balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Ndio upunguani wa hao anaitwa wadhunguExactly, sio kwamba walikuwa hawajui kwamba 5G ina madhara wanataka kuifanyà iyo covid 19 iwe big deal kama AIDS
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio upunguani wa hao anaitwa wadhunguExactly, sio kwamba walikuwa hawajui kwamba 5G ina madhara wanataka kuifanyà iyo covid 19 iwe big deal kama AIDS
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwe makini si umesikia wameleta chanjo ya covid 19 Africa.Ndio upunguani wa hao anaitwa wadhungu
Sasa mbona mlimshambulia wakati aliongea logicGwajima aliipata hapa nadhani!
Nani kasema hiyo ni logic?
Kuna tetesi ya kwamba 5g network imeleta madhara makubwa, na Hilo suala la 5g zaidi ya mwaka wataalamu waliomba lichunguzwe kwanza kwa madhara kwa mwanadamu na viumbe.
Vipi madhara yake
5g network inasemekana ina high radiation, kuna miji hapa Uk ambayo ipo karibu na na minara hii ya 5g, wanyama kama ndege, bata na kuku wakianguka na kufa, kama vile Wuhan walivyo kuwa wakianguka wachina, inawezekana Wuhan ni mji wa mwanzo kutumia 5g.
5g ina miyonzi mikali inaumiza upuwaji na kuthiri oxygen, cell katika mwili wa mwanadamu, kuona kizungu zungu, n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
mule mule..Exactly, sio kwamba walikuwa hawajui kwamba 5G ina madhara wanataka kuifanyà iyo covid 19 iwe big deal kama AIDS
Sent using Jamii Forums mobile app