Hii ya leo kali, sijui hata kama unaelewa unachoandika...
100ms unasema ni ndogo? Mimi nimetengeneza media server ya kurusha sauti na video live, na ping ikawa 300ms , na inakwenda as if ni real time...
Ping hata iwe 500ms haikuzuii kuangalia video online , 500ms ni ping nzuri tena sana tu hata kwa wanaorusha matukio ya live sports n.k... media kama cnn wanatumia internet siku hizi kuacha satellite kurusha live events kwa ping hizo hizo 300ms hadi 500ms..
Halafu tofautisha latency na speed, how latency itapelekea video kukwama?
Labda kama unatumia UDP protocol, hata UDP bado ina consider 500ms ni ping nzuri tena sana tu, UDP inaweza kwama kabda ping ya 1 sec itaaanza kwaruza...
Https ndio ya kisasa, youtube, netflix n.k wanatumia https ambayo haikwami hata kukiwa kuna loss ya packets inarudi kwenye server na kuchukua packets zilizokosekana...
Ping ya 100ms vide call inakwenda vizuri zaidi ya sana... Na live events unarusha...