mji wa mwanzo kutumia 5g.

5g ina miyonzi mikali inaumiza upuwaji na kuthiri oxygen, cell katika mwili wa mwanadamu, kuona kizungu zungu, n.k






Sent using Jamii Forums mobile app


No, it’s not. 5G radiation is a frequency of radio waves used for communication. Coronavirus is a virus, a complex assembly of proteins and nucleic acids, a bunch of matter of a special kind. Though matter and energy are equivalent - not identical, but equivalent as in E=mc2.E=mc2. The equation says that an awful lot of energy is required to make as much mass as the tiny virus. There is no way that the energy of radio wave - radio waves are very, very low energy forms of electromagnetic radiation - can create a virus, no matter what.
 
Back
Top Bottom