80% ya Wadada wa kibongo wanategemea mabuzi

Hakuna mkubwa kama hela, ndo maana bibi cheka alimuita baba fella
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...

Hizi thread Za dizain hii inabidi muwe mmekunywa chai na ramani ya siku ushaichora!!

Tizameni mapovu sasa.

All the way.... Hakuna free lunch. Fanyeni kazi
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umeandika kwa hasira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…