80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

Sina shida na watoa huduma,its willing buyer and seller relationship, shida iko kwa wale ambao wanatutengeneza, yaani unalipia private parts indirectly and unwillingly
Shida ni umelelewa kwamba tabia nzuri au njia sahihi ni utafute mwanamke uoe.

Ukiondoa hiyo mentality ya kwamba ni lazima utafute mwanamke uoe masuala ya kulipia private parts indirectly utayashinda sana.

Ndoa ni ya mwanamke. Sio yako mwanaume. Sasa mwanaume ukianza kutafuta ndoa tayari unakuwa umeshaingia kwenye mtego.

Private parts zinapatikana bure tu, za aina yoyote unayotaka.... na tena mwanaume ukitaka hata kulipwa kwa kuzihudumia private parts za kike utalipwa.
 
mh huyu ni mimi kweli πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Jaribu kudate na mademu wa kenya wanaomba kama matonya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…