8 KDF soldiers killed near Dobley, Somalia

8 KDF soldiers killed near Dobley, Somalia

Usituchekeshe kwa sauti asubuhi hii, unasema baada ya kumaliza mlichokifuata Somalia mkaombwa kujiunga na AMISOM?, hicho ni kichekesho. Kiukweli baada ya ninyi kuingia Somalia, Alshaabab ndio waliongeza mashambulizi dhidi ya Kenya mara kumi zaidi ya kabla hamjaenda Somalia, usalama wa Kenya ulizidi kudorora, hadi leo usalama Kenya haujatengemaa, hasa maeneo ya pwani. KDF wamekuwa wakishambuliwa sana huko Somalia kuliko jeshi lolote huko Somalia, baada ya kugundua mnazidiwa na Alshaabab, ndio mkaona bora muunganishe na majeshi mengine ili mpate msaada ukiwemo wa pesa toka UN.

Ukweli ni kwamba mlisaidia adui wetu sometimes in the past, hata kama jumuia ya East Africa ilivunjika, hiyo haikuwa sababu ya ninyi kumsaidia adui yetu kwasababu sisi na ninyi hatukua maadui, hivi kama Idd Amini angetushinda leo mngeweza kutuomba tuwasidie huko Somalia?, rafiki wa adui yako, pia ni adui yako, Kwetu sisi Kenya na Idd Amini wote ninyi ni maadui zetu.
 
Ethiopia, Nchi yenye haikukoloniwa na yeyote! Nchi yenye 3rd most powerful army in Africa after Egypt na SA, nchi yenye ilipewa hadhi ya AU HQ,..imekimbia Somali, not once but twice! In 2005, na last year.... Nyinyi ambao kazi yenu ilikua ni kusuply chakula Kwa majeshi ya Africa ndo mnataka kupiga domo....

Naigeria nayo ndo ilipigana vikali Zaidi kati ya nchi zote za Africa kukomboa Africa, Boko boko boys wanawahemesha sahii death toll imepita 15k..

Kwahivyo,Wacheni kelele nyingi, ingizeni vijana Somalia Kama wana East Africa wenzenu tuone vile mtajinyelea kwa misitu, unafikiri waganga wa maji maji rebelion watawasaidia kukwepa mabomu yaliyotegwa Kwa barabara. Tz pekeyake hapa EA ndo imebaki untested army in fighting terrorist,
Waambie USA pia ilihepa huko. Black Hawks ziliangushwa wakajikata.. So hawa jeshi za display wanasema nini
 
Hahahaaa utasikia Jeshi ya taifa ya Kenya iko na makomandoo imara over tha world togetha, they havu Bini deployed in tha wastegate mishoni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] andi managed to rescue tha victims no any commando wazi injured[emoji23] [emoji23] [emoji23].


How will they get injured while they were hiding in shelves before the terrorists got diverged?
Then after the war was against breads, yoghurts and jewels[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Poor Army
😀😀😀😀😀
There's no difference between kdf and homeless gang
 
Ethiopia, Nchi yenye haikukoloniwa na yeyote! Nchi yenye 3rd most powerful army in Africa after Egypt na SA, nchi yenye ilipewa hadhi ya AU HQ,..imekimbia Somali, not once but twice! In 2005, na last year.... Nyinyi ambao kazi yenu ilikua ni kusuply chakula Kwa majeshi ya Africa ndo mnataka kupiga domo....

Naigeria nayo ndo ilipigana vikali Zaidi kati ya nchi zote za Africa kukomboa Africa, Boko boko boys wanawahemesha sahii death toll imepita 15k..

Kwahivyo,Wacheni kelele nyingi, ingizeni vijana Somalia Kama wana East Africa wenzenu tuone vile mtajinyelea kwa misitu, unafikiri waganga wa maji maji rebelion watawasaidia kukwepa mabomu yaliyotegwa Kwa barabara. Tz pekeyake hapa EA ndo imebaki untested army in fighting terrorist,
Leta evidence imepigana wapi kukomboa Africa! Nchi moja tu please!
 
Tulipo maliza maslahi yetu, tukajiunga na AU, meseveni alikua Analilia UN iongeze majeshi ... Kwa mfano US Kule Afganistan ilituma hadi wanajeshi
60,000...


Kuhusu hayo ya Uganda, Kumbuka kabla M7 avamie Tz, alikua ametishia kuvamia Kenya pia, tayari alikua majeshi yake yamerushiana risasi na wetu pale mpakani walipojaribu kuvuka,... And for that, nitasema Mizigo ya Uganda ni mizigo ya Uganda.... EA ilikua imevunjika kila mtu akaokota ndege zake na akaenda kivyake
pimbi wa mwisho, ati M7 alivamia TZ!?
 
pimbi wa mwisho, ati M7 alivamia TZ!?
Shida tupu hawa nyang'aus hawajui hata hiyo vita ilikuwaje, eti m7 aliivamia tz.

M7 alikuwa upande wa Tpdf kumng'oa IDD amin, Tanzania ndio iliyomuandaa m7 baadae kuja kuwa rais.
 
Majeshi ya Gaddafi na ya IDD amini yalichapwa bila huruma, Gaddafi alimpa Iddi Amini maelfu ya wanajeshi pamoja na vifaa lakini siku zilivyovyokuwa zinazidi kwenda walijikuta wanazidi kuisha na vifaa vyao ndio vinawaua wenyewe.. Ogopa sana Watanzania wazalendo..
 
Ethiopia, Nchi yenye haikukoloniwa na yeyote! Nchi yenye 3rd most powerful army in Africa after Egypt na SA, nchi yenye ilipewa hadhi ya AU HQ,..imekimbia Somali, not once but twice! In 2005, na last year.... Nyinyi ambao kazi yenu ilikua ni kusuply chakula Kwa majeshi ya Africa ndo mnataka kupiga domo....

Naigeria nayo ndo ilipigana vikali Zaidi kati ya nchi zote za Africa kukomboa Africa, Boko boko boys wanawahemesha sahii death toll imepita 15k..

Kwahivyo,Wacheni kelele nyingi, ingizeni vijana Somalia Kama wana East Africa wenzenu tuone vile mtajinyelea kwa misitu, unafikiri waganga wa maji maji rebelion watawasaidia kukwepa mabomu yaliyotegwa Kwa barabara. Tz pekeyake hapa EA ndo imebaki untested army in fighting terrorist,

Nigeria ilipigana wapi kukomboa Afrika?

Vita inakwenda kwa hatua kama tatu, kwanza ni kupanga mipango na kujuwa mnataka kufanikiwa nini, na kama mkishidwa mtafanya nini au kuna uwezokano wa kutokea nini. Pili ni kazi yenyewe na kuhakikisha mnashinda hiyo vita, pia kulinda huo ushindi wenu. Tatu nini kinatokewa baada ya kushinda vita. Je, mnajenga nchi na taasisi za nchi au mnairudisha nchi kwa wanachi wake.

Kenya imeenda Somalia bila mipango inayoeleweka, walikuwa hawajuwi ushindi utapatikana vipi kwasababu adui haumuoni (gaidi) na amejichanganya na wanachi wa kawaida. Hata kama Kenya ingeshida hiyo vita, ingejenga hizo taasini na nani ikiwa adui yako yuko ndani ya makundi ya wananchi wa kawaida? Kwakifupi Kenya haikuwa na mipango mizuri kujuwa inaazia wapi na kumalizia wapi. Mgejifunza kutoka kwa wamarekani yaliyo washinda huko Iraq na Afghanistan, mpaka leo hii wanjenga huku kule kunabomoka
 
Are you really insulting your own millitary?
Millitary is only as good as the commander in chief, If he is corrupt,tribal and incompetent so is the soldiers he leads. And you can see the problems in KDF, incompetence,tribalism,corruption. How can a standing army trade somalia charcoal and sugar? Shame on C IN C
 
Poleni sana Wakenya kwa kupoteza walinzi wenu. Bwana awape faraja wafiwa wote.
 
Nigeria ilipigana wapi kukomboa Afrika?

Vita inakwenda kwa hatua kama tatu, kwanza ni kupanga mipango na kujuwa mnataka kufanikiwa nini, na kama mkishidwa mtafanya nini au kuna uwezokano wa kutokea nini. Pili ni kazi yenyewe na kuhakikisha mnashinda hiyo vita, pia kulinda huo ushindi wenu. Tatu nini kinatokewa baada ya kushinda vita. Je, mnajenga nchi na taasisi za nchi au mnairudisha nchi kwa wanachi wake.

Kenya imeenda Somalia bila mipango inayoeleweka, walikuwa hawajuwi ushindi utapatikana vipi kwasababu adui haumuoni (gaidi) na amejichanganya na wanachi wa kawaida. Hata kama Kenya ingeshida hiyo vita, ingejenga hizo taasini na nani ikiwa adui yako yuko ndani ya makundi ya wananchi wa kawaida? Kwakifupi Kenya haikuwa na mipango mizuri kujuwa inaazia wapi na kumalizia wapi. Mgejifunza kutoka kwa wamarekani yaliyo washinda huko Iraq na Afghanistan, mpaka leo hii wanjenga huku kule kunabomoka
Kaka umezungumza vizuri sana, lakini umekosea sehemu moja, Alshaabab sio magaidi wanaochanganyika na wananchi, ni jeshi kamili, wana uniform za kijeshi, wana silaha za kivita, idadi yao inajulikana, wana maeneo wanayoshikilia, ila mbinu wanayotumia katika vita ni mchanganyiko wa gorrila war na suicide, ni kama vikundi vya RENAMO, ISIS, TALABAN na Savimbi kule Angola, au Boko Haram.

ISIS inakaribia kusambaratishwa katika uwanja wa vita, RENAMO na Savimbi walishindwa, TALABAN, malengo ya nchi za Magharibi zikiongozwa na US yalikua kuangusha utawala wa TALABAN uliokua ni ficho na kambi za mafunzo ya ALQAIDA, hilo wamefanikiwa kwa 90%.

Alshabaab na Boko Haram vinashindikana kutokanana udhahifu wa African countries, hasa zilizo na vikosi huko Somalia na Udhahifu wa Jeshi la Nigeria kwa upande wa Bokoharam. Kama tuliweza kukusanya nguvu zetu na kuyashinda majeshi ya wazunguna vibaraka vyao kusini mwa Afrika miaka ya nyuma, vipi hawa wasumbue kiasi hicho?.

M23 wakisaidiwa ma Rwanda na Uganda walionekana hawazuiliki lakini leo ni historia?, huwezi kuamini, eti nchi zote zilizopeleka jeshi huko Somalia, hakuna hata Helcopter moja ya kisasa ya kivita kama walizoleta South Africa katika vita dhidi ya M23, hakuna hata drone moja yakukusanya taarifa za adui na kushambulia kwa haraka maficho ya adui pae taarifaza uwepo wao zinapopatikana" Rapid attack and support respond", sasa watashindaje vita kama hii?
 
Kaka umezungumza vizuri sana, lakini umekosea sehemu moja, Alshaabab sio magaidi wanaochanganyika na wananchi, ni jeshi kamili, wana uniform za kijeshi, wana silaha za kivita, idadi yao inajulikana, wana maeneo wanayoshikilia, ila mbinu wanayotumia katika vita ni mchanganyiko wa gorrila war na suicide, ni kama vikundi vya RENAMO, ISIS, TALABAN na Savimbi kule Angola, au Boko Haram.

ISIS inakaribia kusambaratishwa katika uwanja wa vita, RENAMO na Savimbi walishindwa, TALABAN, malengo ya nchi za Magharibi zikiongozwa na US yalikua kuangusha utawala wa TALABAN uliokua ni ficho na kambi za mafunzo ya ALQAIDA, hilo wamefanikiwa kwa 90%.

Alshabaab na Boko Haram vinashindikana kutokanana udhahifu wa African countries, hasa zilizo na vikosi huko Somalia na Udhahifu wa Jeshi la Nigeria kwa upande wa Bokoharam. Kama tuliweza kukusanya nguvu zetu na kuyashinda majeshi ya wazunguna vibaraka vyao kusini mwa Afrika miaka ya nyuma, vipi hawa wasumbue kiasi hicho?.

M23 wakisaidiwa ma Rwanda na Uganda walionekana hawazuiliki lakini leo ni historia?, huwezi kuamini, eti nchi zote zilizopeleka jeshi huko Somalia, hakuna hata Helcopter moja ya kisasa ya kivita kama walizoleta South Africa katika vita dhidi ya M23, hakuna hata drone moja yakukusanya taarifa za adui na kushambulia kwa haraka maficho ya adui pae taarifaza uwepo wao zinapopatikana" Rapid attack and support respond", sasa watashindaje vita kama hii?

NI kweli kuna hao unaosema wanavaa uniform wanashikilia maeneo fulani, lakini vikundi kama Al shabaab nk, hawafuati njia zinazotumika kivita na zinazotambulika kimataifa. Vikundi hivi vya kigaidi vinajizalisha kama uyoga na hakuna Central Command (CC) kusema ukiimaliza hiyo basi umeshinda vita. Wengi wamejigeuza raia na wana slipper cells zao maeneo mbali mbali ambazo zinatumika kufanya maovu makubwa. Kuna sehemu moja Afghanistan inaitwa Tora Bora, ni mlima na wamarekani waliamini hapo ndio Bin Laden anaishi na ndio CC ya Al Qaeda, wamarekani walimwaga mabomu hapo idadi ambayo haijawai kutokea, hapo ndio waliangusha Mother of All Booms mwaka jana. Lakini huo haukuwa mwisho wa Bin Laden au Al Qaeda. Vikundi kama M23 na wengine sijuwi ADF, MaiMai, LRA nk, bado wanafanya mambo yao kizamani, kwamba waishi msituni huku wakihama eneo moja kwenda lingine, you can easily track them. Lakini hawa magaidi, wamesambaa kila upande na kila kona, unauwa cell hii unafikiri yamekwisha kesho nyingine inaibuka. The only way Kenya angeweza kushinda hii vita, ni kujigeuza na wewe kama wao. Kama adui hataki ujuwe yeye yuko wapi, na wewe hakikisha yeye hujuwi uko wapi. Kama vile wa Israel walivyowafanyia magaidi wa kipalestina miaka ya 70 na 80. Una create kundi la kigaidi lililodhaminiwa na serikali kutwagana na magaidi mpaka kieleweke, no uniform no records, kimya kimya mpaka mwisho. Sidhani kama drones inaweza kukusaidia kutengeneza hali ya taharuki ndania ya kundi la kigaidi wakiwa na raia, Wamarekani wanazirusha huko Somalia kila siku lakini hakuna matunda. Utashanga saa nyingine silaha ndogo ya "uwongo", inaweza kutengeneza psychological distraction inayoweza kusambaratisha uhusioano wa watu walio katika kundi moja.
 
NI kweli kuna hao unaosema wanavaa uniform wanashikilia maeneo fulani, lakini vikundi kama Al shabaab nk, hawafuati njia zinazotumika kivita na zinazotambulika kimataifa. Vikundi hivi vya kigaidi vinajizalisha kama uyoga na hakuna Central Command (CC) kusema ukiimaliza hiyo basi umeshinda vita. Wengi wamejigeuza raia na wana slipper cells zao maeneo mbali mbali ambazo zinatumika kufanya maovu makubwa. Kuna sehemu moja Afghanistan inaitwa Tora Bora, ni mlima na wamarekani waliamini hapo ndio Bin Laden anaishi na ndio CC ya Al Qaeda, wamarekani walimwaga mabomu hapo idadi ambayo haijawai kutokea, hapo ndio waliangusha Mother of All Booms mwaka jana. Lakini huo haukuwa mwisho wa Bin Laden au Al Qaeda. Vikundi kama M23 na wengine sijuwi ADF, MaiMai, LRA nk, bado wanafanya mambo yao kizamani, kwamba waishi msituni huku wakihama eneo moja kwenda lingine, you can easily track them. Lakini hawa magaidi, wamesambaa kila upande na kila kona, unauwa cell hii unafikiri yamekwisha kesho nyingine inaibuka. The only way Kenya angeweza kushinda hii vita, ni kujigeuza na wewe kama wao. Kama adui hataki ujuwe yeye yuko wapi, na wewe hakikisha yeye hujuwi uko wapi. Kama vile wa Israel walivyowafanyia magaidi wa kipalestina miaka ya 70 na 80. Una create kundi la kigaidi lililodhaminiwa na serikali kutwagana na magaidi mpaka kieleweke, no uniform no records, kimya kimya mpaka mwisho. Sidhani kama drones inaweza kukusaidia kutengeneza hali ya taharuki ndania ya kundi la kigaidi wakiwa na raia, Wamarekani wanazirusha huko Somalia kila siku lakini hakuna matunda. Utashanga saa nyingine silaha ndogo ya "uwongo", inaweza kutengeneza psychological distraction inayoweza kusambaratisha uhusioano wa watu walio katika kundi moja.
Kaka bado unakosea sana, Alshabaab hawachanganyiki kabisa na raia, jaribu kuuliza. Alshabaab kuna maeneo na miji ndani ya Somalia ambayo yapo chini ya Jeshi la Alshabaab na yanajulikana kabisa, kama ambavyo walikuwa wameshikilia bandari ya Kismayu wakati Uganda wameshikilia Mogadishu. Tafdhali ondoa mawazo kwamba Alshabaab wamechanganyika na watu, wangewezaje kuwa na silaha kubwakubwa kama magari ya kivita na vifaru walivyovikamata toka majeshi ya Kenya na Burundi walipovamia kambi zao?, wangewezaji kukusanya kodi toka kwa raia ili waweze kupata pesa za kuendesha vita?, wangewezaje kuendesha biashara ya mkaa kwa kiwango kikubwa kiasi hiki kama wamejificha ndani ya raia?.Kumbuka sasa hivi Somalia imegawanyika kama Syria, kuna maeneo yapo mikononi mwa Kenya(kusini), Uganda(katikati,), Burundi(kusini magharibi), Alshabaab( katikati na kaskazini magharibi). Djibout and Ethiopia(kaskazini na kaskazini mashariki). Ninajua utashangaa kwanini wasivamie hayo maeneo yao wakawatoa haraka, hilo ndilo swali ambalo kila mtu anajiuliza.
 
Back
Top Bottom