Kibera slum majority ni wa nubiMajority ni Wakenya,watanzania hawayawezi maisha ya namna hiyo,bora wabaki nyumbani tu. Na kama wageni wangekuwa wengi eneo hilo amini kusingekuwa na kibera leo.
Read the comments kwa twitter from fellow KenyansCensus report has revealed that 61% of Kenyans own houses in which they live with only 38% renting out. Out of the house owners, 93.8% constructed their houses while 3.3% inherited and 2.8% purchased.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂
Au Turkana kule jamaa bado wanatembea uchi.Hii inahusisha na kibera pia?!!!
Kwel mazee...ukitaka kujua tembelea mashinani, unakutana na majumba balaa...Halafu siku hizi vijana wanajenga sana, wengi wamekubali kutoka nje ya Nairobi maana viwanja mjini havinunuliki, Watanzania wajifunze kwa hili, sio wote kulundikana Tandare.
Hii iko poa itachochea maendeleo maeneo mengine pia,hata huku iko hivyo tu.Kwel mazee...ukitaka kujua tembelea mashinani, unakutana na majumba balaa...
Kwanza mi naona wafanyikazi wa county za mashinani ndio wanamiliki mijumba ya maana hata kuliko wale wa county km nairobi na mombasa..wengi wao nashuku wamepanga majumba ya kifahari kw estates
Sent using Jamii Forums mobile app
Counties ndio zimefanya mashinani kuinuke,angalia kuna maeneo mengine hata sio kitambo. Miaka saba tu iliyopita palikua hapaeleweki, lkn ukienda sai utashangaa..Hii iko poa itachochea maendeleo maeneo mengine pia,hata huku iko hivyo tu.
Na Wewe kwani unafikiria Kenya yote iko Nairobi. Kibra isn't even the most populated area in Nairobi na uko hapa na Machungu. Most people in Nairobi City county live in Embakasi so uwache kujidanganya bure[emoji23]
A good example [emoji116][emoji116][emoji116]Counties ndio zimefanya mashinani kuinuke,angalia kuna maeneo mengine hata sio kitambo. Miaka saba tu iliyopita palikua hapaeleweki, lkn ukienda sai utashangaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha kwanza Upumbavu wakoNa Wewe kwani unafikiria Kenya yote iko Nairobi. Kibra isn't even the most populated area in Nairobi na uko hapa na Machungu. Most people in Nairobi City county live in Embakasi so uwache kujidanganya bure[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow... This is a very good achievementCensus report has revealed that 61% of Kenyans own houses in which they live with only 38% renting out. Out of the house owners, 93.8% constructed their houses while 3.3% inherited and 2.8% purchased.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuelewa kingereza ndio shidako.Ficha kwanza Upumbavu wako
Alie sema 70%
Huwaoni hapo
Pia suala la Slum
Kenya Nzima zimejaa
Shidako ndio Lugha gani
Just because you don't understand any language doesn't make you monopolize stupidity.Shidako ndio Lugha gani
Wewe unakielewa Kingereza
Nikuletee utumbo wako humu
Kilaza katika ubora wakeJust because you don't understand any language doesn't make you monopolize stupidity.
Sent using Jamii Forums mobile app
What kind of a zombie are you? Bewitched or crippled?Kilaza katika ubora wake
English humu kutwa huwa Unachapia
Kiswahili
Ndio yale yale
Maaaaaav* bongo mabanda ya mbwa na kuku atuyahesabu ila nyinyi banda la kuku na mbwa la tz kwenu ni nyumba ya familiaSote tunajua in Tz land belongs to the govt and can be taken anytime they wish to do so halafu sote tunajua Dar es sluum ni Slum iliyo na Jumba 3 ndefu(TPA na pspf).
Maaaaaav****mnahesabu adi mabanda ya kuku na mbwa banda la mbwa au kuku tz kwenu inaesabika ni nyumba ya familiaSote tunajua in Tz land belongs to the govt and can be taken anytime they wish to do so halafu sote tunajua Dar es sluum ni Slum iliyo na Jumba 3 ndefu(TPA na pspf).