6 Months experience na TTCL Fiber

6 Months experience na TTCL Fiber

Ping kwa TTCL kwangu huwa inachezea hapa 12ms

Ila kumbuka hii ni shared connection sio dedicated, kwa hiyo idadi ya customers inaweza pia affect ping speed.
 
Ping kwa TTCL kwangu huwa inachezea hapa 12ms

Ila kumbuka hii ni shared connection sio dedicated, kwa hiyo idadi ya customers inaweza pia affect ping speed.
12ms itakua kwenye server za bongo..Ingia kwenye speedtest then change server to any Johannesburg server kama liquid au vodacom..check ping yake....kwangu ttcl to any dsm server ping inakuaga adi 4ms
 
12ms itakua kwenye server za bongo..Ingia kwenye speedtest then change server to any Johannesburg server kama liquid au vodacom..check ping yake....kwangu ttcl to any dsm server ping inakuaga adi 4ms
Nilivyokua na Fiber yao nilikuja kuhakiki mwenyewe hili la ping za Africa hata kenya tu hapo inaweza fika 200ms ama zaidi.
 
Ni aibu kubwa sana mpaka leo hii 2023 kupata fibre ni kitu cha anasa kwa wachache hata kwenye majiji, wenzetu Kenya hizi ishu tangu 2010s zishakuwa kawaida.

Mpaka leo Paypal Tanzania inatumika kulipia tu lakini haipokei pesa, BOT wapo na kisingizio kilekile eti kuzuia utakatishaji wa pesa, very weak excuses.
 
Habari Wana jamii,,nimeamua kuanzisha hii thread Ili kuelezea experience yangu na TTCL Fiber Ili iwe faida Kwa wengine wanaotaka kufahamu ..

Nitaelezea ufanisi wake kulingana na matumizi ya mtu husika..Miezi SITA iliyopita niliunga kifurushi Cha 55k ambacho ni 20MBPS. Hakuna installation fee zaidi ya kulipia tu kifurushi chako...Makundi ni yafuatayo.

1. OFFICE USE hapa out of 10 naipa rating ya 9.5 Kwa sababu iko reliable Complete outage ni mara chache na speed ni nzuri around 19mbps.

2. STREAMING hapa out of 10 naipa rating ya 8.5 Kwa sababu most of the time it's possible kupata 1080p hd quality na 720p all the time without buffering ..

3. GAMING hapa out of 10 naipa rating ya 0.5 at first 2 weeks ping ilikua vizuri ukitumiA VPN Fifa 23 Ping ilikua 55ms lakini baada ya apo ikawa 150ms plus..

my take Kwa matumizi ya kiofisi na streaming inafaa ila kama unataka kupata better experience in gaming achana nayo labda ujaribu kucheki package zao za juu.
Unaweza ona kwenye izo screenshot..
Picha namba 1 ping ni 5 ukiconnect na server ya Dar es salaam.
Picha namba 2 ping ni 224 ukiconnect na server ya Johannesburg.
Picha namba 3 ping ni 219 ukiconnect na server ya Nairobi.
Picha namba 4 ping ni 180 ukiconnect na server ya Paris.
Picha namba 5 ping ni 21 ukiconnect na server ya Mwanza.
 

Attachments

  • 1.png
    1.png
    131.5 KB · Views: 38
  • 2.png
    2.png
    135.4 KB · Views: 36
  • 3.png
    3.png
    134.1 KB · Views: 35
  • 4.png
    4.png
    69.3 KB · Views: 36
  • 5.png
    5.png
    135.6 KB · Views: 39
Habari Wana jamii,,nimeamua kuanzisha hii thread Ili kuelezea experience yangu na TTCL Fiber Ili iwe faida Kwa wengine wanaotaka kufahamu ..

Nitaelezea ufanisi wake kulingana na matumizi ya mtu husika..Miezi SITA iliyopita niliunga kifurushi Cha 55k ambacho ni 20MBPS. Hakuna installation fee zaidi ya kulipia tu kifurushi chako...Makundi ni yafuatayo.

1. OFFICE USE hapa out of 10 naipa rating ya 9.5 Kwa sababu iko reliable Complete outage ni mara chache na speed ni nzuri around 19mbps.

2. STREAMING hapa out of 10 naipa rating ya 8.5 Kwa sababu most of the time it's possible kupata 1080p hd quality na 720p all the time without buffering ..

3. GAMING hapa out of 10 naipa rating ya 0.5 at first 2 weeks ping ilikua vizuri ukitumiA VPN Fifa 23 Ping ilikua 55ms lakini baada ya apo ikawa 150ms plus..

my take Kwa matumizi ya kiofisi na streaming inafaa ila kama unataka kupata better experience in gaming achana nayo labda ujaribu kucheki package zao za juu.
Nataka nichukue lakni ile ya 100k 40mbps na focuss sana sana kwa gaming maana nilishachukua airtel 5g na voda 5g zote zinazingua ata nikitumia kwa njia ya ethernet zilikua zinazingua voda nilikua nalipia 150k ya 50 mbps na airtel 110k ya 30mbps. Sasa nataka nitry ttcl nione itakuaje. Kuna Mtu yoyote ashatumia fiber na alishalipia ya 100k 40mbps aniambe speed yake ya download inaendaje?
 
Nataka nichukue lakni ile ya 100k 40mbps na focuss sana sana kwa gaming maana nilishachukua airtel 5g na voda 5g zote zinazingua ata nikitumia kwa njia ya ethernet zilikua zinazingua voda nilikua nalipia 150k ya 50 mbps na airtel 110k ya 30mbps. Sasa nataka nitry ttcl nione itakuaje. Kuna Mtu yoyote ashatumia fiber na alishalipia ya 100k 40mbps aniambe speed yake ya download inaendaje?
Gaming ni voda, na game sio speed kubwa inayohitajika bali ping/latency.

Ulikua unapata ping ngapi na voda? Server ilikua wapi?
 
Gaming ni voda, na game sio speed kubwa inayohitajika bali ping/latency.

Ulikua unapata ping ngapi na voda? Server ilikua wapi?
Sikumbuki vzuri ila nikicheza fortnite ilkua ina stuck stuck sana yani inaleta kicross chekundu na mshale mwekundu kwa screen in fortnite game
 
Sikumbuki vzuri ila nikicheza fortnite ilkua ina stuck stuck sana yani inaleta kicross chekundu na mshale mwekundu kwa screen in fortnite game
Check speed na speedtest Pima kawaida ikupe local ping ya hapa Tanzania na Pima na server ya nje kwa Nchi ambayo fortinite server ipo most of time kwetu ni south Africa server.
 
Unaona sasa hapa

15ms ni ping nzuri ila ina vary mno mpaka 4498ms hapa lazima kuwe na stutter.

Hata mimi kwangu Airtel sichezi nayo games lazima kuna sehemu sekunde kadhaa ikuzingue.

Ushauri tafuta voda, most of time voda wana reliability kubwa, simu yako ina 5G? Unga tu kifurushi cha 3000 kile unapewa 1.4GB then test nayo uone ping inasomaje.

Then rusha hotspot ikiwa kwenye 5G kwenda ps5 yako uone kama itasaidia.
 
Unaona sasa hapa

15ms ni ping nzuri ila ina vary mno mpaka 4498ms hapa lazima kuwe na stutter.

Hata mimi kwangu Airtel sichezi nayo games lazima kuna sehemu sekunde kadhaa ikuzingue.

Ushauri tafuta voda, most of time voda wana reliability kubwa, simu yako ina 5G? Unga tu kifurushi cha 3000 kile unapewa 1.4GB then test nayo uone ping inasomaje.

Then rusha hotspot ikiwa kwenye 5G kwenda ps5 yako uone kama itasaidia.
Embu nitumie namba yako tuongee zaidi
 
Nataka nichukue lakni ile ya 100k 40mbps na focuss sana sana kwa gaming maana nilishachukua airtel 5g na voda 5g zote zinazingua ata nikitumia kwa njia ya ethernet zilikua zinazingua voda nilikua nalipia 150k ya 50 mbps na airtel 110k ya 30mbps. Sasa nataka nitry ttcl nione itakuaje. Kuna Mtu yoyote ashatumia fiber na alishalipia ya 100k 40mbps aniambe speed yake ya download inaendaje?
Sorry for late reply,,my advice kwanza inatakiwa ujue fortnite au game lolote lina server wapi jirani na Tanzania...server nyingi za jirani za games zipo south africa especially Johannesburg..
-TTCL FIBER ROUTING YAO KWENDA SOUTH SIO NZURI SANA... labda ukitumia vpn services zenye server za south africa
-Kwa mitandao ya simu Voda ni the best kwa low ping... me napata 23ms kwenye simu ya 4g
 
Sorry for late reply,,my advice kwanza inatakiwa ujue fortnite au game lolote lina server wapi jirani na Tanzania...server nyingi za jirani za games zipo south africa especially Johannesburg..
-TTCL FIBER ROUTING YAO KWENDA SOUTH SIO NZURI SANA... labda ukitumia vpn services zenye server za south africa
-Kwa mitandao ya simu Voda ni the best kwa low ping... me napata 23ms kwenye simu ya 4g

Nataka nichukue lakni ile ya 100k 40mbps na focuss sana sana kwa gaming maana nilishachukua airtel 5g na voda 5g zote zinazingua ata nikitumia kwa njia ya ethernet zilikua zinazingua voda nilikua nalipia 150k ya 50 mbps na airtel 110k ya 30mbps. Sasa nataka nitry ttcl nione itakuaje. Kuna Mtu yoyote ashatumia fiber na alishalipia ya 100k 40mbps aniambe speed yake ya download inaendaje?
Voda wako vzuri kwa gaming ila zuku fiber ndo bora zaidi lakn kama jamaa alichosema apo unaweza tumia vpn tu kma express au nord nakushauri kati ya hizo mbili tu maana zingine unaweza baniwa
 
Back
Top Bottom