Nashukuru kwa swali lako zuri muheshimiwa.
SAUT kuna madalali wa kuuza wanafunzi. Hao ukiwapigia wanakuambia unataka wa shs ngapi, wanakuletea wa 50,000, wa 20,000 yaani ni wewe tu.
Pili watoto wa kike wa hapo wanapenda starehe sana. Ukimchukua mmoja basi atakuja na furushi la wenzake. Watakamua bia hapoooooo wanalewa chakari kupoteza aibu then wanaanza kusaka mabuzi ya kulala nayo (nazungumzia hilo furushi litakalokuja na mtu wako).
Kinachowaharibia hawa watoto ni kujikweza. Naomba uweke majina yao waliofeli, na kama mademu si zaidi ya 50% ya waliofeli, na-resign JF.
Note: Nikiwa kama mwanamume hapa nazungumzia mademu tu. Kama kuna demu atiririke kuhusu mamen na kama hutaki acha.