8 September, 2024 ni siku ya Maombi ya Kitaifa kuwaombea waliotekwa

8 September, 2024 ni siku ya Maombi ya Kitaifa kuwaombea waliotekwa

VITENDO VYA UTEKAJI, NA WATOTO KUPOTEA VINATUKWAZA MNO WATANZANI.

HILI NI TATIZO KUBWA SANA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA.
 
Tuwaombee wenye mamlaka wasiochukua hatua dhidi ya utekaji ili watangulie mbele za haki
 
Mimi si sehemu ya laana hiyo kwani sikushiriki kwenye wizi wa kura uliofanywa na CCM na serikali yake. Laana hii iwapte wote mnaoshabikia udhalimu wa CCM.Kwa taarifa yako mimi siyo Mchaga kwani kwa ujinga na upumbavu wenu mnaamini kuwa Chadema ni chama cha Wachaga. Damu za wote mlioua ili muendelee kubaki madarakani zitaendelea kuwatafuna ndiyo maana mumeshaanza kuropoka. ILAANIWE CCM NA WOTE WANAOIUNGA MKONO.
Laana itakurudia mwenyewe....

Nimeamka na baraka na tunaendelea kuwa nazo kwa sababu tunaliheshimu taifa na viongozi wake....

Eeee Mwenyezi Mungu endelea KUIBARIKI CCM ,aaamin aaaamin aaaamin[emoji7]
 
Mnano karne ya 4 kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo kulikuwa na mamilion ya wayahudi waliochukuliwa mateka wakati wa utawala wa Babel (Iraq ya sasa) chini ya mfalme Nebukadreza. Wayahudi hao walikuwa wametapakaa nchi zote za mashariki ya kati wakitumikishwa kazi mbalimbali. Hata baada ya ufalme wa Babel kuanguka na kuingia Umedi & Uajemi ( Iran ya sasa) wayahudi wengine walibakia baadhi ya nchi za mashariki ya kati kama watumwa na wakimbizi.

Sasa huko Uajemi (Iran ya sasa) kulikuwa na waziri mkuu mmoja anaitwa Hamani. Huyu alimshawishi mfalme Ahasuero kutaka wayahudi wote wanaokaa kama wakimbizi na watumwa katika nchi hiyo wauawe kwa sababu wawazishiki sheria za mfalme huyo. Baada ya mfalme kukubali ombi la waziri mkuu wake, wayahudi wote walioishi katika nchi hiyo walihuzunika sana.

Lakini palikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Mordekai jasusi aliyeweza kumbadilisha mjomba wake aliyemlea jina kutoka Hadasa jina la kiyahudi na kumpa jina kiajemi la Esta ili tu asijulikane ni myahudi aolewe na mfalme Ahasuero. Huyu Mordekai aliposikia mbiu ya wayahudi wote wanatakiwa kuuawa alizirarua nguo zake na kuvaa magunia kisha kwenda kukaa kwenye malango ya ikulu. Lengo la jasusi huyu Mordekai lilikuwa kwamba wasaidizi wa Esta ambaye wakati huo alikuwa malkia wakimuona katika hali hiyo watamwambia Esta na Esta atakuja kumuona kwa dharura.

Ni kweli Esta alionana na mjomba yake huyo Mordekai na akaambiwa kwamba waziri mkuu Hamani ametangaza wayahudi wote kuuawa. Japokuwa Esta asingeuawa kwa sababu hakujulikana kuwa ni myahudi baada ya mjomba wake kumbadilisha jina na kuwa mke wa mfalme, lakini Esta alipiga ukunga na kulia kilio kikuu. Damu ni nzito kuliko maji. Baada ya hapo Esta alimwambia mjomba wake Mordekai akawaambie wayahudi wote wafanye maombi kwa ajili yake ili apate kibali cha kwenda kumuona mfalme mume wake kwa dharura na kumshawishi mfalme afute mpango huo. Esta alisisitiza maombi yawe ya kufunga wala wasile na kunywa kwa siku tatu.

Hatimaye baada ya maombi siku ya nne Esta alienda ofisini kwa mfalme bila kibali na kumlilia. Mfalme akafuta mpango huo akaamuru waziri mkuu Hamani anyongwe hadharani mbele ya Umma. Huo ulikuwa ushindi wa wayahudi wakiwa katika nchi ya ugenini.

Sisi Watanganyika hatupo ugenini kama wayahudi bali tupo katika nchi yetu ambayo Mungu alitupa japo tunaishi kama tupo ugenini. Mamia ya wenzetu wanaharakati na wasio wanaharakati, wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanatekwa na kupotezwa na watawala. Sisi hatuna bunduki wala mabomu ya kujilinda kama wao , isipokuwa tunaye Mungu ambaye anaweza kutushindia .

Hivyo basi tunawaalika katika maombi ya kitaifa yatakayofanyika siku ya jumapili tarehe 8 September 2024. Tunawaalika wote wakiwemo viongozi wa dini katika maombi haya. Sisi hatutavaa magunia kama Mordekai isipokuwa tutavaa nguo nyeusi kuashiria nchi ina msiba. Nenda katika ibada msihi mchungaji wako, Padri ama Askofu kwamba tunaomba dakika 5 za kuwaombea waliotekwa na hatujui huko waliko wako katika hali gani. Tunawaomba viongozi wa dini muwape ushirikiano watu watakaofika katika nyumba za ibada kwa ajili ya maombi haya.

Hatutakula wala kunywa kuanzia saa 06:00 Asubuhi ya siku hiyo mpaka saa 18:00 jioni ya siku hiyo. Tutahitimisha maombi haya katika mtandao wa 𝗖𝗹𝘂𝗯𝗵𝗼𝘂𝘀𝗲 katika room ya 𝗦𝗮𝘂𝘁𝗶 𝘆𝗮 𝗪𝗮𝘁𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 kuanzia saa 18:00 jioni.

Soma Pia: Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”

Mungu hashindwi.

Amen.🙏🙏

Sambaza ujumbe huu kwa watu wote wakiwemo viongozi wa dini.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kama siyo maandamano ,naunga mkono hoja.Maombi ni muhimu hasa tunapoelekea uchaguzi wa seeikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
lakini kumbuka kuwa usifunge huku udhambi na chuki moyoni.
 
Jamani yule kija wa Soka amepatikana??
Moyo wangu unaumaa...
 
Laana itakurudia mwenyewe....

Nimeamka na baraka na tunaendelea kuwa nazo kwa sababu tunaliheshimu taifa na viongozi wake....

Eeee Mwenyezi Mungu endelea KUIBARIKI CCM ,aaamin aaaamin aaaamin[emoji7]
Mtu aliyebarikiwa hawezi kuwa chawa. CCM wote ni majitu yanayotembea na laana.
 
Jina hutoa sasa nani kakuakikishia kuwa wewe ndiyo upo sahihi zaidi ya Mdude? Vp utafanya maombi ukiwa wapi mzee wangu make uwezi juwa siku moja akatekwa mjukuu wako.
Umeuliza nini?
Labda Mdude Nyagali kapatia na mimi ndiyo nimekosea?
Sikiliza;
Assyria ndiyo walikuwa super power in those days in the middle east.
Walikuwa wanaitawala Babylon. (Bagdad).
Nabopolassar, Crown Prince in Babylon revolted against the Assyrians and defeated them with the help of Cyaxares king of Medes. Nadhani huyu ndiye Xerxes tuliyekuwa tunamsikia tulipokuwa form one .
Huyu Nabopolassar ndiye baba yake Nebuchadnezzar.
Nabopolassar aliishi 626 mpaka 605.(That is not very old,I hope I got these numbers correctly.)
Nineveh,the capital city of Assyria fell in 612.
Halafu Nebuchadnezzar akawashinda Wamisri in 468 BC and he became the master of the middle east.
Akameondoa mfalme alitekuwepo Jerusalem,akampeleka Egypt kifungoni, because he controlled all these areas
Akamuweka kiongozi mwingine. The leader in Jerusalem plotted against Nebuchadnezzar.
Ndiyo ikatokea first deportation ya Wayahudi kwenda Babylon in 587 BC.
Final deportation ikatokea 587BC.
Lakini twende fast forward.
Wayahudi wapo Babylon na Nebuchadnezzar ameota ndoto na anatafutwa mtu wa kuifasiri.
Na huyo mtu hataambiwa hiyo ndoto ni nini.
Yaani anatakiwa kujua mfalme kaota nini.
Hili nadhani ni jambo linawezekana,kumuwekea mtu tabs kichwani na kujua anaota nini. Lakini sasa hivi hatuna technology hiyo
Kwa hiyo Daniel anifasiri hiyo ndoto, basically anamwambia mfalme, kwamba,wewe, mfalme,you are wonderful guy,ndiyo maana ya ndoto.
Baadaye Nebuchadnezzar anaamuru watu watupwe katika moto.
Baadaye Nebuchadnezzar anasikia sauti kutoka Mbinguni.
Halafu Nebuchadnezzar anaenda porini miaka saba,halafu anarudi.
Baadaye Nebuchadnezzar sijui alikufa vipi. I hope ilikuwa siyo kwa kudukuliwa moyo

Jina hutoa sasa nani kakuakikishia kuwa wewe ndiyo upo sahihi zaidi ya Mdude? Vp utafanya maombi ukiwa wapi mzee wangu make uwezi juwa siku moja akatekwa mjukuu wako.
Nimeandika pale labda inawezekana kujua mawazo ya mtu katika trance.
Hii nukuu kutoka "The Hermit" chapter six by Lobsang Ramps,
Haya maneno yanasemwa na Admiral,

Now, in spite of our respected Senior Biologist, we are going to try this system which has been worked out by the Wise Ones.

Just as their superb scientific skill millions of earthyears ago perfected the faster than light drive, so have they also perfected a method whereby the Akashic Record itself can be tapped. In this system the person who is within the special apparatus will see all that happened in the past. So far as his impressions will tell him, he will actually LIVE all those experiences; he will SEE and HEAR precisely as though he were living in those long bygone days. To him HE WILL BE THERE! A special extension direct from his brain will enable each one of us vicariously to participate. He—you—or should I say ‘we’—shall to all intents and purposes cease to exist in this time and will, so far as our feelings, sight, hearing and emotions are concerned, be transferred to those ages past whose actual life and happenings we shall be experiencing just as here, now, we have been experiencing ship-board life, or life aboard small patrol ships, or working in this world far below the surface in our subterranean laboratories.

I do not pretend to understand fully the principles involved. Some of you here know far more of the subject than I, that is why you are here.
 
Unapoilani CCM ambacho ni chama tawala kinachoongoza serikali ambayo inasimamia mambo yenu ya kila siku....basi UMEJILANI MWENYEWE kwani mwenyezi Mungu anatutaka tuzitii MAMLAKA NA VIONGOZI WETU....

Laana itakuandama mwenyewe MEKU....

Usifurahi ,UMEJILAANI MWENYEWE.....

Tubu sana....

#Nchi Kwanza[emoji7]
chawa wa kimkaz tutolee ujinga hapa.
 
Mnano karne ya 4 kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo kulikuwa na mamilion ya wayahudi waliochukuliwa mateka wakati wa utawala wa Babel (Iraq ya sasa) chini ya mfalme Nebukadreza. Wayahudi hao walikuwa wametapakaa nchi zote za mashariki ya kati wakitumikishwa kazi mbalimbali. Hata baada ya ufalme wa Babel kuanguka na kuingia Umedi & Uajemi ( Iran ya sasa) wayahudi wengine walibakia baadhi ya nchi za mashariki ya kati kama watumwa na wakimbizi.

Sasa huko Uajemi (Iran ya sasa) kulikuwa na waziri mkuu mmoja anaitwa Hamani. Huyu alimshawishi mfalme Ahasuero kutaka wayahudi wote wanaokaa kama wakimbizi na watumwa katika nchi hiyo wauawe kwa sababu wawazishiki sheria za mfalme huyo. Baada ya mfalme kukubali ombi la waziri mkuu wake, wayahudi wote walioishi katika nchi hiyo walihuzunika sana.

Lakini palikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Mordekai jasusi aliyeweza kumbadilisha mjomba wake aliyemlea jina kutoka Hadasa jina la kiyahudi na kumpa jina kiajemi la Esta ili tu asijulikane ni myahudi aolewe na mfalme Ahasuero. Huyu Mordekai aliposikia mbiu ya wayahudi wote wanatakiwa kuuawa alizirarua nguo zake na kuvaa magunia kisha kwenda kukaa kwenye malango ya ikulu. Lengo la jasusi huyu Mordekai lilikuwa kwamba wasaidizi wa Esta ambaye wakati huo alikuwa malkia wakimuona katika hali hiyo watamwambia Esta na Esta atakuja kumuona kwa dharura.

Ni kweli Esta alionana na mjomba yake huyo Mordekai na akaambiwa kwamba waziri mkuu Hamani ametangaza wayahudi wote kuuawa. Japokuwa Esta asingeuawa kwa sababu hakujulikana kuwa ni myahudi baada ya mjomba wake kumbadilisha jina na kuwa mke wa mfalme, lakini Esta alipiga ukunga na kulia kilio kikuu. Damu ni nzito kuliko maji. Baada ya hapo Esta alimwambia mjomba wake Mordekai akawaambie wayahudi wote wafanye maombi kwa ajili yake ili apate kibali cha kwenda kumuona mfalme mume wake kwa dharura na kumshawishi mfalme afute mpango huo. Esta alisisitiza maombi yawe ya kufunga wala wasile na kunywa kwa siku tatu.

Hatimaye baada ya maombi siku ya nne Esta alienda ofisini kwa mfalme bila kibali na kumlilia. Mfalme akafuta mpango huo akaamuru waziri mkuu Hamani anyongwe hadharani mbele ya Umma. Huo ulikuwa ushindi wa wayahudi wakiwa katika nchi ya ugenini.

Sisi Watanganyika hatupo ugenini kama wayahudi bali tupo katika nchi yetu ambayo Mungu alitupa japo tunaishi kama tupo ugenini. Mamia ya wenzetu wanaharakati na wasio wanaharakati, wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanatekwa na kupotezwa na watawala. Sisi hatuna bunduki wala mabomu ya kujilinda kama wao , isipokuwa tunaye Mungu ambaye anaweza kutushindia .

Hivyo basi tunawaalika katika maombi ya kitaifa yatakayofanyika siku ya jumapili tarehe 8 September 2024. Tunawaalika wote wakiwemo viongozi wa dini katika maombi haya. Sisi hatutavaa magunia kama Mordekai isipokuwa tutavaa nguo nyeusi kuashiria nchi ina msiba. Nenda katika ibada msihi mchungaji wako, Padri ama Askofu kwamba tunaomba dakika 5 za kuwaombea waliotekwa na hatujui huko waliko wako katika hali gani. Tunawaomba viongozi wa dini muwape ushirikiano watu watakaofika katika nyumba za ibada kwa ajili ya maombi haya.

Hatutakula wala kunywa kuanzia saa 06:00 Asubuhi ya siku hiyo mpaka saa 18:00 jioni ya siku hiyo. Tutahitimisha maombi haya katika mtandao wa 𝗖𝗹𝘂𝗯𝗵𝗼𝘂𝘀𝗲 katika room ya 𝗦𝗮𝘂𝘁𝗶 𝘆𝗮 𝗪𝗮𝘁𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 kuanzia saa 18:00 jioni.

Soma Pia: Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”

Mungu hashindwi.

Amen.🙏🙏

Sambaza ujumbe huu kwa watu wote wakiwemo viongozi wa dini.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Chadema chadema, haya mambo hayatokei hivi hivi, Yana sababu, katika ulumwengu wa kiroho,

jipangeni kwa maandamano makubwa , umma tutawaunga mkono hamtaamini sababu ya msingi ipo ni kupinga utekaji na mauaji nchini,

Mungu kawatia upofu Hawa wanadhani utekaji ni njia ya kunyamazisha wananchi kinyume chake inazidi kuwatia ujasori


Kama saa nane, kanguye, chakula, ,azory ,soka na wenzie wamepotea polisi hawana maelezo

Uchunguzi wa tundulisu kupigwa lisasi haufanyiki mwaka wa 7 huu

Hamuoni hii ni nafasi ya dhahabu kunitumia kupindua meza

Hebu jivikeni ujasori ingia barabarani serikali itoe majibu ya wasiojulina ni kina nani
 
Utashangaa Kuna maccm yatakuja kuunga mkono utekaji hayaoni mbali

Yukiruhisu utekaji uendelee utaathiri na wao ndani ya chama chao

Lakini pia tabia hii itaathiri jamii kama mlivyoona lile tukio la polisi kwa ujasori wa ajabu kuwatuma watu kumlawiti biti
 
Mnano karne ya 4 kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo kulikuwa na mamilion ya wayahudi waliochukuliwa mateka wakati wa utawala wa Babel (Iraq ya sasa) chini ya mfalme Nebukadreza. Wayahudi hao walikuwa wametapakaa nchi zote za mashariki ya kati wakitumikishwa kazi mbalimbali. Hata baada ya ufalme wa Babel kuanguka na kuingia Umedi & Uajemi ( Iran ya sasa) wayahudi wengine walibakia baadhi ya nchi za mashariki ya kati kama watumwa na wakimbizi.

Sasa huko Uajemi (Iran ya sasa) kulikuwa na waziri mkuu mmoja anaitwa Hamani. Huyu alimshawishi mfalme Ahasuero kutaka wayahudi wote wanaokaa kama wakimbizi na watumwa katika nchi hiyo wauawe kwa sababu wawazishiki sheria za mfalme huyo. Baada ya mfalme kukubali ombi la waziri mkuu wake, wayahudi wote walioishi katika nchi hiyo walihuzunika sana.

Lakini palikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Mordekai jasusi aliyeweza kumbadilisha mjomba wake aliyemlea jina kutoka Hadasa jina la kiyahudi na kumpa jina kiajemi la Esta ili tu asijulikane ni myahudi aolewe na mfalme Ahasuero. Huyu Mordekai aliposikia mbiu ya wayahudi wote wanatakiwa kuuawa alizirarua nguo zake na kuvaa magunia kisha kwenda kukaa kwenye malango ya ikulu. Lengo la jasusi huyu Mordekai lilikuwa kwamba wasaidizi wa Esta ambaye wakati huo alikuwa malkia wakimuona katika hali hiyo watamwambia Esta na Esta atakuja kumuona kwa dharura.

Ni kweli Esta alionana na mjomba yake huyo Mordekai na akaambiwa kwamba waziri mkuu Hamani ametangaza wayahudi wote kuuawa. Japokuwa Esta asingeuawa kwa sababu hakujulikana kuwa ni myahudi baada ya mjomba wake kumbadilisha jina na kuwa mke wa mfalme, lakini Esta alipiga ukunga na kulia kilio kikuu. Damu ni nzito kuliko maji. Baada ya hapo Esta alimwambia mjomba wake Mordekai akawaambie wayahudi wote wafanye maombi kwa ajili yake ili apate kibali cha kwenda kumuona mfalme mume wake kwa dharura na kumshawishi mfalme afute mpango huo. Esta alisisitiza maombi yawe ya kufunga wala wasile na kunywa kwa siku tatu.

Hatimaye baada ya maombi siku ya nne Esta alienda ofisini kwa mfalme bila kibali na kumlilia. Mfalme akafuta mpango huo akaamuru waziri mkuu Hamani anyongwe hadharani mbele ya Umma. Huo ulikuwa ushindi wa wayahudi wakiwa katika nchi ya ugenini.

Sisi Watanganyika hatupo ugenini kama wayahudi bali tupo katika nchi yetu ambayo Mungu alitupa japo tunaishi kama tupo ugenini. Mamia ya wenzetu wanaharakati na wasio wanaharakati, wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanatekwa na kupotezwa na watawala. Sisi hatuna bunduki wala mabomu ya kujilinda kama wao , isipokuwa tunaye Mungu ambaye anaweza kutushindia .

Hivyo basi tunawaalika katika maombi ya kitaifa yatakayofanyika siku ya jumapili tarehe 8 September 2024. Tunawaalika wote wakiwemo viongozi wa dini katika maombi haya. Sisi hatutavaa magunia kama Mordekai isipokuwa tutavaa nguo nyeusi kuashiria nchi ina msiba. Nenda katika ibada msihi mchungaji wako, Padri ama Askofu kwamba tunaomba dakika 5 za kuwaombea waliotekwa na hatujui huko waliko wako katika hali gani. Tunawaomba viongozi wa dini muwape ushirikiano watu watakaofika katika nyumba za ibada kwa ajili ya maombi haya.

Hatutakula wala kunywa kuanzia saa 06:00 Asubuhi ya siku hiyo mpaka saa 18:00 jioni ya siku hiyo. Tutahitimisha maombi haya katika mtandao wa 𝗖𝗹𝘂𝗯𝗵𝗼𝘂𝘀𝗲 katika room ya 𝗦𝗮𝘂𝘁𝗶 𝘆𝗮 𝗪𝗮𝘁𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 kuanzia saa 18:00 jioni.

Soma Pia: Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”

Mungu hashindwi.

Amen.🙏🙏

Sambaza ujumbe huu kwa watu wote wakiwemo viongozi wa dini.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Mnawateka wenyewe halafu mnawambea. Mnambeep Mungu si ndiyo
 
Back
Top Bottom