that is extremely wise of you...jaribu kuwaelewesha hao wanaotaka maisha ya shortcut bila kusumbua ubongo....I am teacher- though not at SAUT- but all the same, kwa wanafunzi wa kizazi hiki chuo kikitoa pass rate ya 80% sitahitaji ushahidi mwingine kuamini kuwa chuo hicho ni aina ya kina cbe, ifm, tia n.k! Tatizo si la chuo bali unapaswa ku-appreciate umakini wa chuo.
Atakae na anitusi lakini ukweli ndio huo!