6G tayari

6G tayari

jay-millions

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
3,983
Reaction score
10,034
Ujio wa 6G tutegemee nini hasa huku Africa, au tuendelee na matumizi yaleyale kama ya 4G?
Screenshot_20240506_093419_One UI Home.jpg
 
Wakati sie bado tunapambana na watu wasipate huduma ya internet kwa bei rahisi, hiyo starlink bongo bado figisu kupewa leseni. Wenye mamlaka wanakula percent tu toka kwa wauza data nchini.
 
Wakati sie bado tunapambana na watu wasipate huduma ya internet kwa bei rahisi, hiyo starlink bongo bado figisu kupewa leseni. Wenye mamlaka wanakula percent tu toka kwa wauza data nchini.
Hiyo 4g yenyewe bado kufika nchi nzima
 
Back
Top Bottom