that is extremely wise of you...jaribu kuwaelewesha hao wanaotaka maisha ya shortcut bila kusumbua ubongo....I am teacher- though not at SAUT- but all the same, kwa wanafunzi wa kizazi hiki chuo kikitoa pass rate ya 80% sitahitaji ushahidi mwingine kuamini kuwa chuo hicho ni aina ya kina cbe, ifm, tia n.k! Tatizo si la chuo bali unapaswa ku-appreciate umakini wa chuo.
Atakae na anitusi lakini ukweli ndio huo!
Si kwel mkuu mziki wa udsm usiulinganishe hata kidogo na saut, kuna ndugu yangu yupo hapo saut alipata 3ya mwshn sasa unafkr kama wanachukua wa2 ambao hawana kwalifkeshn inakuaje? Tcu inavpendlea vyuo vya serikal kwa kuwapa pure studnts but hvyo private vinapata impure. So its difct 2compare udsm vs saut interm of akademc matters