80% ya Wadada wa kibongo wanategemea mabuzi

80% ya Wadada wa kibongo wanategemea mabuzi

Hakuna mkubwa kama hela, ndo maana bibi cheka alimuita baba fella
 
😂😂😂😂😂...

Hizi thread Za dizain hii inabidi muwe mmekunywa chai na ramani ya siku ushaichora!!

Tizameni mapovu sasa.

All the way.... Hakuna free lunch. Fanyeni kazi
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umeandika kwa hasira
Siku zima likemeka Home hakuna kazi yeyote anayo ifanya ata usafi Zero kazi tu kuagizia chips na kuangalia tamthilia same time wapo kwenye social media kama insta .badoo na tinder kuwachuna mabuzi A.K.A mabwege .. haya endeleyeni na iyo kazi ila yanamwisho mbaya
 
Back
Top Bottom