800 SAUT finalists fail to graduate this year

800 SAUT finalists fail to graduate this year

wanafunzi wengi wakifeli kiasi hiki ujue either hawaelewi,au walimu hawajui kufundisha

Je umesoma habari kwa kina au umekariri ya kwamba kila kunapotokea upungufu wa wahitimu, waliopungua walifeli?.
Sishangai kutokana na tabia za Wanavyuo wa kizazi hiki.
 
I am teacher- though not at SAUT- but all the same, kwa wanafunzi wa kizazi hiki chuo kikitoa pass rate ya 80% sitahitaji ushahidi mwingine kuamini kuwa chuo hicho ni aina ya kina cbe, ifm, tia n.k! Tatizo si la chuo bali unapaswa ku-appreciate umakini wa chuo.
Atakae na anitusi lakini ukweli ndio huo!

Mkuu, hebu tusaidiane katika haya, Unamaanisha nini kwa kusema

1. Kwa 80% pass rate HUHITAJI USHAHIDI mwingine?.dont you think you are a little bit biased?
2. ni kama vile Vyuo kama CBE, IFM, TIA n.k?..dont you think that is too harsh?
3.Tatizo si chuo..How can you tell, mwalimu?
 
Jamani, tertiary education si kwa kila mtu..wengine hamuezi!..ndo mana kuna certificates, diploma etc..
 
Mkuu unamaanisha nini?can you please explain more to make it clear!

Nashukuru kwa swali lako zuri muheshimiwa.
SAUT kuna madalali wa kuuza wanafunzi. Hao ukiwapigia wanakuambia unataka wa shs ngapi, wanakuletea wa 50,000, wa 20,000 yaani ni wewe tu.

Pili watoto wa kike wa hapo wanapenda starehe sana. Ukimchukua mmoja basi atakuja na furushi la wenzake. Watakamua bia hapoooooo wanalewa chakari kupoteza aibu then wanaanza kusaka mabuzi ya kulala nayo (nazungumzia hilo furushi litakalokuja na mtu wako).

Kinachowaharibia hawa watoto ni kujikweza. Naomba uweke majina yao waliofeli, na kama mademu si zaidi ya 50% ya waliofeli, na-resign JF.

Note: Nikiwa kama mwanamume hapa nazungumzia mademu tu. Kama kuna demu atiririke kuhusu mamen na kama hutaki acha.
 
Hii ni nzuri maana kama vigezo vinafuatwa hamna shida . Wat wakaze buti tu
 
Bravo for maintaining quality
Kutoku-graduate ni ku-maintain quality kivipi!!!!!!!? Inawezekana wamefeli kwa sababu hawakuelewa waliyokuwa wanafundishwa kutokana na wakufunzi wabovu . Je hapo napo wanamaintain quality!!!!?
 
Matokeo haya yalitalajiwa tangu mwanzo !!!!!!!

Hawa watoto wamepitia mazingira ya fujo nyingi sana

Utaona yafuatayo kwenye kipindi Chao:


kwenye Mapumuziko

utaona kuwa kwa miaka miwili (Villa) iliongeza kipato kwa wingi wao
katika sehemu hizi za mapumuziko
Kesi police

Palikuwa na kesi ongezeko za Wizi kwa mfano wizi wa simu na laptop
Mawasiliano

kwa kawaida matumizi ya Internet yalishuka lakini matumizi voice call kwenye minara ya SAUT ili imarika sana.
utaona Mwanza cables aliweza kupanua Biashara yake kwa sehemu kubwa.Pia
Biashara ya pikipiki masaa ya usiku zilifana sana hadi kifikia route 200 kwa uchache usiku mmoja

common Indicators
Mashimo ya takataka yalipunguza taka za karatasi nyeupe na utashuhudia Back plastic paper kuwa nyingi.
Pia Products za Angaza hazikurudi nyuma kuoneka barabarani na kwenye mashimo haya.
Bugando na sekoture waliweza kufanya kazi nzuri kuimalisha afya za watoto na watoto wao.Good record
Mauzo ya Mavazi ya kike Makoroboi na Mlango mmoja yalikuwa kwa kasi nzuri kwa wateja wetu.
Mikakati ya Quiz na test ilionekana Chuoni isivyo kawaida.
Walimu wa chuo walionekana wakibeba na kusahihisha quiz kwa uchovu Mkubwa (tells what kind of ....)

Vifo na Mauaji yalikithiri
Yenye asli za kimapenzi ya lionekana
yenye asili ya wizi....kuchomwa moto yameshudiwa
Kugombania madarasa ya kufanyia mitihani ilikuwa ndio Desturi

Reaction ya chuo na maono yaliyo onekana kwa nje
Matangazo ya mavazi bora ya kiafrika
Kuzuiliwa wachelewaji darasani
kuanzishwa kwa madarasa siku za mapumziko

Haya yalitarajiwa kuleta matokeo furani (800 and more)
poleni sana
msijali sana ,Ombeni kurudia mitihani yenu na fanyeni kazi kwa bidii ,
matumizi ya Mapumuziko punguzeni
Ongezeni Karatasi nyeupe kwenye mashimo ya takataka
na kuzeni Biashara ya PHOTOCOPY na INTERNET (research)
voda /airtel modems
Mwanzo mbaya sio mwisho Mbaya

Pia shukuruni kwa kuwa na chuo kinacho wajali kiasi hiki
Chuo chenye kukubali kuchosha walimu wake kwa ajili yenu ,
chuo chenye kukuvumilia mpaka Mwisho wa masomo yako,
Chuo chenye kuweka hadharani aibu ili tujirekebishe.
Kweli
"Tunajenga jiji la Mungu"....(Radio SAUT)

Nakutakia mahafari iliyo na furaha na kumbukumbu
 
Nashukuru kwa swali lako zuri muheshimiwa.
SAUT kuna madalali wa kuuza wanafunzi. Hao ukiwapigia wanakuambia unataka wa shs ngapi, wanakuletea wa 50,000, wa 20,000 yaani ni wewe tu.

Pili watoto wa kike wa hapo wanapenda starehe sana. Ukimchukua mmoja basi atakuja na furushi la wenzake. Watakamua bia hapoooooo wanalewa chakari kupoteza aibu then wanaanza kusaka mabuzi ya kulala nayo (nazungumzia hilo furushi litakalokuja na mtu wako).

Kinachowaharibia hawa watoto ni kujikweza. Naomba uweke majina yao waliofeli, na kama mademu si zaidi ya 50% ya waliofeli, na-resign JF.

Note: Nikiwa kama mwanamume hapa nazungumzia mademu tu. Kama kuna demu atiririke kuhusu mamen na kama hutaki acha.
Duh!hii kali ya mwaka,nashukuru sana mkuu wa kunihabarisha.Sasa hao madalali wanapatikana wapi?huu mtandao ni hatari sana na inabidi uvunjwe ili kuwanusuru hawa dada zetu!
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Duh!hii kali ya mwaka,nashukuru sana mkuu wa kunihabarisha.Sasa hao madalali wanapatikana wapi?huu mtandao ni hatari sana na inabidi uvunjwe ili kuwanusuru hawa dada zetu!

Dereva tax ni moja ya madalali.....
 
Walipokea vilaza wakaramba mshiko wao(ada) wakawapika bila kujali kuwa wanahitaji moto mwingi, wamefubaa ndio mnashtuka.
Hongera SAUT kwa kubweteka na heshima ya mavazi ya wanafunzi huku mibongo yao mkiiacha izidi kuoza!

Kejeli na kashfa hazimkuongezei maksi chuoni mkuu. Wanafunzi kufeli ni kwa vyuo vyote lkn kwingine wanapitishwa hivyo hivyo. SAUT kuweka chujio ni sahihi ili kila mkamata madesa ajue kuwa mwisho wake utakuwa mbaya.
 
wengine tunao humu humu JF, muda huu ambao wanatakiwa kuwa darasani.Na hizi social media zinachangia sana hasa FB na wats'up.sasa siku unapokuja kushtuka kumeshapambazuka, then unaanza kutunga visingizio vya jamii kusympathise na wewe kwa uzembe wako.Kwa vyovyote hata wangefeli 50% so long as hawajaonewa ,kwangu mimi nawaunga mkono.
 
Ningesikia SAUT wamehitimu wahitimu wanafunzi waliofeli hakika ningewaponda sana,lakini kwa kupitisha chujio hili ni vizuri sana.Kuna binamu yangu yeye na safari tu mara dar,dodoma then chuo anarudi na simu,memory cards na t-shirt eti anafanya biashara.Hivi mtu kama huyu atafanya quiz na makondakta,test zingine anamiss,sidhani kama hata maktaba anaenda. Hana muda wa kujadili masomo na wenzake ila utamkuta laptop kila saa lakini hana notes za kutosha sasa huyu asaidiwe na nani? Kina dada ndo kwanza wanaahirisha vipindi kisa wanasuka rasta za uzi,kila weekend beach n.k Huyu anastahili kufeli.Kama ambavyo mwanafunzi anaweza kupata div.1 form four na kupata div.3 form six akizembea basi hata chuo ndivyo ilivyo.Vyuo vingine viige SAUT,kwa kuwachuja vilaza wasihitimu ili tuwapunguze kina Mulugo mtaani.
 
Hawa SAUT hawaishiwi vituko kuna mwaka fulani hivi walizuia matokeo ya wanafunzi wao kisa walifoji. Sijui ilikuwa 2006 ile!
 
That means 28.39% of the students that were expected to graduate would not graduate,this is amazing and there must be some thing wrong with university!

Mkuu, kwani cha ajabu ni nini hapo.., hiyo percentage au?!
Ina maana hata kama wanafunzi hawajitumi kutimiza sehemu yao ya kazi kama dissertation basi ni kuwabeba tu ili mradi wa-graduate..?!
Hata kwenye vyuo vikongwe kama UDSM na SUA wanafunzi huwa wana-disco (discontinue) sembuse SAUT?
 
Nimefurahi sana kupata comment zako wewe kama mwalimu!Kwa hiyo chuo kinachotoa wanafunzi wachache kati ya wale wengi waliodahiliwa ndio chuo bora?vipi kile chuo kilichodahili wanafunzi wenye kiwango kidogo cha alama za ufaulu kipimo hicho kinaweza kuwa sahihi?Vipi uoni kuwa uzembe wa management ya chuo unaweza kufichwa na hicho kipimo?

resource.gif

St. Augustine College, Mwanza, Tanzania.

Chuo hiki ni bado kipya, mwanzoni huwa vigumu uchujaji wa wanafunzi bora. Laknii kwa mwendo huu kila anayeomba kujiunga huko itabidi ajipime kwanza uwezo wa bongo lake, ndivyo vyuo mashuhuri duniani vinavyofanya.

images
images
2Q==
images
images
images
2Q==
images
images
images

Notre Dame University, Indiana, USA

Chuo cha Mtakatifu Augustino ni kama vile nchini Marekani chuo cha
Notre Dame ambacho ni moja ya vyuo mashuhuri marekani vinavyotoa wasomi wenye kupata ajira zenye malipo mazuri. Notre Dame University kilichopo Indiana State na kuwa na matawi kadhaa nchini Marekani pamoja na kuwa cha juu kiwango chao cha utoaji elimu, papo kinatesa katika michezo nchini Marekani kitaifa. Kanisa katoliki nchini Marekani ni liturugia pekee inayorushwa kwenye website kitafa hasa siku za Jumapili na kila siku asubuhi. Wako juu kwa kila kitu ndiyo siri ya elimu yao kuwa ya kiwango cha juu na wenye kuhitaji future nzuri huchangamkia chuo hicho kama ilivyo Havard vile.

Chuo hicho ni Benedictine Academy kinachoomilikiwa na watawa Wabenediktini
(OSB - Order of St. Benedict) na baadhi ya benedictine members wakiwa sehemu ya staff ya chuo kuhakikisha wanafunzi wanapata ile kitu iliyokusudiwa. Kama kichwani bongo linamtindo unashauriwa kuacha na tafuta chuo cha size yako..

Wanachuo muda wa Ziada hujishughulisha na michezo badala ya wanafunzi kuzagaa mitaani na akina dada kuhangaikia washikaji badala ya kutuliza kichwa kitabuni, haya ndiyo matokeo yake.
 
Vipi kuhusu wanafunzi wa kigeni wao wamepona na misukosuko hii au ndio wamekuja na kulipa pesa na wataondoka na hizo shahada baada ya kufaulu?

Isije ikawa baadhi yao wamekumbwa na janga hili na isielezwe.
 
Hawa SAUT hawaishiwi vituko kuna mwaka fulani hivi walizuia matokeo ya wanafunzi wao kisa walifoji. Sijui ilikuwa 2006 ile!

Wewe unasimamia principles zipi?

Watu wakifanya udanganyifu waachiwe tu?

Wakichukuliwa hatua ni vituko?

Halafu unajiita great thinker na bila aibu unapost!

Post yako inatia kichefuchefu.
 
Back
Top Bottom